central midfielder
Senior Member
- Apr 14, 2023
- 146
- 215
Watu wanasema sana kuhusu ile biti ya Dar Stand Up ya CHID BENZ. Ambayo ilinyongwa na Marehemu Pancho Latino ni biti kali sana,Pia Rashid alikuwa kwenye prime yake.
Zikitajwa biti alinyonga Latino zinatajwa nyingi lkn Dar Stand Up inatajwa zaidi,Sio kitu kibaya lakini.
Lakini huyu jamaa kuna biti ya jamaa wanaitwa wakacha ngoma inaitwa HERE WE GO. Aiseeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwenye hiyo biti ule mkono ulikuwa wa levo zingine kabisa lile dundo hadi leo sijaona tena kwa Producer wa sasa kwenye HIP HOP labda nirudi kwenye midundo ya Duke Tachez.
Wakacha HERE WE GO, by Pancho ile ni laaana🙌🏻🔥 Na Wakacha sijui wameenda wapi?
Rest Easy Latino,
Zikitajwa biti alinyonga Latino zinatajwa nyingi lkn Dar Stand Up inatajwa zaidi,Sio kitu kibaya lakini.
Lakini huyu jamaa kuna biti ya jamaa wanaitwa wakacha ngoma inaitwa HERE WE GO. Aiseeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kwenye hiyo biti ule mkono ulikuwa wa levo zingine kabisa lile dundo hadi leo sijaona tena kwa Producer wa sasa kwenye HIP HOP labda nirudi kwenye midundo ya Duke Tachez.
Wakacha HERE WE GO, by Pancho ile ni laaana🙌🏻🔥 Na Wakacha sijui wameenda wapi?
Rest Easy Latino,