Na nyingine ni za marehemu ila bado zipo kwenye site yaoserikali wanamtindo wakubadilibadili ma website yao muda mwengine!, halafu mpk kuja kuipata mh!.
mfano no za nida zinazoonekana kwenye site ya nida utapiga hazipatikani nyengine zipo busy kumbe walishabadili sasa kuzipata hizo walizobadili utakoma ukomae...🤣
Ma IT wao sijui wanatumia tunini ama ni wadau wa mjani nini...🤣
Bunge tukufu?Kwa lipi?Au neno utukufu limebadilishwa maana siku hizi?Utukufu ni kwa Mungu tu.Haya ndo matokeo.
View attachment 3174908
mkuu hii itakuwa ni website yao ama vipi hebu ichekiHaya ndo matokeo.
View attachment 3174908
Bunge sio mbingu… glitches could be everywhereHaya ndo matokeo.
View attachment 3174908
Na kulalama bila solutionTunachoweza kukifanya kwa kina na usahihi wa kutosha ni umbeya na kusengenyana pekee.
Astaghifilullah!Tunachoweza kukifanya kwa kina na usahihi wa kutosha ni umbeya na kusengenyana pekee.
Program language inafundishwa juu juu tu matokeo yake ndio hayo vijana ukiwatumia pesa wanaishia kukimbiaWebsite nyingi za serikali niza hovyo,ma it wetu wa mchongo.