Nini maana ya maisha?

Mtu Alie Nyikani

JF-Expert Member
Nov 9, 2022
760
1,669
Habari,
Leo Katika siku tulivu, nilipata muda wa kutafakari juu ya maajabu ya ulimwengu. Niliketi nje, nikisikiliza upepo ukivuma na kutazama anga pana. Katika utulivu huo, swali moja lilinijia: "Je, maisha ni nini?" Swali hili liliamsha hamu ya kutafuta majibu, lakini pia lilinifanya nijiulize maswali mengi zaidi.

Ni kweli kwamba tunapambana sana hapa duniani, tunatafuta mali, madaraka, na mafanikio. Lakini je, haya ndiyo yote ambayo maisha yanatupa? Tunapoangalia nyuma, tunaona jinsi vitu vingi tunavyovifanya vinavyoonekana kuwa vidogo sana ikilinganishwa na ukuu wa ulimwengu. Tunapojilinganisha na muda mrefu wa historia, maisha yetu ya hapa duniani ni kama chembe ndogo sana mithiri ya mbegu moja ya mchicha. Yote haya huwa ni kazi bure kwa sababu mishoni tunaishia ardhini na kuviacha hivi vyote tulivyo vipambania , kwa hakika maisha ya mwanadamu ni kazi Bure. Sababu yote haya kifo kinakuja kuyamaliza.

Kifo ni ukweli usioepukika. Ni mwisho wa safari yetu duniani. Lakini je, kifo ndicho kinachofanya maisha kuwa na maana? Au kuna kitu kingine zaidi? Labda maana ya maisha ipo katika safari yenyewe, katika uzoefu wetu, katika mahusiano yetu na wengine, na katika mchango wetu kwa ulimwengu.

Nilijikuta nikifikiria wimbo mmoja wa Bushoke unaoitwa "Dunia Njia". Wimbo huu umenipa ukumbusho muhimu kwamba maisha ni safari tu, na kwamba hatimaye tutaondoka duniani. Matendo yetu hapa duniani ndiyo yatakayotufanya tukumbukwe na ndiyo yatakayoamua hatima yetu.

Katika mwisho, tunaweza kuhitimisha kwamba maisha ni zawadi ya thamani. Ni fursa ya kujifunza, kukua, na kuacha alama ya kudumu katika ulimwengu. Lakini ni muhimu kukumbuka kwamba maisha ni ya muda mfupi, na kwamba tunapaswa kuitumia kwa busara na Kwa utu.

"Tusichoke kuomba kila tunapo amka, na kabla ya kulala"
 
Habari,
Leo Katika siku tulivu, nilipata muda wa kutafakari juu ya maajabu ya ulimwengu. Niliketi nje, nikisikiliza upepo ukivuma na kutazama anga pana. Katika utulivu huo, swali moja lilinijia: "Je, maisha ni nini?" Swali hili liliamsha hamu ya kutafuta majibu, lakini pia lilinifanya nijiulize maswali mengi zaidi.

Ni kweli kwamba tunapambana sana hapa duniani, tunatafuta mali, madaraka, na mafanikio. Lakini je, haya ndiyo yote ambayo maisha yanatupa? Tunapoangalia nyuma, tunaona jinsi vitu vingi tunavyovifanya vinavyoonekana kuwa vidogo sana ikilinganishwa na ukuu wa ulimwengu. Tunapojilinganisha na muda mrefu wa historia, maisha yetu ya hapa duniani ni kama chembe ndogo sana mithiri ya mbegu moja ya mchicha. Yote haya huwa ni kazi bure kwa sababu mishoni tunaishia ardhini na kuviacha hivi vyote tulivyo vipambania , kwa hakika maisha ya mwanadamu ni kazi Bure. Sababu yote haya kifo kinakuja kuyamaliza.

