Nini kinafanya taxi kuwa na bei juu kuliko wasafirishaji wenzao wengine kama bolt bajaji

mlinzi mlalafofofo

JF-Expert Member
Apr 20, 2008
763
1,391
Kwa maeneo mengi ada yao ni mara 2 au 3 ya wenzao wengine kwa mfano ukiwa dar town centa unaenda ubungo utalipishwa elfu 20 hadi 30 au upo eapoti pale dodoma ukachukua taxi ikuzungushe ikakuache pale chakonichako yaani upande wa pili wa apoapo uwanjani utalipa elfu 30 wkt ukichukua bolt kama umelipa sana basi itakuwa elfu 3 hadi 5 hivi.

Je shida ni nini hasa hapa?

Je taxi zina kodi tofauti na hawa wenzao wengine?

Au wana wanalipa nini cha ziada ambacho hawa wengine hawalipi?
 
Ukiwa ume sajiliwa bolt au Uber una pata kigezo Cha kuwa viral (onekana) kwa wateja wengi, haijalishi muda au sehemu gani.
(Huyu wateja 5,10, 15), bado bei iko differ kutokana na eneo + tips.

Ila kimbembe kwa taksi ambae biashara yake ni uso kwa uso, hana guarantee ya uhakika wa wateja 2-3 so Ina bidi acharge bei juu ili aishi kibishi.
 
Kwa maeneo mengi ada yao ni mara 2 au 3 ya wenzao wengine kwa mfano ukiwa dar town centa unaenda ubungo utalipishwa elfu 20 hadi 30 au upo eapoti pale dodoma ukachukua taxi ikuzungushe ikakuache pale chakonichako yaani upande wa pili wa apoapo uwanjani utalipa elfu 30 wkt ukichukua bolt kama umelipa sana basi itakuwa elfu 3 hadi 5 hivi.

Je shida ni nini hasa hapa?

Je taxi zina kodi tofauti na hawa wenzao wengine?

Au wana wanalipa nini cha ziada ambacho hawa wengine hawalipi?
Taxi wanatumia ignorance ya mteja kutojua distance ya anapoanzia safari na aendako lakini bolt inapima
 
Back
Top Bottom