Sahihi ACT wazalendo wako vizuri sana Lengo lao kuingia Ikulu mkakati sahihi
Ndio lengo kuu la chama chochote makini cha siasa
Wakati CHADEMA wanawaza kuuingia msituni waliko ngedere na nyani ns sokwe huko kusiko na Ikulu
Ndio maana CPA Makalla alisema kuwa Chadema wana mpango wa kutuletea Ebola na Mpox ugonjwa unaoletwa na nyani,sokwe na ngedere wakiambukizwa huko porinii CHADEMA wanakoenda. Msituni