Nimepata mchempuko permanent

Juuchini

JF-Expert Member
Dec 10, 2018
1,621
2,259
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
 
Mtoa mada ni kene
GiyIvWxWEAAVs-c.jpeg
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Familiar Trump kasitisha kuleta dawa za ARV huku Africa, kwaiyo usipojichunga familiar utaisha kama ule UKIMWI wa zamani, mtu anashikwa na ngoma kakondeana mifupa inaonekana, nywele kupukutika kama mahindi. Wee endekeza nyege tu unachokitafuta utakipata.
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Utakufa vibaya wewe nakuhurumia
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
USAID hawatoi tena ARV siku hizi mkuu. Mmepima?
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Usitufokee!
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Kakuxudi miaka sita unamuita mama?miaka sita anaweza kukuzaaa? Acha ujinga huyo mnalingana, unatakiwa kumuita mtu mama kama anakuxidi kuanzia miaka 17
 
Wakuu namshukuru Mungu baada ya kuhamia huu mji kwa zaidi ya miezi 5, huku nikitaka wa kunipunguzia upwiru ninapokuwa mbali na wife . Pia si mnafahamu kuwa michubuko inaimarisha ndoa. Nimefanikiwa kulinasa limama mtu mzima kabisa. Huyu ananizidi kama miaka 6 hivi. Sasa hivi mwenyewe ananiita mda wowote na haombi pesa maana ana kazi yake. Maisha burudani sana.
Tushike lipi sasa! Umepata mchempuko au michubuko!
 
Hizi ndio nyuzi za maana sasa....
Ila utakua umesha rogwa wewe...😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom