Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Dotto mkubwa

Member
Sep 1, 2024
23
34
Habari ya Jumapili wakuu,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka24 kwa sasa bado nipo chuo naendelea na masomo.

Tatizo langu kubwa linalofanya nisiyafurahie maisha yangu ni tatizo la kuwa na uumemdogo/kibamia. Vipimo vya uume wangu ni, ukiwa umelala nie inch1.5 na ukiwa umesimama nieinch5.6.

Katika maisha yangu mpaka sasa sikuwahi fanya mapenzi mara nyingi huwa natimiza haha zangu kwa kufanya punyeto. Nimekua nikifanya punyeto toka nigundue tatizo nililokua nalo (mwaka2016 nikiwa na miaka 16). Kwa hatua niliyofika madhara ta punyeto nimeanza kuyaona moja kwa moja katika mwili wangu. Mfano wa athari hizo za punyeto nie

- Uume kulegea wakati umesimama
- Kumwaga mbegu bila kufanya mapenzi/punyeto yani hata nikiona matako kwenye dela mimi hapohapo mbegu zinatoka.😭😭
  • Uchovu/usingizi wa marakwa mara
  • Kukosa kujiamini.

Wakuu nipo mbele yenu kijana wenu naombeni ushauri wowote wa jinsi gani naweza kutoka kwenye janga hili. Nipo tayari kupambana kwa namna yoyote mradi niweze kutatua tatizo langu.

Wakuu kuna mengi sijayaandika ila kwa swali lolote ambalo litahitaji maelezo kwa ajili ya kunisaidia nipo tayari kulijibu.

TAFADHALI SANA NAHITAJI MSAADA WENU
 
Habari ya Jumapili wakuu,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka24 kwa sasa bado nipo chuo naendelea na masomo.

Tatizo langu kubwa linalofanya nisiyafurahie maisha yangu ni tatizo la kuwa na uumemdogo/kibamia. Vipimo vya uume wangu ni, ukiwa umelala nie inch1.5 na ukiwa umesimama nieinch5.6.

Katika maisha yangu mpaka sasa sikuwahi fanya mapenzi mara nyingi huwa natimiza haha zangu kwa kufanya punyeto. Nimekua nikifanya punyeto toka nigundue tatizo nililokua nalo (mwaka2016 nikiwa na miaka 16). Kwa hatua niliyofika madhara ta punyeto nimeanza kuyaona moja kwa moja katika mwili wangu. Mfano wa athari hizo za punyeto nie

- Uume kulegea wakati umesimama
- Kumwaga mbegu bila kufanya mapenzi/punyeto yani hata nikiona matako kwenye dela mimi hapohapo mbegu zinatoka.😭😭
  • Uchovu/usingizi wa marakwa mara
  • Kukosa kujiamini.

Wakuu nipo mbele yenu kijana wenu naombeni ushauri wowote wa jinsi gani naweza kutoka kwenye janga hili. Nipo tayari kupambana kwa namna yoyote mradi niweze kutatua tatizo langu.

Wakuu kuna mengi sijayaandika ila kwa swali lolote ambalo litahitaji maelezo kwa ajili ya kunisaidia nipo tayari kulijibu.

TAFADHALI SANA NAHITAJI MSAADA WE

Kibamia na unapiga nyeto mhuuu, ushauri endelea na nyeto
 
Habari ya Jumapili wakuu,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka24 kwa sasa bado nipo chuo naendelea na masomo.

Tatizo langu kubwa linalofanya nisiyafurahie maisha yangu ni tatizo la kuwa na uumemdogo/kibamia. Vipimo vya uume wangu ni, ukiwa umelala nie inch1.5 na ukiwa umesimama nieinch5.6.

Katika maisha yangu mpaka sasa sikuwahi fanya mapenzi mara nyingi huwa natimiza haha zangu kwa kufanya punyeto. Nimekua nikifanya punyeto toka nigundue tatizo nililokua nalo (mwaka2016 nikiwa na miaka 16). Kwa hatua niliyofika madhara ta punyeto nimeanza kuyaona moja kwa moja katika mwili wangu. Mfano wa athari hizo za punyeto nie

- Uume kulegea wakati umesimama
- Kumwaga mbegu bila kufanya mapenzi/punyeto yani hata nikiona matako kwenye dela mimi hapohapo mbegu zinatoka.😭😭
  • Uchovu/usingizi wa marakwa mara
  • Kukosa kujiamini.

Wakuu nipo mbele yenu kijana wenu naombeni ushauri wowote wa jinsi gani naweza kutoka kwenye janga hili. Nipo tayari kupambana kwa namna yoyote mradi niweze kutatua tatizo langu.

Wakuu kuna mengi sijayaandika ila kwa swali lolote ambalo litahitaji maelezo kwa ajili ya kunisaidia nipo tayari kulijibu.

TAFADHALI SANA NAHITAJI MSAADA WENU
Bwana wewe ujikubali tuu mbona mie nina kibamia lakini maisha yanasonga mzeya
 
81LTclUBoFL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg
 
Habari ya Jumapili wakuu,

Mimi ni kijana wa umri wa miaka24 kwa sasa bado nipo chuo naendelea na masomo.

Tatizo langu kubwa linalofanya nisiyafurahie maisha yangu ni tatizo la kuwa na uumemdogo/kibamia. Vipimo vya uume wangu ni, ukiwa umelala nie inch1.5 na ukiwa umesimama nieinch5.6.

Katika maisha yangu mpaka sasa sikuwahi fanya mapenzi mara nyingi huwa natimiza haha zangu kwa kufanya punyeto. Nimekua nikifanya punyeto toka nigundue tatizo nililokua nalo (mwaka2016 nikiwa na miaka 16). Kwa hatua niliyofika madhara ta punyeto nimeanza kuyaona moja kwa moja katika mwili wangu. Mfano wa athari hizo za punyeto nie

- Uume kulegea wakati umesimama
- Kumwaga mbegu bila kufanya mapenzi/punyeto yani hata nikiona matako kwenye dela mimi hapohapo mbegu zinatoka.😭😭
  • Uchovu/usingizi wa marakwa mara
  • Kukosa kujiamini.

Wakuu nipo mbele yenu kijana wenu naombeni ushauri wowote wa jinsi gani naweza kutoka kwenye janga hili. Nipo tayari kupambana kwa namna yoyote mradi niweze kutatua tatizo langu.

Wakuu kuna mengi sijayaandika ila kwa swali lolote ambalo litahitaji maelezo kwa ajili ya kunisaidia nipo tayari kulijibu.

TAFADHALI SANA NAHITAJI MSAADA WENU
Hivi hakuna Chama cha Wenye Vibamia (CHAWEVI)? Kama kipo utaweza kupata ushauri wa nasaha huko. Kama vipi tafuta hela, hakuna mkate mgumu mbele ya chai 🍆.
 
Back
Top Bottom