No doubt!: Kwa yaliyomtoka jana ni muendelezo wa kuwapa point tatu washindani wake kisiasa.

Mla Bata

JF-Expert Member
Jan 24, 2013
7,806
17,343
Wasalaam,


Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake"

kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia kuwa bado ana excessive self-doubt, low self-esteem, insecurity hizi zote ni sifa za Inferiority complex, amewapa wapinzani wake wa ndani na nje ya chama kuwa they can play her mind na akaingia kwenye 18.

According to the American Psychological Association, an inferiority complex is characterized by constant feelings of inadequacy or insecurity in your daily life due to a belief that you are physically or mentally inferior to others, whether such a belief is based on a rational assessment or not.

Kwa tafsiri ya moja kwa moja inferiority complex ni tatizo linahusisha hisia za mara kwa mara za kutostahili au kutojiamini katika maisha yako ya kila siku kwa sababu ya imani kwamba wewe ni duni kimwili au kiakili kuliko wengine, iwe imani hiyo inategemea tathmini ya kimantiki au la.

Nadhani wasaidizi wake wangefocus zaidi kwenye kumjenga kisaikolojia, uwezo anao, aache kupelekeshwa kihisia na afocus kwenye kuijenga nchi, aliyoyasema jana ni muendelezo wa ngonjera, taarabu na maneno ya kwenye kanga, watanganyika tunahitaji vitendo na si maneno, watanganyika tunahitaji maendeleo na sio mipasho.


Wasalaam,

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
 
Wasalaam,


Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake"

kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia kuwa bado ana excessive self-doubt, low self-esteem, insecurity hizi zote ni sifa za Inferiority complex, amewapa wapinzani wake wa ndani na nje ya chama kuwa they can play her mind na akaingia kwenye 18.

According to the American Psychological Association, an inferiority complex is characterized by constant feelings of inadequacy or insecurity in your daily life due to a belief that you are physically or mentally inferior to others, whether such a belief is based on a rational assessment or not.

Kwa tafsiri ya moja kwa moja inferiority complex ni tatizo linahusisha hisia za mara kwa mara za kutostahili au kutojiamini katika maisha yako ya kila siku kwa sababu ya imani kwamba wewe ni duni kimwili au kiakili kuliko wengine, iwe imani hiyo inategemea tathmini ya kimantiki au la.

Nadhani wasaidizi wake wangefocus zaidi kwenye kumjenga kisaikolojia, uwezo anao, aache kupelekeshwa kihisia na afocus kwenye kuijenga nchi, aliyoyasema jana ni muendelezo wa ngonjera, taarabu na maneno ya kwenye kanga, watanganyika tunahitaji vitendo na si maneno, watanganyika tunahitaji maendeleo na sio mipasho.


Wasalaam,

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
na ndoo mana utekaji kila kona ya nchi
 
Wasalaam,


Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake"

kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia kuwa bado ana excessive self-doubt, low self-esteem, insecurity hizi zote ni sifa za Inferiority complex, amewapa wapinzani wake wa ndani na nje ya chama kuwa they can play her mind na akaingia kwenye 18.

According to the American Psychological Association, an inferiority complex is characterized by constant feelings of inadequacy or insecurity in your daily life due to a belief that you are physically or mentally inferior to others, whether such a belief is based on a rational assessment or not.

Kwa tafsiri ya moja kwa moja inferiority complex ni tatizo linahusisha hisia za mara kwa mara za kutostahili au kutojiamini katika maisha yako ya kila siku kwa sababu ya imani kwamba wewe ni duni kimwili au kiakili kuliko wengine, iwe imani hiyo inategemea tathmini ya kimantiki au la.

Nadhani wasaidizi wake wangefocus zaidi kwenye kumjenga kisaikolojia, uwezo anao, aache kupelekeshwa kihisia na afocus kwenye kuijenga nchi, aliyoyasema jana ni muendelezo wa ngonjera, taarabu na maneno ya kwenye kanga, watanganyika tunahitaji vitendo na si maneno, watanganyika tunahitaji maendeleo na sio mipasho.


Wasalaam,

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
Mgombea pekee wa fomu moja na ushindi mmoja, nyingine mi taratibu tu.
 
Wasalaam,


Wahenga hunena "Kimtokacho mtu kinywani ndicho kiujazacho moyo wake"

kwa maneno yake ya jana kwa mtu mwenye kufanya tafakuri basi ni dhahiri shahiri yale wasemayo watu yana ukweli ndani yake, hata kwa sisi tuliokuwa tunampa benefit of the doubts basi ameprove na kutudhihirishia kuwa bado ana excessive self-doubt, low self-esteem, insecurity hizi zote ni sifa za Inferiority complex, amewapa wapinzani wake wa ndani na nje ya chama kuwa they can play her mind na akaingia kwenye 18.

According to the American Psychological Association, an inferiority complex is characterized by constant feelings of inadequacy or insecurity in your daily life due to a belief that you are physically or mentally inferior to others, whether such a belief is based on a rational assessment or not.

Kwa tafsiri ya moja kwa moja inferiority complex ni tatizo linahusisha hisia za mara kwa mara za kutostahili au kutojiamini katika maisha yako ya kila siku kwa sababu ya imani kwamba wewe ni duni kimwili au kiakili kuliko wengine, iwe imani hiyo inategemea tathmini ya kimantiki au la.

Nadhani wasaidizi wake wangefocus zaidi kwenye kumjenga kisaikolojia, uwezo anao, aache kupelekeshwa kihisia na afocus kwenye kuijenga nchi, aliyoyasema jana ni muendelezo wa ngonjera, taarabu na maneno ya kwenye kanga, watanganyika tunahitaji vitendo na si maneno, watanganyika tunahitaji maendeleo na sio mipasho.


Wasalaam,

"Everything is possible for those who believe" lets meet at the top, cheers 🥂.

Mla bata

München, Deutschland 🇩🇪.
person who cannot control their emotions should never hold the position of president because leadership requires patience, rational decision-making, and emotional stability.
Itoshe kusema mwanamke sio kiongozi.
 

Attachments

  • 5872400-0291b2ca9c7d3b297e2c695a9fc8f5a7.mp4
    4.5 MB
Back
Top Bottom