gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,309
- 3,337
Labda mtu anipe tafsiri tofauti ya neno uchochezi ni nini lakini vinginevyo hili gazeti lazima lichukuliwe hatua.
Kuandika kwamba watanzania wanakosa imani na raisi si sawa kwani huweza kupelekea ama kujenga taswira hasi ama kuleta hofu zisizo za kweli ama kwa rais ama kwa watanzania.
Ni vema vyombo vya habari vikawa makini kuchuja habari zake ili zisilete taharuki na kulinda amani tulionayo kwani vyombo vya habari vina nguvu mno aidha kuchafua ama kuilinda hii amani tulionayo
Kuna kila sababu Nape akachkua hatua harakaharaka ili kudhibiti hiii hali isiendelee.
Up to date
Hizi comment zote hapa chini zinazosema "hata mimi sina imani naye" ni zao la uchochezi wa hili gazeti mbona kabla hamkusema?
Nape chukua hatua haraka.
Kuandika kwamba watanzania wanakosa imani na raisi si sawa kwani huweza kupelekea ama kujenga taswira hasi ama kuleta hofu zisizo za kweli ama kwa rais ama kwa watanzania.
Ni vema vyombo vya habari vikawa makini kuchuja habari zake ili zisilete taharuki na kulinda amani tulionayo kwani vyombo vya habari vina nguvu mno aidha kuchafua ama kuilinda hii amani tulionayo
Kuna kila sababu Nape akachkua hatua harakaharaka ili kudhibiti hiii hali isiendelee.
Up to date
Hizi comment zote hapa chini zinazosema "hata mimi sina imani naye" ni zao la uchochezi wa hili gazeti mbona kabla hamkusema?
Nape chukua hatua haraka.