Nina wasiwasi na elimu anayoidai huyu Mheshimiwa Msukuma.

Mbase1970

JF-Expert Member
Jun 11, 2015
6,054
4,602
Huyu jamaa anajiita ni wa darasa la saba lakini nikipitia katika clip nyingi mara nyingi anaongea sana ukweli. Pitia video zifuatavyo halafu mkosoe halafu linganisha na wabunge wasomi wa CCM na CDM.
Hapa kuhusu mchanga

Hapa Wanafiki

Angalia hapa


Hapa yupo na Bashite


Hapa anamchana waziri wa Magufuli na kuwamaliza wanaCCM wenzake kwa kupiga makofi

Ningefurahi sana kama wabunge wetu wangekua wakweli kama huyu Msukuma. Kijiko anakiita kijiko na siyo uma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…