johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,210
- 172,430
Nakumbuka kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 Chadema kupitia UKAWA walikuwa wanaimba Tenzi za Rohoni na kutoa sadaka kwenye mikutano ya kampeni za kisiasa
Niwakumbushe tu nyimbo za injili ni ibada siyo Sanaa kama nyimbo za Kipagani za akina Diamond, Ally Kiba, Zuchu nk
Ni angalizo tu
Niwakumbushe tu nyimbo za injili ni ibada siyo Sanaa kama nyimbo za Kipagani za akina Diamond, Ally Kiba, Zuchu nk
Ni angalizo tu