Pre GE2025 Othman Masoud achukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT Wazalendo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
2,498
7,056
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Wazalendo, ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman amechukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar.

1744533848257.png
Othman amechukua fomu hiyo leo Aprili 13,2025 majira ya saa 4.00 asubuhi ikiwa ni mwanachama wa kwanza kwa nafasi ya urais kuchukua fomu hiyo akikabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa Kamati ya Uchaguzi ya ACT Wazalendo, Mhene Said Rashid.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Baada ya kukabidhiwa fomu hiyo, Othman amesema "Leo sio siku ya kuzungumza ,nitakuja kuzungumza siku ambayo nitarejesha fomu April 16 mwaka huu"alisema Othman.

Chama hicho ni miongoni mwa nyama 18 vilivyosaini kanuni za maadili ya uchaguzi 2024 ambazo zitatumika kwenye uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ambapo kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari Kiongozi wa Chama hicho Ndugu Semu Dorothy alikwishatangaza nia ya kuwania nafasi hiyo.
 
Hapo nia yao siyo kushinda bali ruzuku,wamshukuru Maalim Seif.
 
CChama cha siasa kinafanya siasa lengo kuu ni kushika dola chama cha kihuni kinaendekeza mambo ya kihuni lengo kuu ni kuingia msituni viva Othumani Masoudi kila chama kina malengo yake!
Sahihi ACT wazalendo wako vizuri sana Lengo lao kuingia Ikulu mkakati sahihi

Ndio lengo kuu la chama chochote makini cha siasa

Wakati CHADEMA wanawaza kuuingia msituni waliko ngedere na nyani ns sokwe huko kusiko na Ikulu

Ndio maana CPA Makalla alisema kuwa Chadema wana mpango wa kutuletea Ebola na Mpox ugonjwa unaoletwa na nyani,sokwe na ngedere wakiambukizwa huko porinii CHADEMA wanakoenda. Msituni
 
Sahihi ACT wazalendo wako vizuri sana Lengo lao kuingia Ikulu mkakati sahihi

Ndio lengo kuu la chama chochote makini cha siasa

Wakati CHADEMA wanawaza kuuingia msituni waliko ngedere na nyani ns sokwe huko kusiko na Ikulu

Ndio maana CPA Makalla alisema kuwa Chadema wana mpango wa kutuletea Ebola na Mpox ugonjwa unaoletwa na nyani,sokwe na ngedere wakiambukizwa huko porinii CHADEMA wanakoenda. Msituni
Nafungua duka la pembejeo wawe wateja sasa hivi si chama cha siasa tena wamegeuka vikoba!
 
Mimi ninachojua, kunatofauti kubwa kati ACT iliyokuwa chini ya marehemu Seif

Iliyopo sasa ni tawi maalumu la ccm, mwenye kuona ni chama pinzani ni aidha anatokea ccm na mfuasi wa ccm

Hili naamini
 
Back
Top Bottom