Pre GE2025 No Reforms No Election yaingia Kariakoo, kuvurumishwa mtaa wa Nyamwezi, boda boda kuongoza msafara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
129,749
249,609
Baadhi ya Wadau wanachukulia kitendo cha Kampeni hii kabambe kupenya hadi Katikati ya Jiji la Dar es Salaam kama Ushindi dhidi ya Dhuluma za uchaguzi.

Screenshot_2025-04-21-20-02-47-1.png


Kwa Mujibu wa Ramani ya Ubongo wa kila Mtanzania, Kariakoo ndio Kitovu cha Nchi na ndio Eneo kiongozi wa Mambo yote Nchini Tanzania, Kukubalika kwa Chadema kwenye eneo hilo ni Pigo Takatifu kwa Mamluki wapinga Reforms

Taarifa zingine zimeeleza kwamba Msafara utakaoanzia Makao Makuu Mikocheni utaongozwa na Zaidi ya vijana 300 wa Boda boda.
 
Baadhi ya Wadau wanachukulia kitendo cha Kampeni hii kabambe kupenya hadi Katikati ya Jiji la Dar es Salaam kama Ushindi dhidi ya Dhuluma za uchaguzi.

View attachment 3311266

Kwa Mujibu wa Ramani ya Ubongo wa kila Mtanzania, Kariakoo ndio Kitovu cha Nchi na ndio Eneo kiongozi wa Mambo yote Nchi Tanzania, Kukubalika kwa Chadema kwenye eneo hilo ni Pigo Takatifu kwa Mamluki wapinga Reforms

Taarifa zingine zimeeleza kwamba Msafara utakaoanzia Makao Makuu Mikocheni utaongozwa na Zaidi ya vijana 300 wa Boda boda.
Nimecheka hili neno kuvurumishwa..
 
Baadhi ya Wadau wanachukulia kitendo cha Kampeni hii kabambe kupenya hadi Katikati ya Jiji la Dar es Salaam kama Ushindi dhidi ya Dhuluma za uchaguzi.

View attachment 3311266

Kwa Mujibu wa Ramani ya Ubongo wa kila Mtanzania, Kariakoo ndio Kitovu cha Nchi na ndio Eneo kiongozi wa Mambo yote Nchi Tanzania, Kukubalika kwa Chadema kwenye eneo hilo ni Pigo Takatifu kwa Mamluki wapinga Reforms

Taarifa zingine zimeeleza kwamba Msafara utakaoanzia Makao Makuu Mikocheni utaongozwa na Zaidi ya vijana 300 wa Boda boda.
Safi
 
Baadhi ya Wadau wanachukulia kitendo cha Kampeni hii kabambe kupenya hadi Katikati ya Jiji la Dar es Salaam kama Ushindi dhidi ya Dhuluma za uchaguzi.

View attachment 3311266

Kwa Mujibu wa Ramani ya Ubongo wa kila Mtanzania, Kariakoo ndio Kitovu cha Nchi na ndio Eneo kiongozi wa Mambo yote Nchi Tanzania, Kukubalika kwa Chadema kwenye eneo hilo ni Pigo Takatifu kwa Mamluki wapinga Reforms

Taarifa zingine zimeeleza kwamba Msafara utakaoanzia Makao Makuu Mikocheni utaongozwa na Zaidi ya vijana 300 wa Boda boda.
Kuna taarifa kuwa hawataandamana bodaboda kupitia Viongozi wao ni ya kweli?
 
Back
Top Bottom