Nimegundua asili yangu ni nyoka, sitaua nyoka, wala hawatonidhuru.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
9,240
18,410
Maishani mwangu nimekuwa nikiwaua nyoka kwa namna rahisi sana. Sikuwahi kujua kwanini nyoka wakiniona huwa wanaduwaa, na kubako kunishangaa.

Hata nikienda mbali kutafuta kitu cha kuwapigia nawakuta wapo tu hapo hapo, nawapiga, nawaua kisha najiona bonge la mwamba.

Sasa nimepata enlightment, nayaona mambo ambayo wengine hawayaoni, nayaona dhahiri.

Ni hivi ni kwamba kwenye past life yangu nilikuwa ni nyoka. Kwa sasa kwenye ubinadamu wangu huu, mimi ni nyota ya samaki.

Watu wa samaki ni watu wa rohoni sana na wanaishi maisha ya tofauti sana na watu wengi.

Wengi hamjui kwenye past life zenu mlikuwa ni nani, ila siku ukijua na ukajitambua, itakusaidia sana kujua kusidi lako la maisha.
 
Maishani mwangu nimekuwa nikiwaua nyoka kwa namna rahisi sana. Sikuwahi kujua kwanini nyoka wakiniona huwa wanaduwaa, na kubako kunishangaa.

Hata nikienda mbali kutafuta kitu cha kuwapigia nawakuta wapo tu hapo hapo, nawapiga, nawaua kisha najiona bonge la mwamba.

Sasa nimepata enlightment, nayaona mambo ambayo wengine hawayaoni, nayaona dhahiri.

Ni hivi ni kwamba kwenye past life yangu nilikuwa ni nyoka. Kwa sasa kwenye ubinadamu wangu huu, mimi ni nyota ya samaki.

Watu wa samaki ni watu wa rohoni sana na wanaishi maisha ya tofauti sana na watu wengi.

Wengi hamjui kwenye past life zenu mlikuwa ni nani, ila siku ukijua na ukajitambua, itakusaidia sana kujua kusidi lako la maisha.
Kumbe ni kweli kabisa ugonjwa wa afya ya akili "ukichaa" upo huku dunia ya 3?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Tatizo la ajira ni janga kubwa sana, serikali ione namna ya kulitatua
Hakika ni tatizo kubwa sana. Serikali inasisitiza viongozi wa dini waiombee. Matatizo ya kiuchumi hayatatuliwi kwa maombi ila kwa mikakati thabiti ya kiuchumi.

Nawasihi vijana wote wasio na ajira, wawe na moyo wa uvumilivu, wasiache kupambania mkate wao wa kila siku. Watatoboa tu, one day yes.
 
Acha bangi Hakuna past life, biblia haifundi hivyo Wala kuraan , labda Kama mababu zako walifanya matambiko na wanaconnection na majini au mapepo ya majoka, anyway shetani aliitwa joka kwahiyo Hakuna uhusiano mzuri Kati ya nyoka na binadamu hata kwenye hekaya za wahindi.
Download biblia soma yote ukiwa bize Sana utaimaliza ndani ya miezi 6. Ukiijua kweli itakuweka huru.
 
Back
Top Bottom