P Funk na Master J wapewe maua yao lakini nao walichangia pia kuua mziki na vipaji vya wengi

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,926
343105719_1975183936147650_6797357473391830359_n.jpg


walichangia pia kuua mziki na vipaji vya wengi kwa kiwaringia na kunyanyasa wasanii chipukizi maana wkt huo kuonana na hao ni kama kuonana na rais na waliringa mno saabu wakikuwa wao tu, yaani ukigombana nao tu hata iwe sababu ya mademu unabaki ndio imeisha hio ama ukikaza basi ni options chache mnoo, kule kwa mzungu Mwamba kulikuwa na foleni si kitoto maana alikuwa anarudi sana kwao Finland na akirudi bongo tayari kuna wasanii wapo pending anashughulika na moja moja, Mtu kama Peacock wa Kikongwe ilimchukua miezi 6
 
Back
Top Bottom