Nilivyozidiwa kete na mganga wa kwenye kipeperushi

Engager

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
1,557
3,331
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
 
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
Pole sana mwamba 😅😅
 
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
Ulipigwa kiboya km Arsenal vs Nottingham.

Mimi haya mambo ya kuwa una shida halafu tayari msaada wa kujipendekeza wenyewe huwa ninaikana shida hapo hapo.
 
N
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
Na aliyekutengenezea zengwe la mganga ndiye huyohuyo mwizi.
Lazima kuna mahala uliwahi kujigamba kuamini waganga na hivyo huwezi kumuacha mwizi.

Aliyekuwa msikilizaji ndo akaja kuiba,ndo kaandaa kipeperushi na ndiye aliyekuwa fundi wako.
Pole sana ila umejifunza kupitia njia ngumu sana.
 
Waganga, manabii, wauza madawa ya kienyeji/tiba mbadala, masheikh wa miujiza, freemasons, wote ni aina za matapeli
 
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..Nakuhakikishia hakuna mtu mwenye hela anakaa nyumba inafungwa na KOFULI. Hilo ni geto tu la uswahilini
 
Mwaka 2018, weekend moja niliamua kutoka mkoani nikaenda zangu dar kula bata. Lilikuwa bata la siku mbili kavu. Nilipanda mwewe ijumaa jion baada ya kazi, nikaplan kurudisha mironjo yangu j3 asubuhi nije niendelee na majukumu ya kujenga taifa. Jumamosi bata lilikwenda fresh kabisa. Nilifaidi jiji.

Jumapili asubuhi nikiwa bado nnawenge la bata ya jana, ikapigwa simu kutoka kwa binti wa mwenye nyumba niliyokuwa nimepanga. Huyu demu nilikuwa nshamchakata mbususu siku za nyuma. Mi nkajua ananipigia pengine kanimiss. Nikapokea simu kwa sauti nzito ya utulivu wa chumbani. You can imargine.

Hata hatujasalimiana vizuri, akaniswalika. 'We, upo ndani ama kunamtu kafungua mlango wako?'. Moyo ukapiga paa... ile deep voice hata sijui ilipotelea wapi nkajikuta nimeropoka 'Nini?'

'Mlango wako upo wazi na hatujakuona hapa tangu juzi, halafu tunaona kama kwenye komeo lako hapako sawa'. Chumba changu kilikuwa karibu sana na nyumba ya mwenye nyumba. Huyo mzee alikuwa anaishi pale na mke wake, na huyo binti yake na kijana wake wakumfuata huyo binti, pamoja na kijana mmoja wakuja tuu. Sijui alikuwa na uhusiano gani na hiyo familia. Kwahiyo nilipo kuwepo, walijua nipo. Nisipokuwepo walijua sipo hata kama sikuaga.

Muda huo ananiambia wanaona komeo halipo sawa, alikuwa anausogelea mlango. Alivofika akaona komeo limevunjwa, kufuli liko chini. Alivonipa taarifa ya uharibifu huo nikajua tayari nshapigwa.

Nikamuuliza upo na nan hapo? Akaniambia nipo na mama. Nikamwambia ingia ndani uone nivitu gani vitakuwa vimechukuliwa. Alikuwa mwenyeji kwenye geto langu, kwahyo angekuta kitu kimepungua angejua.

Yule mamaake nae alishindwa tuu kufungua code. Pengine kutokana na wenge. Maana waliingia wote getoni kwangu, halafu binti akaanza kunitajia vitu vinavyo miss. 'Tv yako haipo, na subwoofer haipo'. Nikamuuliza kingine, akasema vingine naona kama viko sawa vyote.

Basi nikamuomba awaambie wale vijana wawili watalala humo geton usikuwa wa jumapili hiyo kwaajili ya usalama hadi ntakaporudi kesho asubuhi.

Vitu vilivyotajwa kuibiwa havikuniuma saaana. Viliuma kiasi maana nilivigharimia pesa ila havikuniuma sana kwa maana pesa nilikuwa nayo ya kuvi-replace. Kilichokuwa kinanipa moyo kuuma ni external hard drive yangu 1T.

Ile external niliinunua mwaka 2012 nikiwa chuo. Ilikuwa na vitu vyangu viingi saana ambavyo nimeanza kuvikusanya tangu nikiwa chuo. Movies, picha, nyimbo, vitabu, notice mambo kibao kiasi kwamba hadi ilikuwa imejaa. Nilikuwa nimeichomeka kwenye Tv kwaajili ya kuangalia movies. Kwahyo nilijua tuu, kwakua hawa wahuni wamebeba Kideo changu, lazima hata external wameichukua wanakharam wakubwa.

Sababu ya ile external, nilikosa raha. Sikwenda kula bata, nikabaki hotelini nimelala. Nilitamani hata nirudi siku hiyo lakini ticket yangu ilikuwa go and return na retun yangu ni j3 asubuhi. Sikutaka kujisumbua. Nikashinda ndani.

Jumatatu nilivofika kweli nikakuta vilivyoibiwa ni vilevile tuu nilivyoambiwa. External yangu included. Sikupata hata mood ya kwenda job nikakausha geto. Nikampigia simu tu mshikaji wangu nikamwambia boss akiniulizia mwambie naumwa.

