Wanatafuta kick za msimu, shule wamefunga kwa ajili ya Pasaka.Hivi hao watoto wa Obama hawana kazi ya kufanya?
Kila baba anakoenda na wao wapo!
Alikuwa ana maanisha jambo hilo kuwa ni impssbl!!Commander Fidel Castro na utabiri kuhusu Rais Mweusi Marekani:-
In 1973, just returned from a visit to Vietnam, Commander Fidel Castro was (speaking to international journalists). The journalist Bryan Davis from an English agency asked: “When do you think relations between Cuba and the United States, two countries as far away despite the geographical proximity, will be restored?”. Fidel Castro stared and replied to all who were in the room: “United States will come to talk to us when they have a black president and the world has a Latin American pope.
mkuu umeniwahi sijui hawa watoto hawasomi?
Alikuwa ana maanisha jambo hilo kuwa ni impssbl!!
Nimeipenda sana hii Quote, inaonyesha jinsi Mungu anavyofuatilia Neno!! Na huu ndio ukuu wa Mungu.Commander Fidel Castro na utabiri kuhusu Rais Mweusi Marekani:-
In 1973, just returned from a visit to Vietnam, Commander Fidel Castro was (speaking to international journalists). The journalist Bryan Davis from an English agency asked: “When do you think relations between Cuba and the United States, two countries as far away despite the geographical proximity, will be restored?”. Fidel Castro stared and replied to all who were in the room: “United States will come to talk to us when they have a black president and the world has a Latin American pope.
Kwani wewe umezalishwa?! Mbona mnapenda kijidharau kha! Mpaka mnaboa!!
Obama nae fala kweli asee yaan mke yupo anahangaika na mwamvuli si bora angemuacha zake Florida ale vumbi asifike kisiwani
Hii mitoto imedekezwa sana kila siku kiguu na njia... Angani kila aendako mshua wao.. Km ni mimi nawachafua vibao Hatar
Hivi hao security wa jamaa mvua haiwanyeshei ??? Ila majibu yasiwe tu jamaa ni makomando wa kutisha kwamba mvua hazipiti kwenye miili yao
Teh itabidi tu nikubali maana unaweza ambiwa jamaa wameongozewa layer ya plastic kwenye miili yao wakati wa mafunzoEti miili yao ni rain proof!
Uncle...
Teh teh sawa mkuuHao jamaa kaka ni hatari,wana mafunzo ya kukwepa matone ya mvua,haha!
Teh itabidi tu nikubali maana unaweza ambiwa jamaa wameongozewa layer ya plastic kwenye miili yao wakati wa mafunzo
Maana kuna mlinzi mmoja wa Obama washasema ni Alien kisa fuvu la kichwa sijui likoje
Hahahahaha. ...hlo fuvu lake likoje?!Teh itabidi tu nikubali maana unaweza ambiwa jamaa wameongozewa layer ya plastic kwenye miili yao wakati wa mafunzo
Maana kuna mlinzi mmoja wa Obama washasema ni Alien kisa fuvu la kichwa sijui likoje
Teh teh kama fuvu la Alien ,sasa mimi hilo fuvu la Alien sijui likoje maana sijawahi hata kubahatika kumwona Alien akiwa hai sembuse fuvu lakeHahahahaha. ...hlo fuvu lake likoje?!