Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote

Changed ID

Member
Aug 5, 2018
79
68
Habari ndugu zangu wanaJamiiforums......Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote.

TATIZO:
Nikiiwasha inawaka lakini ndani ya sekunde kumi inazima tena baada ya zingine kumi inazima tena. Inakuwa inafanya mchezo wa aina hiyo muda wote ambao inakuwa imewashwa.

OMBI:
Mwenye kumfahamu fundi mzuri naomba anisaidie mawasiliano yake hapa hapa JF...Nitafurahi kama atakuwa anapatikana around Kimara to Kariakoo.

Ahsanteni
 
Kuna baadhi ya smart tv ina setting inayofanya kujizima kila baada ya muda fulani, jaribu kucheza na remote kidogo kabla fundi
 
Hakuna samsung tv org ambayo ni android kwa uelewa wangu wale wana Os yao so sema una copy tv
Habari ndugu zangu wanaJamiiforum......NIna TV ya Samsung inch 43 android,inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote.

TATIZO:
Nikiiwasha inawaka lakini ndani ya sekunde kumi inazima tena baada ya zingine kumi inazima tena.Inakuwa inafanya mchezo wa aina hiyo muda wote ambao inakuwa imewashwa.

OMBI:
Mwenye kumfahamu fundi mzuri naomba anisaidie mawasiliano yake hapa hapa JF...Nitafurahi kama atakuwa anapatikana around Kimara to Kariakoo.

Ahsanteni
 
Hakuna samsung tv org ambayo ni android kwa uelewa wangu wale wana Os yao so sema una copy tv
Yep hakuna Samsung TV ambayo ni Android wanatumia OS yao ya Tizen.

Inazima yaani inafuata process ya kushutdown au kama inakatika umeme ghafla? Anyway angalia kama tatizo bado lipo ukitumia hdmi na angalia kama inaover heat, weka feni moja kwa moja kwenye matundu ya hewa uone kama ina angalau.
 
Yep hakuna Samsung TV ambayo ni Android wanatumia OS yao ya Tizen.

Inazima yaani inafuata process ya kushutdown au kama inakatika umeme ghafla? Anyway angalia kama tatizo bado lipo ukitumia hdmi na angalia kama inaover heat, weka feni moja kwa moja kwenye matundu ya hewa uone kama i

Yep hakuna Samsung TV ambayo ni Android wanatumia OS yao ya Tizen.

Inazima yaani inafuata process ya kushutdown au kama inakatika umeme ghafla? Anyway angalia kama tatizo bado lipo ukitumia hdmi na angalia kama inaover heat, weka feni moja kwa moja kwenye matundu ya hewa uone kama ina angalau.
Sorry namaanisha smart 4K...
Inakata ghafla.

Niliwahi kudiagnosis mwenye tatizo kwa kuangalia Youtube,video nyingi zilionyesha ni tatizo la ribbon,nilijaribu kufatisha walicho kifanya lakini haikuzaa matunda labda pengine mimi si mtaalam hivyo sikuweza kufikia muafaka.Baada ya hapo nilianza kutafuta mafundi.

Fundi wa kwanza:Alisema ni issue ya backlight zimeungua.

Fundi wa pili:Alisema kioo kimeungua.

Fundi wa tatu:Alisema system ya TV imeungua.

Mafundi wote hao hakuna aliyekuja sawa na nilivyoona solution yake Youtube.Lakini pia mafundi wote hao walitofautiana katika kuona tatizo.Hiki ndicho kilichopelekea kuja kwenu wana JF,ili niweze kuelekezwa fundi mzuri kabisa.
 
Habari ndugu zangu wanaJamiiforums......Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote.

TATIZO:
Nikiiwasha inawaka lakini ndani ya sekunde kumi inazima tena baada ya zingine kumi inazima tena. Inakuwa inafanya mchezo wa aina hiyo muda wote ambao inakuwa imewashwa.

OMBI:
Mwenye kumfahamu fundi mzuri naomba anisaidie mawasiliano yake hapa hapa JF...Nitafurahi kama atakuwa anapatikana around Kimara to Kariakoo.

Ahsanteni
Pole sana nenda pale kibo msikitini mwone fundi anaitwa Baraka atakusaidia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom