kifanya njombe
Member
- Jun 10, 2017
- 10
- 9
Ni wa makambako mpaka maaskari wenzie wanamchukia kwa tabia zake za umungu,kama huko mbozi alikokuwa hawakumfunza hapa siku zake zinahesabika
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaaWee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.
Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.
Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.
Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....
Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......
Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
Mkuu wangu, unataka na yeye afe na KA-UKIMWI!? tokoshila pyee! Tokosanga manumba na mawee!Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.
Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.
Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.
Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....
Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......
Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
Mkuu, mnyalukolo wangu, mleke Sudi pige saako!Ni wa makambako mpaka maaskari wenzie wanamchukia kwa tabia zake za umungu,kama huko mbozi alikokuwa hawakumfunza hapa siku zake zinahesabika
Hivi OCCID ni cheo gani huko jeshi la polisi na kirefu chake ni nini? Tofauti yake na OCD ni ipi?OCCID Makambako maarufu kama Yesaya Sudi, amekuwa bingwa sana wa kuchomekea watu makosa kwa kutafuta rushwa kinguvu,jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini litaleta vurugu kati ya wananchi na polisi, yeye ni kama mungu mtu pale, sijui ni kwann Mahakama inaweza ikatoa tamko kuwa mtu hana hatia lakini yeye akamtia tena nguvuni na kumuundia tatizo jingine.
Hakuna anaemuhitaji si polisi wenzie mpaka sisi wananchi, kiukweli tumechoshwa na tabia zake yeye kikubwa kwake ni kutafuna wanawake wa wenzie na ukionekana karibu na wanawake hao jua unakutana na majanga,asipichukuliwa hatua za mapema atasababisha vurugu..
Ni heri wangetuachia OCCID alokuwepo mwanzoni Teddy alikuwa mtenda haki sio huyu.
Ngoja nikutoe tongotongo kidogo...Hivi OCCID ni cheo gani huko jeshi la polisi na kirefu chake ni nini? Tofauti yake na OCD ni ipi?
Acha na wewe nikutoe tongo tongoNgoja nikutoe tongotongo kidogo...
OCD- Mkuu wa kituo
OC-CID- Mkuu wa upelelezi makosa ya jinai,, ila bosi wake ni OCD
Ahsante sana. Kumbe ni OC-CID na siyo OCCID.Ngoja nikutoe tongotongo kidogo...
OCD- Mkuu wa kituo
OC-CID- Mkuu wa upelelezi makosa ya jinai,, ila bosi wake ni OCD
Mla rushwa na mchapakazi, duh!Wee jamaa umejiunga jf purposely kwa ajili ya kumchafua tu Sudi, mm binafsi sijaona utofauti wa tabia ya sudi na askari wengine.
Nachojua mm Sudi ni malaya just like you na mm, sudi anapenda rushwa na hiyo ni jadi ya police wote. Sudi anapenda kujikomba kwa matajiri wa Makambako na hiyo ni jadi ya police yoyote, sudi anapenda akishikilia kesi ya mtu anakomaa nayokisawasawa na ndiyo sababu kubwa ya wengi kutompenda Mk.
Nilitegemea uwataje wapuuzi kama akina Silvester wanaokesha na kushinda bar kufanya umalaya na umbea muda wote kua wahamishwe, we umekomaa na sudi.
Police wenzie hawampendi kwasababu ni mchapakazi na hataki ujinga ujinga .. unless uniambie unamtaka Rehema na unaona Sudi amekuzibia....
Wito kwa RPC na IGP, mpeni promo Sudi awe hata Ocd Makambako.......
Piga kazi Isaya ila punguza kidogooooo rushwa na umalaya brooo
OCID hachaguliwi bali anateuliwa. Kama kuna tatizo lolote lile ninadhani ungeliwasilisha kwa RPC au IGP maana simu zao zinajulika.OCCID Makambako maarufu kama Yesaya Sudi, amekuwa bingwa sana wa kuchomekea watu makosa kwa kutafuta rushwa kinguvu,jambo hili lisipoangaliwa kwa umakini litaleta vurugu kati ya wananchi na polisi, yeye ni kama mungu mtu pale, sijui ni kwann Mahakama inaweza ikatoa tamko kuwa mtu hana hatia lakini yeye akamtia tena nguvuni na kumuundia tatizo jingine.
Hakuna anaemuhitaji si polisi wenzie mpaka sisi wananchi, kiukweli tumechoshwa na tabia zake yeye kikubwa kwake ni kutafuna wanawake wa wenzie na ukionekana karibu na wanawake hao jua unakutana na majanga,asipichukuliwa hatua za mapema atasababisha vurugu..
Ni heri wangetuachia OCCID alokuwepo mwanzoni Teddy alikuwa mtenda haki sio huyu.
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaa
Huyu Sudi nilishasikia sana habari zake,kuna wakati nilikuwa Makambako kikazi zaidi,akaingia anga zangu na kutaka kunibambikia kesi,sema sikutaka kuonyeshana nae ubabe sbb kazi ilikuwa imenitinga sana,ila nilimtuliza kwa siku moja tu akagwaya.
Jamaa ana tabia za hovyo sana za kutaka virushwa vya ajabu ajabu,nilitaka kumpa hela za moto nikaamua kumpa somo kwanza next time asipalamie kila mtu
Daaah!!We jamaa umeuwaaaaaaa
Huyu Sudi nilishasikia sana habari zake,kuna wakati nilikuwa Makambako kikazi zaidi,akaingia anga zangu na kutaka kunibambikia kesi,sema sikutaka kuonyeshana nae ubabe sbb kazi ilikuwa imenitinga sana,ila nilimtuliza kwa siku moja tu akagwaya.
Jamaa ana tabia za hovyo sana za kutaka virushwa vya ajabu ajabu,nilitaka kumpa hela za moto nikaamua kumpa somo kwanza next time asipalamie kila mtu