Nimekwama kwenye uendeshaji wa kampuni

Annie91

Member
Sep 30, 2022
12
40
Wadau mimi niliamua kujiajiri rasmi mwaka jana na nikasajili kampuni ya usafi, real estate na usambazaji mwaka huo huo 2023 Aprili. Nilianza hizi harakati tangu nikiwa ajirani nikaandaa ofisi, vifaa na kuanza kusaka kazi.

MUNGU si farujohn mwaka huu mwezi wa 5 nikafanikiwa kupata miradi miwili kwa mpigo. Capital niliyonayo nimepambana nayo sasa naelekea mwishoni bado mambo hayajasimama

Naomba kwa mwenye uzoefu sisi underground nifanyeje kabla sijaaibika?

Akili inachemka sana wadau msaada tafadhali.
 
1.Hizo kampuni zimeungana au ni single entity?
2.ulikua na mtaji kiasi gani na sa hv una ngapi?
3.Cash Investment unayotaka ni bei gani
4.katika hizo tatu ipi ni leading business yako?
5.and theeen! Umesajiliwa popote? GIPSA...Taneps...aupengine !
 
Wadau mimi niliamua kujiajiri rasmi mwaka jana na nikasajili kampuni ya usafi, real estate na usambazaji mwaka huo huo 2023 Aprili. Nilianza hizi harakati tangu nikiwa ajirani nikaandaa ofisi, vifaa na kuanza kusaka kazi.

MUNGU si farujohn mwaka huu mwezi wa 5 nikafanikiwa kupata miradi miwili kwa mpigo. Capital niliyonayo nimepambana nayo sasa naelekea mwishoni bado mambo hayajasimama

Naomba kwa mwenye uzoefu sisi underground nifanyeje kabla sijaaibika?

Akili inachemka sana wadau msaada tafadhali.
Nenda bank kakope kama ni tenda umepokea kutoka taasisi za kueleweka
 
Wadau mimi niliamua kujiajiri rasmi mwaka jana na nikasajili kampuni ya usafi, real estate na usambazaji mwaka huo huo 2023 Aprili. Nilianza hizi harakati tangu nikiwa ajirani nikaandaa ofisi, vifaa na kuanza kusaka kazi.

MUNGU si farujohn mwaka huu mwezi wa 5 nikafanikiwa kupata miradi miwili kwa mpigo. Capital niliyonayo nimepambana nayo sasa naelekea mwishoni bado mambo hayajasimama

Naomba kwa mwenye uzoefu sisi underground nifanyeje kabla sijaaibika?

Akili inachemka sana wadau msaada tafadhali.
Uza hisa
 
Kuna jamaa niliwahi kumwambia hivi.....
Ukitaka kujua dalili za muongo ama tapeli ni:-
1. Atajiita jina la kuvutia ama lakike.
2. Hasemi mahali alipo.
3. Haweki mawasiliano yake wazi...
4. Atajifanya amesha kamilisha mipango yoote..👐
5. Atajifanya amekwama sehem ndogo sana...🤣
6. Ana lugha nzuri sana ya ushawishi..☺
 
Kuna jamaa niliwahi kumwambia hivi.....
Ukitaka kujua dalili za muongo ama tapeli ni:-
1. Atajiita jina la kuvutia ama lakike.
2. Hasemi mahali alipo.
3. Haweki mawasiliano yake wazi...
4. Atajifanya

1.Hizo kampuni zimeungana au ni single entity?
2.ulikua na mtaji kiasi gani na sa hv una ngapi?
3.Cash Investment unayotaka ni bei gani
4.katika hizo tatu ipi ni leading business yako?
5.and theeen! Umesajiliwa popote? GIPSA...Taneps...aupengine !
1.Hapana hazijaungana ambayo inakazi kwasasa ni Cleaning and waste management (Usafi) 2.Nilianza na mtaji wa 20mil na sasa nina 5mil 3.Cash investment ninayohitaji walau 50mil ila isiwe chini 45ml kwasababu investment kubwa natakiwa nifanye ili inizalishie zaidi. 4. CLEANING AND WASTE MANAGEMENT 5.Nimesajili NEST na ndipo nilipopatia miradi.
 
