Nimeupima upendo aliokuwa nao mpenzi wangu mpaka sasa kapata sifuri

Mmea Jr

JF-Expert Member
May 20, 2016
829
1,972
Siku ya tarehe 19 ,, mpenzi wangu aliniomba kiasi fulani cha pesa ,, nikaona nitumie mwanya huu kupima kiasi cha upendo alicho nacho mpenzi wangu ..

Nilimpatia kiasi alichoniomba bila tatizo lolote lile .. alipofika siku ya tarehe 20 ambayo ni pasaka .. muda wa saa tano nikamtaarifu mpenzi wangu kuwa naenda kupokea mzigo katika moja ya ofisi fulani za mabasi yaendayo mikoani ambayo huwa tunaitumia kuagiza na kupokea mizigo yetu na bila tatizo akanitakia safari njema .

Ilipofika muda wa saa saba nikiwa na mshikaji wangu nikaona acha nimpe mtiani huyu bidada .. nikampanga mshikaji wangu ajifanye askari ,, afu atumie simu yangu kumpa taarifa mpenzi wangu kuwa wamenikama na nipo kituo cha kati cha polisi ,, hivyo anatakiwa afike haraka kituoni hapo akiwa na sweta au koti pamoja na chakula , maelezo zaidi atayapata hapo hapo kituoni ..

Basi siku ikapigwa , ikapigwa pale huku kidume nikiwa nimetulia pembeni nikisikiliza muitikio au reaction ya huwa mpenzi wangu ..

Baada ya sekunde kadhaa simu ikapokelewa na maongezi yao ikawa kama ifuatwavyo

Askari
(Wachongo ) : haloooo

Bidada : haloo

Askari : samahani ,, unaongea na askari mwita toka kituo cha kati ,, nimekupigia kukupa taarifa kuwa bwana (mmea ) tumemkamata yupo kituoni baada ya kuanzisha fujo katika ofisi za mabasi za (jina la kampuni ). Hivyo tulikuwa tunaomba ufike haraka kituoni

Bidada : samahani mimi nipo mbali sana ,, nipo mkoa mwingine
Mpigie kaka yake inaitwa (jina ) namba yake ipo humo humo kwenye simu
(Hapa bidada aliongea hivi sauti ikiwa kavuuu hamna mshutukio wowote ule alionesha kuwa anaezungumziwa ni mpenzi wake ambaye yupo kwenye matatizo )

Askari : kwani wewe si mkewe ?? ,, maana tumeona wewe ndiyo unaonekana kuwa mtu wa karibu sana na huyu bwana ndiyo maana tumekupigia wewe ..

Bidada : hapana mimi rafiki yake tu wa kawaida ..
( Hapa alinikana kata kata kama petro alivyofanya kwa yesu ,,, daaa !! Hii sehemu iliniuma sana moyoni )

Baada hapo ,,, nilipata jibu kuwa kumbe bado nipo peke yangu ,, nipo gheto nimechill,, siku ya pili leo kwenye buffer ngoma inayolia ni ya harmonize ~ im single
 
Siku ya tarehe 19 ,, mpenzi wangu aliniomba kiasi fulani cha pesa ,, nikaona nitumie mwanya huu kupima kiasi cha upendo alicho nacho mpenzi wangu ..

Nilimpatia kiasi alichoniomba bila tatizo lolote lile .. alipofika siku ya tarehe 20 ambayo ni pasaka .. muda wa saa tano nikamtaarifu mpenzi wangu kuwa naenda kupokea mzigo katika moja ya ofisi fulani za mabasi yaendayo mikoani ambayo huwa tunaitumia kuagiza na kupokea mizigo yetu na bila tatizo akanitakia safari njema .

Ilipofika muda wa saa saba nikiwa na mshikaji wangu nikaona acha nimpe mtiani huyu bidada .. nikampanga mshikaji wangu ajifanye askari ,, afu atumie simu yangu kumpa taarifa mpenzi wangu kuwa wamenikama na nipo kituo cha kati cha polisi ,, hivyo anatakiwa afike haraka kituoni hapo akiwa na sweta au koti pamoja na chakula , maelezo zaidi atayapata hapo hapo kituoni ..

Basi siku ikapigwa , ikapigwa pale huku kidume nikiwa nimetulia pembeni nikisikiliza muitikio au reaction ya huwa mpenzi wangu ..

Baada ya sekunde kadhaa simu ikapokelewa na maongezi yao ikawa kama ifuatwavyo

Askari
(Wachongo ) : haloooo

Bidada : haloo

Askari : samahani ,, unaongea na askari mwita toka kituo cha kati ,, nimekupigia kukupa taarifa kuwa bwana (mmea ) tumemkamata yupo kituoni baada ya kuanzisha fujo katika ofisi za mabasi za (jina la kampuni ). Hivyo tulikuwa tunaomba ufike haraka kituoni

Bidada : samahani mimi nipo mbali sana ,, nipo mkoa mwingine
Mpigie kaka yake inaitwa (jina ) namba yake ipo humo humo kwenye simu
(Hapa bidada aliongea hivi sauti ikiwa kavuuu hamna mshutukio wowote ule alionesha kuwa anaezungumziwa ni mpenzi wake ambaye yupo kwenye matatizo )

Askari : kwani wewe si mkewe ?? ,, maana tumeona wewe ndiyo unaonekana kuwa mtu wa karibu sana na huyu bwana ndiyo maana tumekupigia wewe ..

Bidada : hapana mimi rafiki yake tu wa kawaida ..
( Hapa alinikana kata kata kama petro alivyofanya kwa yesu ,,, daaa !! Hii sehemu iliniuma sana moyoni )

Baada hapo ,,, nilipata jibu kuwa kumbe bado nipo peke yangu ,, nipo gheto nimechill,, siku ya pili leo kwenye buffer ngoma inayolia ni ya harmonize ~ im single

F*ck love.
FCK LV
 
Siku ya tarehe 19 ,, mpenzi wangu aliniomba kiasi fulani cha pesa ,, nikaona nitumie mwanya huu kupima kiasi cha upendo alicho nacho mpenzi wangu ..

Nilimpatia kiasi alichoniomba bila tatizo lolote lile .. alipofika siku ya tarehe 20 ambayo ni pasaka .. muda wa saa tano nikamtaarifu mpenzi wangu kuwa naenda kupokea mzigo katika moja ya ofisi fulani za mabasi yaendayo mikoani ambayo huwa tunaitumia kuagiza na kupokea mizigo yetu na bila tatizo akanitakia safari njema .

Ilipofika muda wa saa saba nikiwa na mshikaji wangu nikaona acha nimpe mtiani huyu bidada .. nikampanga mshikaji wangu ajifanye askari ,, afu atumie simu yangu kumpa taarifa mpenzi wangu kuwa wamenikama na nipo kituo cha kati cha polisi ,, hivyo anatakiwa afike haraka kituoni hapo akiwa na sweta au koti pamoja na chakula , maelezo zaidi atayapata hapo hapo kituoni ..

Basi siku ikapigwa , ikapigwa pale huku kidume nikiwa nimetulia pembeni nikisikiliza muitikio au reaction ya huwa mpenzi wangu ..

Baada ya sekunde kadhaa simu ikapokelewa na maongezi yao ikawa kama ifuatwavyo

Askari
(Wachongo ) : haloooo

Bidada : haloo

Askari : samahani ,, unaongea na askari mwita toka kituo cha kati ,, nimekupigia kukupa taarifa kuwa bwana (mmea ) tumemkamata yupo kituoni baada ya kuanzisha fujo katika ofisi za mabasi za (jina la kampuni ). Hivyo tulikuwa tunaomba ufike haraka kituoni

Bidada : samahani mimi nipo mbali sana ,, nipo mkoa mwingine
Mpigie kaka yake inaitwa (jina ) namba yake ipo humo humo kwenye simu
(Hapa bidada aliongea hivi sauti ikiwa kavuuu hamna mshutukio wowote ule alionesha kuwa anaezungumziwa ni mpenzi wake ambaye yupo kwenye matatizo )

Askari : kwani wewe si mkewe ?? ,, maana tumeona wewe ndiyo unaonekana kuwa mtu wa karibu sana na huyu bwana ndiyo maana tumekupigia wewe ..

Bidada : hapana mimi rafiki yake tu wa kawaida ..
( Hapa alinikana kata kata kama petro alivyofanya kwa yesu ,,, daaa !! Hii sehemu iliniuma sana moyoni )

Baada hapo ,,, nilipata jibu kuwa kumbe bado nipo peke yangu ,, nipo gheto nimechill,, siku ya pili leo kwenye buffer ngoma inayolia ni ya harmonize ~ im single
Where is part two 🤣🤣🤣
 
Story yako ina mambo mawili ya kufurahisha kidogo ambayo hata ningekuwa ni mimi ningekukataa,tu-assume me ni mwanao jana nilikupiga kibom ukanitoa then leo inapigwa simu kupitia # yako kwa ishu za polisi halafu huyo police atumie hayo maneno hapo chini ningehisi umepanga tukio kijanja ili kile ulinipa nikurudishie kwa kuja kuhonga polisi hewa so nahisi hata huyo mwanamke wako ni mtoto wa mjini ndiyo maana akaona ni chezo.

Askari wa Kitanzania kupiga simu kwa ndugu yako na kusema “samahani” au “naomba” hicho kitu hakipo,nimekamatwa sana na hao mahanithi pamoja na kupigiwa sana simu nao kuhusu jamaa zangu wakiwa mikononi mwao but wao wanachojua ni amri tu,utawasikia “wewe,rete ubwabwa kuna ndugu yako jambazi hapa kituoni” au “wewe,njoo na makaratasi hapa kituoni umsamini ndugu yako jambazi” basi wamemaliza,Tanzania hii hakuna askari wa kusema samahani au naomba nakataa hayupo.
 
Siku ya tarehe 19 ,, mpenzi wangu aliniomba kiasi fulani cha pesa ,, nikaona nitumie mwanya huu kupima kiasi cha upendo alicho nacho mpenzi wangu ..

Nilimpatia kiasi alichoniomba bila tatizo lolote lile .. alipofika siku ya tarehe 20 ambayo ni pasaka .. muda wa saa tano nikamtaarifu mpenzi wangu kuwa naenda kupokea mzigo katika moja ya ofisi fulani za mabasi yaendayo mikoani ambayo huwa tunaitumia kuagiza na kupokea mizigo yetu na bila tatizo akanitakia safari njema .

Ilipofika muda wa saa saba nikiwa na mshikaji wangu nikaona acha nimpe mtiani huyu bidada .. nikampanga mshikaji wangu ajifanye askari ,, afu atumie simu yangu kumpa taarifa mpenzi wangu kuwa wamenikama na nipo kituo cha kati cha polisi ,, hivyo anatakiwa afike haraka kituoni hapo akiwa na sweta au koti pamoja na chakula , maelezo zaidi atayapata hapo hapo kituoni ..

Basi siku ikapigwa , ikapigwa pale huku kidume nikiwa nimetulia pembeni nikisikiliza muitikio au reaction ya huwa mpenzi wangu ..