Kifo ni ukweli usioepukika. Ni mwisho wa safari yetu duniani. Lakini je, kifo ndicho kinachofanya maisha kuwa na maana? Au kuna kitu kingine zaidi? Labda maana ya maisha ipo katika safari yenyewe, katika uzoefu wetu, katika mahusiano yetu na wengine, na katika mchango wetu kwa ulimwengu.

Nilijikuta nikifikiria wimbo mmoja wa Bushoke unaoitwa "Dunia Njia". Wimbo huu umenipa ukumbusho muhimu kwamba maisha ni safari tu, na kwamba hatimaye tutaondoka duniani. Matendo yetu hapa duniani ndiyo yatakayotufanya tukumbukwe na ndiyo yatakayoamua hatima yetu.

Katika mwisho, tunaweza kuhitimisha kwamba maisha ni zawadi ya thamani. Ni fursa ya kujifunza, kukua, na kuacha alama ya kudumu katika ulimwengu. Lakini ni muhimu kukumbuka kwamba maisha ni ya muda mfupi, na kwamba tunapaswa kuitumia kwa busara na Kwa utu.

"Tusichoke kuomba kila tunapo amka, na kabla ya kulala"
maisha ni kuzaliwa,kuishi,kula,kulala,kuamka,kunya,kuamka,ku2mikia 2mbo,kuzaa au kutozaa,misukosuko kwa san,furaha kiasi,huzuni kwa sana,chuki,tamaa,,,,,,na kufa
 
umeandika mengi sasa sijui ni kweli unahitaji tafsiri ya maisha ama unatafuta nani anafaidika na maisha yrtu!..?!! nitajibu kwa uelewa wangu watu wengi huchanganya maana ya maisha na mambo ya maisha!.. mambo ya maisha yanakuja baada ya maisha yenyewe namaanisha kuishi vitendo yani kula,kunywa,kusafiri na vyote vinavyopatikana ktk vitendo vya maisha hivyo ndio vitendo vya maisha lkn tafsiri yenyewe ya maisha ni ndogo ila inamaana kubwa ukiichambua.

Maisha ni uhai.
hiyo ndio tafsiri yangu ya maisha ni rahisi kuitamka lkn kimaana ni pana sana!,uhai ndio unaotoa ruhusu ya wewe kuenenda kwenye maisha yani vile vitendo vya maisha sijui utajiri,umaskini,kula,kulala n.k
uhai ukitoeka hakuna maisha!,hivyo tafsiri rasmi ya maisha ni uhai.

swala la kuyaangalia maisha ktk muktadha wa faida kusema kweli ni kama vile maisha hayatupi faida sisi binadamu!,mimi si muumini wa maswala ya dini! wao huamini kuna kwenda mbinguni ama motoni.. kwao maisha yanaweza kuwa na faida ktk mtazamo huo.
nachoamini ukifa na habari yako imekwisha! hakuna tuzo utapata ama fungu lolote kama faida baada ya wewe kuishi kivyovyote hapa duniani!.


kama sisi hatufaidiki aidha yupo anaefaidika na uhai/maisha yetu hapa duniani! sijui ni nini lakini ni kama vile mkulima anapolima mmea,mmea haujui umepandwa na nnani wala hauna haja kujua upo kwa faida ya nani wenyewe ukipandwa utaota tu!,ila mkulima ndo mnufaika mkuu!.
na kama maisha yetu yatakuwa hayakinufaishi chochote basi inaweza kudhihirisha kuwa ulimwenguni hakuna kitu kinachoitwa "faida". i mean ktk tafsiri basi faida itakuwa ni tafsiri zetu lkn ulimwengu hauhesabu kitu faida kama sheria inazozitambua! hapo nazungumzia nature.
so still tupo kwenye dark, inavyoonyesha bado tunasafari ndefu kwenye kuufunua ulimwengu!.
 
umeandika mengi sasa sijui ni kweli unahitaji tafsiri ya maisha ama unatafuta nani anafaidika na maisha yrtu!..?!! nitajibu kwa uelewa wangu watu wengi huchanganya maana ya maisha na mambo ya maisha!.. mambo ya maisha yanakuja baada ya maisha yenyewe namaanisha kuishi vitendo yani kula,kunywa,kusafiri na vyote vinavyopatikana ktk vitendo vya maisha hivyo ndio vitendo vya maisha lkn tafsiri yenyewe ya maisha ni ndogo ila inamaana kubwa ukiichambua.

