Pajue Iringa kwa kupitia picha

Mmea Jr

JF-Expert Member
May 20, 2016
829
1,972
Habari zenu wana JamiiForums, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


FB_IMG_17431027942701973.jpg

Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

FB_IMG_17449930781512852.jpg


Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

FB_IMG_16729351782427742.jpg

Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
FB_IMG_17445684706115716.jpg


Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBD
FB_IMG_16718755069520226.jpg

Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone
Screenshot_20250214-100103_1739516488395.jpg


Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa
FB_IMG_17157470433591713.jpg

Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:
FB_IMG_16697944673213327.jpg

Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

Screenshot_20250423-171743_1745418137199.jpg


Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
Screenshot_20250423-172028_1745418165100.jpg

Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


FB_IMG_17437636694617567.jpg

Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
 
wanasema iringa imebarikiwa ningependa kuona hizo baraka hata tatu tu itakuwa imekata kiu changu!
Imebarikiwa kwa upande wa hali ya hewa na udongo unayo- support kilimo cha mazao mbali mbali lakini pia uwepo wa misitu mikubwa kama sao hills inapelekea mkoa kuwa na mvua zisizo sua sua ,, so ukiangalia hivi ndiyo watu huvitafsiri kama baraka
 
Imebarikiwa kwa upande wa hali ya hewa na udongo unayo- support kilimo cha mazao mbali mbali lakini pia uwepo wa misitu mikubwa kama sao hills inapelekea mkoa kuwa na mvua zisizo sua sua ,, so ukiangalia hivi ndiyo watu huvitafsiri kama baraka
Akha!..😅
 
Habari zenu wana jamiiforum ,, nimatumaini yangu wote ni wazima na wale wenye changamoto za hapa na pale nawaombeeni mzivuke salamaa..

Sasa basi kwakuwa jukwaa letu hili ,, linatuleta watu toka sehemu mbali mbali za nchi yetu ya Tanzania ,, leo nimeona niwaletee picha mbali mbali za mkoa wa Iringa ,, mkoa ambao unapatikana nyanda za juu kusini mwa nchi ya Tanzania ..

Mkoa ambao unasifika kwa kuwa na sifa mbali mbali kama vile mkoa wenye barisi kali ,, mkoa unaosifika kwa kilimo cha mahindi ,, mkoa wenye vivutio vingi vya utalii kwa upande wa nyanda za juu kusuni ,, mkoa anaotokea shujaa mkwawa shujaa pekee aliyeweza kuwatandika wazungu ,, mkoa wenye watu wakarimu na wachapa kazi ,, mkoa wa watu wasafii na nk.

Sasa basi sifuatazo ni picha mbali mbali za mkoa huu ambazo kwa namna moja au nyingine naamini zitaweza kukupa mwanga au ufahamu fulani juu ya mkoa huu ..


Picha ya 1: iringa C.B.D


View attachment 3313156
Picha ya kwanza ikionesha iringa CBD ,, kushoto msikiti wa ijumaa ukiwa katika ujenzi chini ya campany ya Asasi,, kulia ni barabara inayokupeleka moja kwa moja stendi ya miyomboni ,, sehemu ya mbele kabisa ni barabara kuu ya Iringa - Dodoma
Na nyuma kabisa ni milima iliyoko katika mitaa mbali mbali ya iringa mjini

Picha ya 2, MAENEO YA MSHINDO

View attachment 3313159

Picha hii inaonesha kanisa maarufu sana mjini iringa kanisa la mshindo catholic ,, moja ya miongoni mwa makanisa makongwe kabisa nchini Tanzania ,, inasadikika kanisa hili lilianzishwa miaka ya 1920's

Picha ya 3 : KANISA LA MSHINDO

View attachment 3313165
Kanisa hili ni miongoni mwa icon ya mkoa huu wa iringa

Picha 4: iringa Zebra
View attachment 3313166

Hapa ni iringa zebra ,, hapa ni katikati kabisa ya mji huu wa iringa ,, kushoto ni jengo la Tanesco iringa ,, ghorofa hii ya rangi ya njano ni voda shop na barabara uionayo hapo ni barabara kuu Iringa - Dodoma
Na hiyo ghorofa rangi nyeupe iliopo upande wa kulia ni kalenga hotel


Picha 5: iringa CBDView attachment 3313170
Picha ikionesha Maeneo mbalimbali ya iringa cbd kama vile , Maeneo ya Mr , total na miyomboni

Picha 6: picha iliyopigwa kwa drone View attachment 3313173

Pichi cha hii iliyopigwa kwa drone ikionesha sehemu mbali mbali za iringa mjini , ikifocus zaidi maeneo ya chuo cha rucu ( ghorofa zenye rangi ya kijani upande wa kulia ) pamoja na barabara kuu iringa - dodoma na sehemu ya nyuma ya picha ni katikati ya mji wa iringa

picha 7 : kanisa la mshindo iringa View attachment 3313188
Waweza soma maelezo kwenye picha namba 2

Picha namba 8:View attachment 3313189
Maeneo ya mshindo iringa

Picha ya 9 iringa manicipal

View attachment 3313209

Picha hii inaonesha maeneo ya iringa manicipal ,, sehemu ambayo ofisi mbali mbali za mkoa zinapatikana

Picha ya : Iringa N.m.c
View attachment 3313212
Picha hii inaonesha ghala la iringa nation milling company ,, miongoni mwa maghala machache sana yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya kuhifadhia unga wa mahindi ,,, mikoa mingine ambayo unaweza pia kuyaona maghala ya namna hii ni pamoja na Arusha .. lakini kwenye baadhi ya mikoa kama tanga hasa kwenye viwanda vya cement ,, hutumika kuifadhia cement



Picha ya : Mufindi iringa


View attachment 3313192
Eneo hili lipo mafinga ,, wilaya moja wapo ya iringa ,, itakuchukua takribani masaa matano kutoka iringa mjini kufika mafundi ,,, ndiyo sehemu ambayo kilimo cha chai na ngano( japo kwa kiwango kidogo ) kinafanyika ,, ukiachilia mbali hali ya baridi iliyopo eneo hili ni miongoni mwa maeneo yenye mandhari nzuri sana ..

Lakini pia ningependa kuwakaribisha wadàu wengine wenye picha nyingine za mkoa huu waweze kuzipost humu ,, ili
tuweze kuufahamu zaidi mkoa huu hasa kwa wale ambao
hawajawahi kabisa kufika Iringa .

Asanteni
Wapi ghorofa la nyanginywa?
 
Back
Top Bottom