Nje ya kufunga CCTV camera ni huduma gani nyingine inatajirisha IT wa Bongo?

G Tank

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
2,297
8,756
1732899699698.png

1732899773307.png


IT wengi wamejiajiri kwenye kupiga window, kuingiza muvi, ku burn cd, n.k. baadhi wamejiongeza kuwa mafundi simu, mafundi laptops, n.k. maendeleo yao kiuchumi huwa ni ya kawaida.

Kuna huu mchongo wa cctv camera umebadili maisha ya vijana wengi wa IT, vijana wanapush ndinga za 20M+, wenye akili wamejenga, n.k.

Soko lao lipo kwenye Maduka, Stoo / Godowns, nyumba za wazito, n.k.

Nje ya hii kitu kuna sehemu gani nyingine imeweza kuwa mkombozi kwa IT wa bongo ?
 
hii kazi imetajirisha vijana kwenye sekta ya IT, vijana wanapush ndinga za 20M+, wenye akili wanajenga, n.k.

Soko lao lipo kwenye Maduka, Stoo / Godowns, nyumba za wazito, n.k.

Nje ya hii kitu kuna sehemu gani nyingine imeweza kuwa mkombozi kwa IT wa bongo ?
Software (programming), cyber security
 
Software (programming), cyber security
Kwa ulaya inalipa lakini kwetu Bongo bado sana,

Programming tupo nyuma sana, ndio maana ni ngumu kukuta software / apps za kibongo na wengi wakihitaji huduma hii wanatumia IT wa nje ya nchi.

Cyber security kwa bongo haina uzito kabisa
 
View attachment 3165360
View attachment 3165364

IT wengi wamejiajiri kwenye kupiga window, kuingiza muvi, ku burn cd, n.k. baadhi wamejiongeza kuwa mafundi simu, mafundi laptops, n.k. maendeleo yao kiuchumi huwa ni ya kawaida.

Kuna huu mchongo wa cctv camera umebadili maisha ya vijana wengi wa IT, vijana wanapush ndinga za 20M+, wenye akili wamejenga, n.k.

Soko lao lipo kwenye Maduka, Stoo / Godowns, nyumba za wazito, n.k.

Nje ya hii kitu kuna sehemu gani nyingine imeweza kuwa mkombozi kwa IT wa bongo ?
Kufunga CCTV camera sio mpaka huwe mtu wa IT! Watu wa IT wenye ukwasi ni wale walioajiriwa na taasisi kubwa za IT ulimwenguni au mitandaobya simu! Nje ya hapo tiamajitiamaji! Software Developer ingewatoa ila hawajui marketing!
 
Mo katokea uko utajili wake!! Kwa kufunga CCTV camera.kaza utamzidi tu
All the best
 
Kwa ulaya inalipa lakini kwetu Bongo bado sana,

Programming tupo nyuma sana, ndio maana ni ngumu kukuta software / apps za kibongo na wengi wakihitaji huduma hii wanatumia IT wa nje ya nchi.

Cyber security kwa bongo haina uzito kabisa
Cyber ilikuwa haina uzito, but to 2018 rise started
 
Back
Top Bottom