Kuna jamaa niliwahi kumwambia hivi.....
Ukitaka kujua dalili za muongo ama tapeli ni:-
1. Atajiita jina la kuvutia ama lakike.
2. Hasemi mahali alipo.
3. Haweki mawasiliano yake wazi...
4. Atajifanya amesha kamilisha mipango yoote..👐
5. Atajifanya amekwama sehem ndogo sana...🤣
6. Ana lugha nzuri sana ya ushawishi..☺
Pole sana bro yawezekana umepigwa mahali. Pole sana!..Si kila anaekuja hapa ni mpigaji kama fikra inavyokwambia ama experience uliyonayo..Usipuuzie uzi wa mtu ila ukiamini hivyo sikuzuui,Asante kwa comment yako uwe na wakati mwema kiongozi.
 
Kuna jamaa niliwahi kumwambia hivi.....
Ukitaka kujua dalili za muongo ama tapeli ni:-
1. Atajiita jina la kuvutia ama lakike.
2. Hasemi mahali alipo.
3. Haweki mawasiliano yake wazi...
4. Atajifanya amesha kamilisha mipango yoote..👐
5. Atajifanya amekwama sehem ndogo sana...🤣
6. Ana lugha nzuri sana ya ushawishi..☺
Wengine sio matapeli ni katika harakati tu mkuu ndio uwa unajikuta mambo yanaenda ndivyo sivyo!
 
Mikataba yako kama inaeleweka nenda benki ongea na afsa mikopo

We achana na faida, pambana kuokoa kampuni
Sawa mkuu nimetembelea Equity,nmb,crdb kwanza wanataka Bank statement iliyopitisha pesa miezi 6 wakati mimi mradi unamiezi miwili lakini pia wanataka dhamana ambayo either ni mali ya kampuni au mmiliki at the same time ndo kwanza najitafuta japo kwenye dhamana sio issue yupo mtu wa kunibeba kwenye hilo ila ndo sio vigezo vyao.
 
1.Hapana hazijaungana ambayo inakazi kwasasa ni Cleaning and waste management (Usafi) 2.Nilianza na mtaji wa 20mil na sasa nina 5mil 3.Cash investment ninayohitaji walau 50mil ila isiwe chini 45ml kwasababu investment kubwa natakiwa nifanye ili inizalishie zaidi. 4. CLEANING AND WASTE MANAGEMENT 5.Nimesajili NEST na ndipo nilipopatia miradi.
mbona ulikua mtaj mkubwa sana huo ila tu ulifungua kampun bila kua na taget nakumbuka mwaka 2012 bro wangu alifungua kampun ya usaf kwa bajet kam ya 6milion tu alichukua memorandam akasajil jina akachkua lesen akiwa na watu kama 8 tu kawapg tshirt na sare ka ofce ka magumash tu sema ye alikua na tenda 7 saba kwakua nae alikua na kitengo serkalin kwaiy alilenga kampun itachkua tenda ofice kam 6 kufanya usaf 77 na nane8 paka tenda inaisha akala hela kibao lakn akuwah kufanya tena na kampun akauisha baad ya hapo thot nafkir enz zile mamb yalkua simpo tra si km sas iv ila nia yang kukfkshia ujumbe kua yule alfungua alikua na achiev goal yan kabla ujafngua biashar lazma uwe na plan au taget umeset ila ukifungua af ndo uanze kusaka wateja ngum sana kaz nying skuiz watu wanapeana unaez kut mtu kaekez kdgo ila ana tenda akipew kubwa na anakata ganj kwa wanao toa maisha yanaend tenda znanunuliwa skuiz jarb kutafta conection uki wa ofer mtonyo pengine ikakusaidia
 
Nimetembea baadhi ya bank mkuu lakini concern yao hawatumiì mikataba tuu kukopeshea na dhamani tuliyonayo ili tukopee haikidhi vigezo vyao.
Yeah
Nadhan kuna tofaut ya tenda na mkataba wa kufanya biashara.
Tenda za serikali n uhakika wanakupea mkopo
 
Back
Top Bottom