Naisha na single mother ila sasa mwanae ni mtundu balaa, nikimuonya mama yake anakuja juu

mwaibile

JF-Expert Member
Nov 16, 2022
841
2,246
Habari wapambanaji kuna single mother mmoja yupo na mtoto mdogo yupo na miaka 2 baada kuzalishwa na jamaa kakataa mtoto nikaona ngoja niishi nae

Yani najuta mtoto wake ni mtundu balaa kachelewa kutembea sasa ndo anatembea yani ni kuvunja vitu ndani mpaka sasa ashapasua majagi ya maji vikombe na sahani nikimkataza mtoto yani nanunua ugomvi kwa mama mtu anasema mwache mtoto au kisa siyo mwanao ndo unamfanyia ivi yani ni lawama mpaka basi nipeni ushauri maana nataka kufanya maamuzi magumu sana
 
Mbona simple tu. Achana nae mapema leo hii. Kwa mtindo huo huoni kwamba utashindwa kuwa huru na huyo mtoto. Utamuogopa hata kumkanya. Timua kabla mambo hajaenda mbali
Ndo ivyo kiongozi anajua mwanae mtundu baada ampe chakula kwenye vyombo vya plastics ndo kwanza anampa na vyombo vya udongo kama siyokusudi ni nn iv cm yake tayar ishapasuliwa kioo nimegoma kuitengeneza
 
Habari wapambanaji kuna single mother mmoja yupo na mtoto mdogo yupo na miaka 2 baada kuzalishwa na jamaa kakataa mtoto nikaona ngoja niishi nae yani najuta mtoto wake ni mtundu balaa kachelewa kutembea sasa ndo anatembea yan ni kuvunja vitu ndani mpaka sasa ashapasua majagi ya maji vikombe na sahani nikimkataza mtoto yani nanunua ugomvi kwa mama mtu anasema mwache mtoto au kisa siyo mwanao ndo unamfanyia ivi yani ni lawama mpaka basi nipeni ushauli maana nataka kufanya maamuzi magumu sana
Aliyemzalisha na kumwacha umemuona bwege??? Tulia utibiwe mbuzi ww
 
Habari wapambanaji kuna single mother mmoja yupo na mtoto mdogo yupo na miaka 2 baada kuzalishwa na jamaa kakataa mtoto nikaona ngoja niishi nae yani najuta mtoto wake ni mtundu balaa kachelewa kutembea sasa ndo anatembea yan ni kuvunja vitu ndani mpaka sasa ashapasua majagi ya maji vikombe na sahani nikimkataza mtoto yani nanunua ugomvi kwa mama mtu anasema mwache mtoto au kisa siyo mwanao ndo unamfanyia ivi yani ni lawama mpaka basi nipeni ushauli maana nataka kufanya maamuzi magumu sana
Siku hizi mnalalamikia hata visivyo na changamoto. Nunueni vya plastic
 
Back
Top Bottom