Nimegundua hata kuku (majogoo) yanapenda mitetea minene iliyojazia

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Feb 26, 2024
2,778
4,981
Ukatae au ukubali asee huu ndio ukweli. Nasema kwa sababu ya uzoefu wangu kama mfugaji wa muda mrefu.

Nimefanya tafiti kadhaa kuhusu hili na nimegundua ndivyo ilivyo.

Jogoo hupenda kutembea na majike (makoo) manene ya kuku ni nadra sana kumkuta jogoo kaambatana na kimbau mbau kisichokuwa na minofu ya kutosha.

Nafuga kuku wa kienyeji na chotara mara nyingi hawa chotara wanakuwa ni wanene sana ukilinganisha na kienyeji. Lakini mara nyingi majogoo ya kienyeji huwaacha mitetea ya kienyeji na kuambatana na chotara (sasso)

Nahitimisha Kwa kusema were the same same😂😂🤐

IMG_20240512_081049_070.jpg
 
Ukatae au ukubali asee huu ndio ukweli. Nasema Kwa sababu ya uzoefu wangu kama mfugaji wa muda mrefu.

Nimefanya tafiti kadhaa kuhusu hili na nimegundua ndivyo ilivyo.

Jogoo hupenda kutembea na majike (makoo) manene ya kuku ni nadra sana kumkuta jogoo kaambatana na kimbau mbau kisichokuwa na minofu ya kutosha.

Nafuga kuku wa kienyeji na chotara mara nyingi hawa chotara wanakuwa ni wanene sana ukilinganisha na kienyeji. Lakini mara nyingi majogoo ya kienyeji huwaacha mitetea ya kienyeji na kuambatana na chotara (sasso)

Nahitimisha Kwa kusema were the same same😂😂🤐
Umalaya Tu 🤣🤣🤣🤣
 
Ukatae au ukubali asee huu ndio ukweli. Nasema Kwa sababu ya uzoefu wangu kama mfugaji wa muda mrefu.

Nimefanya tafiti kadhaa kuhusu hili na nimegundua ndivyo ilivyo.

Jogoo hupenda kutembea na majike (makoo) manene ya kuku ni nadra sana kumkuta jogoo kaambatana na kimbau mbau kisichokuwa na minofu ya kutosha.

Nafuga kuku wa kienyeji na chotara mara nyingi hawa chotara wanakuwa ni wanene sana ukilinganisha na kienyeji. Lakini mara nyingi majogoo ya kienyeji huwaacha mitetea ya kienyeji na kuambatana na chotara (sasso)

Nahitimisha Kwa kusema were the same same
 
Back
Top Bottom