Ntajuaje kama simu yangu imewekewa spy application?

Going Concern

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
1,071
1,212
Naisi nimewekewa spy application kwenye simu yangu, kila nachofanya nakuja kuambiwa, nifanyeje kujua kama imewekwa kweli, na jinsi ya kuiblock......
 
hapana mkuu

Nenda setting then security then device administrator angalia kuna app yoyote imekuwa listed hapo? Mara nyingi panakuwa na device manager ya google tena inakuwa deactivated ukiona kitu chengine nambie.

Kama haujaroot simu inamaana factory reset inaweza kumtoa app anaespy unless umeroot ndio zitahitajika Njia za ziada. Ila factory reset iwe solution ya mwisho baada ya njia nyengine kushindwa.

Kitu chengine unachoweza kufanya Ni kwenda setting halafu app manager halafu downloaded apps then angalia app usioijua. App ya kuspy lazima itajiita jina la kawaida hivyo kuwa makini kuangalia Ni app ipi hujaidownload.

Pia unaweza download firewall na kuzipa ruhusa app unazozijua tu ziwe na acess ya internet, inamaana kama kuna spy app itabaki na data zake humo humo bila kupeleka kwa mhusika
 
Nenda setting then security then device administrator angalia kuna app yoyote imekuwa listed hapo? Mara nyingi panakuwa na device manager ya google tena inakuwa deactivated ukiona kitu chengine nambie.

Kama haujaroot simu inamaana factory reset inaweza kumtoa app anaespy unless umeroot ndio zitahitajika Njia za ziada. Ila factory reset iwe solution ya mwisho baada ya njia nyengine kushindwa.

Kitu chengine unachoweza kufanya Ni kwenda setting halafu app manager halafu downloaded apps then angalia app usioijua. App ya kuspy lazima itajiita jina la kawaida hivyo kuwa makini kuangalia Ni app ipi hujaidownload.

Pia unaweza download firewall na kuzipa ruhusa app unazozijua tu ziwe na acess ya internet, inamaana kama kuna spy app itabaki na data zake humo humo bila kupeleka kwa mhusika

mkuu wewe ni kiboko.hongera zako kwa misaada yako
 
dawa yake nunua sim isiyo na access ya internet kama nokia ya tochi mpya weka line mpya...asiijue no halafu dili zako zote chafu/ vimeo tumia iyo mpya kuwe uwe clean hata akiona msg na sim hakuna kesi..
NB: uwe care na sim mchepuko asiifume
 
Chief-Mkwawa nimefanikiwa moja kuitoa aseee kuna watu wana visa umu duniani, ila nielekeze line zangu zisiwe diverted na mtu yoyote,ziko diverted now bila ridhaa yangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom