Njia pekee ya kuwatisha CCM ni kwa maandamano na sio vinginevyo, sio kwa maneno makari wala Press conference, Keybord worriors tusidanganyane

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
4,546
11,892
Kuna watu wamekaa kiti cha mbele na wanaamini kwamba Lisu kwa sababu ana ongea sana maneno makari sana basi watawala watatishika sana au atakuwa anatoa press conference kari kari na CCM watatishika sana.

Hio haipo na haijawahi tokea Duniani labda ianzie Tanzania kwa mara ya kwanza. ni sawa na kutishia tu nyau.

Watawala Duniani kote hutishwa na kitu kimoja au viwili Maandamano na Migomo basi.

Sasa Tanzania hii ya Simba na Yanga Migomo na Maandamano ni ndoto za mchana kweupe, sio utamaduni wetu, Sioni Tanzania hii vikitokea na tusidanganye humu sisi ma Keybord worriors, hatuwezi maandamano na maanadamano sio utamaduni wetu vitu kama hivyo vinawezekana juko jirani.

Raial Odinga sio mtu wa maneno makari makari sana ila vibe la worriors wake ndio balaa tupu.

Sasa kama tunazania maneno makari yanaweza tishia watawala ni tunajidanganyana mchana kweupe.

Maneno makari ya Lisu hayana impact kwa watawala wala CCM yake.

Keybord worriors tuache kudanganyana humu na kupeana matumaini.
 
Kuna watu wamekaa kiti cha mbele na wanaamini kwamba Lisu kwa sababu ana ongea sana maneno makari sana basi watawala watatishika sana au atakuwa anatoa press conference kari kari na CCM watatishika sana.

Hio haipo na haijawahi tokea Duniani labda ianzie Tanzania kwa mara ya kwanza. ni sawa na kutishia tu nyau.

Watawala Duniani kote hutishwa na kitu kimoja au viwili Maandamano na Migomo basi.

Sasa Tanzania hii ya Simba na Yanga Migomo na Maandamano ni ndoto za mchana kweupe, sio utamaduni wetu, Sioni Tanzania hii vikitokea na tusidanganye humu sisi ma Keybord worriors, hatuwezi maandamano na maanadamano sio utamaduni wetu vitu kama hivyo vinawezekana juko jirani.

Raial Odinga sio mtu wa maneno makari makari sana ila vibe la worriors wake ndio balaa tupu.

Sasa kama tunazania maneno makari yanaweza tishia watawala ni tunajidanganyana mchana kweupe.

Maneno makari ya Lisu hayana impact kwa watawala wala CCM yake.

Keybord worriors tuache kudanganyana humu na kupeana matumaini.
Infact,
hata hivyo Lisu haijawahi kua na maneno makali zaidi ya kubweka bweka na kisauti chake cha kwanza, unadhani atamtisha nani sasa na sauti nyororo kama ile gentleman?🐒
 
Kuna watu wamekaa kiti cha mbele na wanaamini kwamba Lisu kwa sababu ana ongea sana maneno makari sana basi watawala watatishika sana au atakuwa anatoa press conference kari kari na CCM watatishika sana.

Hio haipo na haijawahi tokea Duniani labda ianzie Tanzania kwa mara ya kwanza. ni sawa na kutishia tu nyau.

Watawala Duniani kote hutishwa na kitu kimoja au viwili Maandamano na Migomo basi.

Sasa Tanzania hii ya Simba na Yanga Migomo na Maandamano ni ndoto za mchana kweupe, sio utamaduni wetu, Sioni Tanzania hii vikitokea na tusidanganye humu sisi ma Keybord worriors, hatuwezi maandamano na maanadamano sio utamaduni wetu vitu kama hivyo vinawezekana juko jirani.

Raial Odinga sio mtu wa maneno makari makari sana ila vibe la worriors wake ndio balaa tupu.

Sasa kama tunazania maneno makari yanaweza tishia watawala ni tunajidanganyana mchana kweupe.

Maneno makari ya Lisu hayana impact kwa watawala wala CCM yake.

Keybord worriors tuache kudanganyana humu na kupeana matumaini.
Lisu anatuhadaa
 
Wakuandamana nani?watanzania ni mahodari wa kuvumilia maumivu ya kuporwa haki zao.
 
Tunawashangaa hadi sasa hawajaenda kumkomboa kwa maandamano kampeni manager wao wa mitandaoni.
 
Ili tuandamane na tufanye migomo lazima tupate kiongozi ambaye sio mla RUSHWA kiongozi ambaye hawezi kutuuza kiongozi mpenda HAKI, kiongozi kama LISSU na HECHE.

Sifa ya kwanza ya kiongozi, ASIWE MLA RUSHWA
 
Kuna watu wamekaa kiti cha mbele na wanaamini kwamba Lisu kwa sababu ana ongea sana maneno makari sana basi watawala watatishika sana au atakuwa anatoa press conference kari kari na CCM watatishika sana.

Hio haipo na haijawahi tokea Duniani labda ianzie Tanzania kwa mara ya kwanza. ni sawa na kutishia tu nyau.

Watawala Duniani kote hutishwa na kitu kimoja au viwili Maandamano na Migomo basi.

Sasa Tanzania hii ya Simba na Yanga Migomo na Maandamano ni ndoto za mchana kweupe, sio utamaduni wetu, Sioni Tanzania hii vikitokea na tusidanganye humu sisi ma Keybord worriors, hatuwezi maandamano na maanadamano sio utamaduni wetu vitu kama hivyo vinawezekana juko jirani.

Raial Odinga sio mtu wa maneno makari makari sana ila vibe la worriors wake ndio balaa tupu.

Sasa kama tunazania maneno makari yanaweza tishia watawala ni tunajidanganyana mchana kweupe.

Maneno makari ya Lisu hayana impact kwa watawala wala CCM yake.

Keybord worriors tuache kudanganyana humu na kupeana matumaini.
Na hayo maandamano hata Lissu na Heche hawawezi kuyaongoza maana wanajua hatima yake.
 
Back
Top Bottom