Maisha ni uhai.
hiyo ndio tafsiri yangu ya maisha ni rahisi kuitamka lkn kimaana ni pana sana!,uhai ndio unaotoa ruhusu ya wewe kuenenda kwenye maisha yani vile vitendo vya maisha sijui utajiri,umaskini,kula,kulala n.k
uhai ukitoeka hakuna maisha!,hivyo tafsiri rasmi ya maisha ni uhai.

swala la kuyaangalia maisha ktk muktadha wa faida kusema kweli ni kama vile maisha hayatupi faida sisi binadamu!,mimi si muumini wa maswala ya dini! wao huamini kuna kwenda mbinguni ama motoni.. kwao maisha yanaweza kuwa na faida ktk mtazamo huo.
nachoamini ukifa na habari yako imekwisha! hakuna tuzo utapata ama fungu lolote kama faida baada ya wewe kuishi kivyovyote hapa duniani!.


kama sisi hatufaidiki aidha yupo anaefaidika na uhai/maisha yetu hapa duniani! sijui ni nini lakini ni kama vile mkulima anapolima mmea,mmea haujui umepandwa na nnani wala hauna haja kujua upo kwa faida ya nani wenyewe ukipandwa utaota tu!,ila mkulima ndo mnufaika mkuu!.
na kama maisha yetu yatakuwa hayakinufaishi chochote basi inaweza kudhihirisha kuwa ulimwenguni hakuna kitu kinachoitwa "faida". i mean ktk tafsiri basi faida itakuwa ni tafsiri zetu lkn ulimwengu hauhesabu kitu faida kama sheria inazozitambua! hapo nazungumzia nature.
so still tupo kwenye dark, inavyoonyesha bado tunasafari ndefu kwenye kuufunua ulimwengu!.
Umeandika sahihi kabsa. Na Kuna kitu nimejifunza kupitia hili andiko lako.
Stay blessed Mkuu
 
Maisha ni uwepo wako kuanzia kuzaliwa hadi kufa...

Ulipata ulikosa ulichohitaji haiondoi kuwa uliishi hata kama uliishia kitandani.
 
umeandika mengi sasa sijui ni kweli unahitaji tafsiri ya maisha ama unatafuta nani anafaidika na maisha yrtu!..?!! nitajibu kwa uelewa wangu watu wengi huchanganya maana ya maisha na mambo ya maisha!.. mambo ya maisha yanakuja baada ya maisha yenyewe namaanisha kuishi vitendo yani kula,kunywa,kusafiri na vyote vinavyopatikana ktk vitendo vya maisha hivyo ndio vitendo vya maisha lkn tafsiri yenyewe ya maisha ni ndogo ila inamaana kubwa ukiichambua.

Maisha ni uhai.
hiyo ndio tafsiri yangu ya maisha ni rahisi kuitamka lkn kimaana ni pana sana!,uhai ndio unaotoa ruhusu ya wewe kuenenda kwenye maisha yani vile vitendo vya maisha sijui utajiri,umaskini,kula,kulala n.k
uhai ukitoeka hakuna maisha!,hivyo tafsiri rasmi ya maisha ni uhai.

swala la kuyaangalia maisha ktk muktadha wa faida kusema kweli ni kama vile maisha hayatupi faida sisi binadamu!,mimi si muumini wa maswala ya dini! wao huamini kuna kwenda mbinguni ama motoni.. kwao maisha yanaweza kuwa na faida ktk mtazamo huo.
nachoamini ukifa na habari yako imekwisha! hakuna tuzo utapata ama fungu lolote kama faida baada ya wewe kuishi kivyovyote hapa duniani!.


kama sisi hatufaidiki aidha yupo anaefaidika na uhai/maisha yetu hapa duniani! sijui ni nini lakini ni kama vile mkulima anapolima mmea,mmea haujui umepandwa na nnani wala hauna haja kujua upo kwa faida ya nani wenyewe ukipandwa utaota tu!,ila mkulima ndo mnufaika mkuu!.
na kama maisha yetu yatakuwa hayakinufaishi chochote basi inaweza kudhihirisha kuwa ulimwenguni hakuna kitu kinachoitwa "faida". i mean ktk tafsiri basi faida itakuwa ni tafsiri zetu lkn ulimwengu hauhesabu kitu faida kama sheria inazozitambua! hapo nazungumzia nature.
so still tupo kwenye dark, inavyoonyesha bado tunasafari ndefu kwenye kuufunua ulimwengu!.
Ni kweli ukiangali dunia inakuwa balanced vizuri kwa sababu ya vifo.. yaani kila kitu kipo kimzunguko.
 
Maisha hayana mwisho ,ukifa unakua mbolea unaendeleza maisha ya viumbe vingine tena ,ni mfumo wako unabadilika katika mchakato mwingne wa uhai.
 
umeandika mengi sasa sijui ni kweli unahitaji tafsiri ya maisha ama unatafuta nani anafaidika na maisha yrtu!..?!! nitajibu kwa uelewa wangu watu wengi huchanganya maana ya maisha na mambo ya maisha!.. mambo ya maisha yanakuja baada ya maisha yenyewe namaanisha kuishi vitendo yani kula,kunywa,kusafiri na vyote vinavyopatikana ktk vitendo vya maisha hivyo ndio vitendo vya maisha lkn tafsiri yenyewe ya maisha ni ndogo ila inamaana kubwa ukiichambua.

Maisha ni uhai.
hiyo ndio tafsiri yangu ya maisha ni rahisi kuitamka lkn kimaana ni pana sana!,uhai ndio unaotoa ruhusu ya wewe kuenenda kwenye maisha yani vile vitendo vya maisha sijui utajiri,umaskini,kula,kulala n.k
uhai ukitoeka hakuna maisha!,hivyo tafsiri rasmi ya maisha ni uhai.

swala la kuyaangalia maisha ktk muktadha wa faida kusema kweli ni kama vile maisha hayatupi faida sisi binadamu!,mimi si muumini wa maswala ya dini! wao huamini kuna kwenda mbinguni ama motoni.. kwao maisha yanaweza kuwa na faida ktk mtazamo huo.
nachoamini ukifa na habari yako imekwisha! hakuna tuzo utapata ama fungu lolote kama faida baada ya wewe kuishi kivyovyote hapa duniani!.


kama sisi hatufaidiki aidha yupo anaefaidika na uhai/maisha yetu hapa duniani! sijui ni nini lakini ni kama vile mkulima anapolima mmea,mmea haujui umepandwa na nnani wala hauna haja kujua upo kwa faida ya nani wenyewe ukipandwa utaota tu!,ila mkulima ndo mnufaika mkuu!.
na kama maisha yetu yatakuwa hayakinufaishi chochote basi inaweza kudhihirisha kuwa ulimwenguni hakuna kitu kinachoitwa "faida". i mean ktk tafsiri basi faida itakuwa ni tafsiri zetu lkn ulimwengu hauhesabu kitu faida kama sheria inazozitambua! hapo nazungumzia nature.
so still tupo kwenye dark, inavyoonyesha bado tunasafari ndefu kwenye kuufunua ulimwengu!.
Hoja zuri na imenifanya niwe na mixed emotions, kama binadamu akishakufa ndo maisha yake yanaishia papohapo manake mungu hayupo na if no God pia shetani hayupo kwahy tunaposkia maswala ya wachawi sijui waganga na propaganda na upigaji dhidi ya wanadamu, let's discuss this siyo kwa ubay lkn
 
umeandika mengi sasa sijui ni kweli unahitaji tafsiri ya maisha ama unatafuta nani anafaidika na maisha yrtu!..?!! nitajibu kwa uelewa wangu watu wengi huchanganya maana ya maisha na mambo ya maisha!.. mambo ya maisha yanakuja baada ya maisha yenyewe namaanisha kuishi vitendo yani kula,kunywa,kusafiri na vyote vinavyopatikana ktk vitendo vya maisha hivyo ndio vitendo vya maisha lkn tafsiri yenyewe ya maisha ni ndogo ila inamaana kubwa ukiichambua.

Maisha ni uhai.
hiyo ndio tafsiri yangu ya maisha ni rahisi kuitamka lkn kimaana ni pana sana!,uhai ndio unaotoa ruhusu ya wewe kuenenda kwenye maisha yani vile vitendo vya maisha sijui utajiri,umaskini,kula,kulala n.k
uhai ukitoeka hakuna maisha!,hivyo tafsiri rasmi ya maisha ni uhai.

swala la kuyaangalia maisha ktk muktadha wa faida kusema kweli ni kama vile maisha hayatupi faida sisi binadamu!,mimi si muumini wa maswala ya dini! wao huamini kuna kwenda mbinguni ama motoni.. kwao maisha yanaweza kuwa na faida ktk mtazamo huo.
nachoamini ukifa na habari yako imekwisha! hakuna tuzo utapata ama fungu lolote kama faida baada ya wewe kuishi kivyovyote hapa duniani!.


kama sisi hatufaidiki aidha yupo anaefaidika na uhai/maisha yetu hapa duniani! sijui ni nini lakini ni kama vile mkulima anapolima mmea,mmea haujui umepandwa na nnani wala hauna haja kujua upo kwa faida ya nani wenyewe ukipandwa utaota tu!,ila mkulima ndo mnufaika mkuu!.
na kama maisha yetu yatakuwa hayakinufaishi chochote basi inaweza kudhihirisha kuwa ulimwenguni hakuna kitu kinachoitwa "faida". i mean ktk tafsiri basi faida itakuwa ni tafsiri zetu lkn ulimwengu hauhesabu kitu faida kama sheria inazozitambua! hapo nazungumzia nature.
so still tupo kwenye dark, inavyoonyesha bado tunasafari ndefu kwenye kuufunua ulimwengu!.
🙏🍻👏👏👏
 
Maisha hayana mwisho ,ukifa unakua mbolea unaendeleza maisha ya viumbe vingine tena ,ni mfumo wako unabadilika katika mchakato mwingne uhai.
yanamwisho mkuu kinachokufa ni chenye uhai!. kitu kikiwa mfu huwezi kukiita tena kinamaisha!.
kama vilivyokufa utavihesabu sawa na vilivyo hai basi utakosa maana ya maisha ama uhai!.
 
Hoja zuri na imenifanya niwe na mixed emotions, kama binadamu akishakufa ndo maisha yake yanaishia papohapo manake mungu hayupo na if no God pia shetani hayupo kwahy tunaposkia maswala ya wachawi sijui waganga na propaganda na upigaji dhidi ya wanadamu, let's discuss this siyo kwa ubay lkn
Okay nipo huru na hilo tunaweza kujadili..
Katika maswala ya imani upande wangu sina imani na maswala hayo!.
Naomba nitafsirike hivi mimi sio atheist maana atheist wao husema kabisa hakuna Mungu,ni kana kwamba wamefungua ulimwengu wote na wakakuta kweli hakuna Mungu!.. dhahiri hiyo dhana yao ni uongo bado hatuja chunguza ulimwengu wote nakukuta hakuna Mungu!.

Aidha mimi ni agnostic hawa hawajui kuwa Mungu yupo au hayupo!,mimi unaweza ukanitafsiri hivyo.
Ila pamoja na hayo dhana ama nadharia ya Mungu/umungu. Naelewa katika mantiki yake ya kwamba huenda kukawa na alieumba ulimwengu,hii dhana naielewa na nikubali sasa kutakuwa kuna tofauti kwenye mtazamo tu!.

Dhana naielewa na kuikubali lkn sikubali miungu ama Mungu wote ambao nimewasikia hapa duniani!. Kwa maana hawajitoshelezi kisifa japo wengine wamekuwa nasifa kedekede lkn wameshindwa kukita kwenye akili yangu vilivyo!.
Kukita huko ni ktk namna yoyote iwe kihayawani ama kiuhalisia.. swala la kwanini siamini miungu iliyopo ni pana kama utataka tulijadili tutalijadili ila nilikuwa nakupa picha uelewe nini kipo kwenye akili yangu!.

Swala la uwepo wa haya mambo ya kufikirika yani Mungu,shetani n.k binafsi naona ni stori tu ambazo zilianzia zama hizo za kale zinashika vizazi na sasa hivi wengine wanatumia kama fursa! Binadamu ni kama bado yupo kwenye ukuaji! Evolution bado inaendelea!,kitapita tu na hichi kipindi cha imani hizi.
Inanipa mashaka sana dhana hizi haswa pale zinapokosa uhalisia ama uthibitisho vimekuwa ni vitu vyakusikia,tunaambiwa Mungu anaponya sidhani kama kungekuwa na watu wengi mahospitalini kama kweli angekuwa anaponya! Siwezi kwenda kulala miezi sita hospital wakati naweza kuponywa na Mungu kwa dakika!.
Its just a mind game nothing more!.

Inakuwaje sasa kama nakataa hawa miungu iliyopo,nafikiria nini kuhusu mwanzo wa ulimwengu nakila kitu..?

Sijui chanzo cha kila kitu, kwasababu majibu yangu hayatarajii imani zaidi bali mambo yaliyo dhahiri na katika kudhihirisha maswala yaliyopo ulimwenguni binadamu bado hajapiga hatua kubwa sana!,ila siku tutakapokuja kuuweka ulimwengu wote kiganjani mwetu ndio utaelewa which is what and how!.
Kushindwa kuujua ulimwengu wote ndio hata wenye imani kinachowalarua! Maana kama wangekuwa na hakika juu ya Mungu basi kusingekuwa na miungu kibao inayoabudiwa! Angekuwepo Mungu mmoja ambaye angefahamika dhahiri pasina mashaka ha kusingekuwa na mashaka mashaka wala kando lolote juu yake!.

Vilevile kama Mungu atakuwepo basi hana sifa ambazo wengi wao wamekuwa wanafikiri,wanafikiri Mungu ni lazima awe wa miujiza na lazima awe ni kiumbe..😅
Ulimwengu unaweza ukaja ukatushangaza sana tukija kujua sheria zote zinazopatikana ndani yake ama nje yake!.
Nitakuonyesha utata mmoja kuhusu Mungu hawa wanaohubiriwa haswa huyu wa imani hizi mbili.. Mungu huyu wamekuwa wakimsema kuwa ni muweza wa yote!,hii sentensi inaonekana kama ni sifa kuu lakini inashida sana na inaleta mkanganyiko kimantiki na mkanganyiko upo hapa..

Kama atakuwa ni muweza wa kila kitu basi je,anaweza kuumba jiwe asiloweza kulibeba..?
Kwasababu yeye ni muweza basi atatakiwa atengeneze na asiweze kulibeba na kwasababu hiyohiyo yeye ni muweza wa kila kitu basi atakapotakiwa alibebe atalazimika aliweze kulibeba na ikitokea akaweza kulibeba basi hakutengeneza jiwe lakumshinda kulibeba hivyo inaua uwezo wake wa kuweza kila kitu!.

Vitu ni vingi mkuu..
 
Back
Top Bottom