Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 678
- 860
Salaam kwenu wabongo wenzangu,
Bila kupoteza muda naomba Kusaidiwa ushauri kama ifuatavyo;
Ninataka cheti cha kuzaliwa cha binti yangu wa nje mwenye miaka 13.
Nilipewa procedures kwamba niombe mtandaoni.
Kwa kuwa nilikuwa bize ilibidi hilo jukumu niwape vijana ktk steshenari fulani wanisaidie kwa charge ya elfu sita.
Niliwapa kadi ya clinic (copy)
Barua ya uthibitisho toka shuleni sikuwa nayo kwani mtoto huyo siishi nae.. anaishi na mama yake huko mbali
Mara control namba ikatoka.
Wale vijana wakanambia nikalipe kwa wakala au benk.
Kesho yake asubuhi nikalipa 20,000 na risiti nikapewa vizuri tu.
SASA cha kushangaza hadi Leo cheti hamna.. wakati wale mayanki walinihakikishia kwamba control number ikitoka tu Baaasi.
Nafanyaje sasa au ndo nimetapeliwa.
Je refund ipo kama nikighairi..maana naona naunguza muda wangu bure.
Bila kupoteza muda naomba Kusaidiwa ushauri kama ifuatavyo;
Ninataka cheti cha kuzaliwa cha binti yangu wa nje mwenye miaka 13.
Nilipewa procedures kwamba niombe mtandaoni.
Kwa kuwa nilikuwa bize ilibidi hilo jukumu niwape vijana ktk steshenari fulani wanisaidie kwa charge ya elfu sita.
Niliwapa kadi ya clinic (copy)
Barua ya uthibitisho toka shuleni sikuwa nayo kwani mtoto huyo siishi nae.. anaishi na mama yake huko mbali
Mara control namba ikatoka.
Wale vijana wakanambia nikalipe kwa wakala au benk.
Kesho yake asubuhi nikalipa 20,000 na risiti nikapewa vizuri tu.
SASA cha kushangaza hadi Leo cheti hamna.. wakati wale mayanki walinihakikishia kwamba control number ikitoka tu Baaasi.
Nafanyaje sasa au ndo nimetapeliwa.
Je refund ipo kama nikighairi..maana naona naunguza muda wangu bure.