Baada ya sekunde kadhaa simu ikapokelewa na maongezi yao ikawa kama ifuatwavyo

Askari
(Wachongo ) : haloooo

Bidada : haloo

Askari : samahani ,, unaongea na askari mwita toka kituo cha kati ,, nimekupigia kukupa taarifa kuwa bwana (mmea ) tumemkamata yupo kituoni baada ya kuanzisha fujo katika ofisi za mabasi za (jina la kampuni ). Hivyo tulikuwa tunaomba ufike haraka kituoni

Bidada : samahani mimi nipo mbali sana ,, nipo mkoa mwingine
Mpigie kaka yake inaitwa (jina ) namba yake ipo humo humo kwenye simu
(Hapa bidada aliongea hivi sauti ikiwa kavuuu hamna mshutukio wowote ule alionesha kuwa anaezungumziwa ni mpenzi wake ambaye yupo kwenye matatizo )

Askari : kwani wewe si mkewe ?? ,, maana tumeona wewe ndiyo unaonekana kuwa mtu wa karibu sana na huyu bwana ndiyo maana tumekupigia wewe ..

Bidada : hapana mimi rafiki yake tu wa kawaida ..
( Hapa alinikana kata kata kama petro alivyofanya kwa yesu ,,, daaa !! Hii sehemu iliniuma sana moyoni )

Baada hapo ,,, nilipata jibu kuwa kumbe bado nipo peke yangu ,, nipo gheto nimechill,, siku ya pili leo kwenye buffer ngoma inayolia ni ya harmonize ~ im single
😅
 
Siku ya tarehe 19 ,, mpenzi wangu aliniomba kiasi fulani cha pesa ,, nikaona nitumie mwanya huu kupima kiasi cha upendo alicho nacho mpenzi wangu ..

Nilimpatia kiasi alichoniomba bila tatizo lolote lile .. alipofika siku ya tarehe 20 ambayo ni pasaka .. muda wa saa tano nikamtaarifu mpenzi wangu kuwa naenda kupokea mzigo katika moja ya ofisi fulani za mabasi yaendayo mikoani ambayo huwa tunaitumia kuagiza na kupokea mizigo yetu na bila tatizo akanitakia safari njema .

Ilipofika muda wa saa saba nikiwa na mshikaji wangu nikaona acha nimpe mtiani huyu bidada .. nikampanga mshikaji wangu ajifanye askari ,, afu atumie simu yangu kumpa taarifa mpenzi wangu kuwa wamenikama na nipo kituo cha kati cha polisi ,, hivyo anatakiwa afike haraka kituoni hapo akiwa na sweta au koti pamoja na chakula , maelezo zaidi atayapata hapo hapo kituoni ..

Basi siku ikapigwa , ikapigwa pale huku kidume nikiwa nimetulia pembeni nikisikiliza muitikio au reaction ya huwa mpenzi wangu ..

Baada ya sekunde kadhaa simu ikapokelewa na maongezi yao ikawa kama ifuatwavyo

Askari
(Wachongo ) : haloooo

Bidada : haloo

Askari : samahani ,, unaongea na askari mwita toka kituo cha kati ,, nimekupigia kukupa taarifa kuwa bwana (mmea ) tumemkamata yupo kituoni baada ya kuanzisha fujo katika ofisi za mabasi za (jina la kampuni ). Hivyo tulikuwa tunaomba ufike haraka kituoni

Bidada : samahani mimi nipo mbali sana ,, nipo mkoa mwingine
Mpigie kaka yake inaitwa (jina ) namba yake ipo humo humo kwenye simu
(Hapa bidada aliongea hivi sauti ikiwa kavuuu hamna mshutukio wowote ule alionesha kuwa anaezungumziwa ni mpenzi wake ambaye yupo kwenye matatizo )

Askari : kwani wewe si mkewe ?? ,, maana tumeona wewe ndiyo unaonekana kuwa mtu wa karibu sana na huyu bwana ndiyo maana tumekupigia wewe ..

Bidada : hapana mimi rafiki yake tu wa kawaida ..
( Hapa alinikana kata kata kama petro alivyofanya kwa yesu ,,, daaa !! Hii sehemu iliniuma sana moyoni )

Baada hapo ,,, nilipata jibu kuwa kumbe bado nipo peke yangu ,, nipo gheto nimechill,, siku ya pili leo kwenye buffer ngoma inayolia ni ya harmonize ~ im single
Mtihani mzuri sana
 
Back
Top Bottom