Jumanne asubuhi nikaenda kazini. Ile naingia tuu ofisini hata sijakaa, akaja dada mmoja simjui. Chapchap akanipa kipeperushi halafu akaondoka. Ikawa kama bahati amenikuta pekeyangu ofisini muda ule. Nakisoma kipeperushi, Tangazo la mganga. Nikajisemea ewaa, mwizi wangu kaisha🤣🤣

Nikafanya kazi zangu kama kawaida, mida mida nikamcheki yule Mganga. Nikamweleza kilichonitokea geto. Acha mganga anijaze upepo! Yaani huyo, kesho tuu anarejesha vitu vyako. Sasa hapo inatakiwa uandae vitu vya kazi uje navyo. Akanitajia orodha.

Nikamuuliza alipo akanambia. Nikamwambia mi niko job siwez kutoka, labda hadi jmosi. Na mi nataka vitu vyangu virudi ASAP kabla mwizi hajaviuza. Akanambia hata kwa simu tutafanya, kikubwa tuwe tunawasiliana tu. Nikamuuliza na hivo vitu vya kazi sasa? Akasena unaweza kunitumia pesa nikanunua mwenyewe. Nikaona kasimplify kazi kinyama. Kwanza hayo mavitu aliyonitajia hata kama ningesema ndo niende nayo, hata sijui ningeyapata wapi. Elfu 30 nikamtumia chap, alisema ndo gharama ya hayo mazagazaga. Nayakutolea sasa nikaweka juu.

Mida ya saa7 mchana, akanipigia, yuko moto kweli utafikiri kunajambo kafanikisha. Ananiuliza ulisema uko kazini ee, kutoka hapo kazini hadi unapoishi ni mbali sana. Nikamwambia sio mbali kiivo. Boda ni buku tuu. Akaniuliza kufuli waliondoka nalo? Nikamwambia waliliacha. Safi. Sasa kama utaweza, nenda ukaliweke kwenye maji hilo kufuli alichemshe. Kama yai. Ukianza hiyo shughuli niambie.

Mida hiyo ilikuwa ni mida ya lunch ofisini mi nikachomoka. Kwenda kuroga sasa. Nimefika nkafanya alivoelekeza nkatia kwenye gesi chap, nikam-update.

Akaniambia 'liache hadi litokote, kisha liepue, uliache humo humo kwenye maji ya moto we ukaendelee na shughuli zako'. Nikafanya as stated.

Sikupata mrejesho tena siku hiyo. Nikajua labda nikirudi ntakuta vitu vimerejeshwa. Hola. Kesho yake J5 kimya. Nikampigia akajifanya anawatu anawaatend nimsubirie kidogo. Kimya hadi siku ikaisha.

Alhamis akanipigia. Ananielekeza kwa sauti ya utulivu haswaa... 'Nisikilize sasa kijana wangu, wezi wako ni wawili. Naona wameanza kuzunguka kwa waganga wanajilinda, hizi siku mbili nimekaa kimya nilikuwa nawawekea mtego ila hawanasi, ndio nimechungulia njia zao naona wanaenda kwa waganga kujilinda na kujibu mashanbulizi'. Nikamuuliza kwahyo tunafanyaje? Akanambia inabidi tuongeze dozi. Ntumiea elfu 25 hapo niongeze vitendea kazi. Nikamuuliza unauhakika watarejesha. Akanambia kwa hii nnayokwenda kuwapiga, wasiporejesha naacha uganga. Nikiifikiria external yangu najisemea hawa wapuuzi lolote liwapate. Nikatuma elfu25 on the spot. Na ya kutolea.

Ijumaa jioni akanipigia. 'Jiandae kupokea vituvyako kesho, au jumapili. Nimeshawaweza kila kona'. Nikatulia kuwasubiri wezi wangu sasa. Jumamosi ikapita dry.

Jumapili mida ya saa 4 asubuhi, akapiga simu, yuko wenge. 'Sikia, hawa jamaa wako ukerewe, wameenda kwao. Matumbo yamejaa. Mmoja anahali mbaya sana hawezi hata kuongea. Mwingine kaeleza kila kitu, ni rafiki zako wa karibu sana hapo mtaani na uwa wanakuja kwako mara kwa mara'. Nikamuuliza vitu wanavyo? Akasema 'vitu wemesha viuza. Ila huyu anaeongea atasema tuu wameviuza wapi, ngoja niendelee kuwapelekea moto'.

Mimi sikuwahi kushiriki jambo la hivo kabla, kwahyo nikaingiwa na hofu. Hofu yangu ikawa vipi kama jamaa watakufa! Na watu wa ukerewe walivyo na sifa ya kuwatumia watu mamba kwenye kikombe cha maji si ntarogwa mimi asubuhi tuu!.

Nikiwa katika taharuki, nikapigiwa simu na namba ngeni. Mpigaji akajitambulisha kisha akanieleza, vijana wake wawili wamemfika wakiwa na hali mbaya sana, mmoja haongei. Wamemweleza kila kitu kuhusu wizi walionifanyia na mmoja mwenye nafuu kafanikiwa kutoa hiyo namba yangu. Kwahyo mzee ananiomba niwalegezee kamba asije akapoteza watoto wake halafu mengine tutaonge.

Nikajikakamua kujibu. Mzee mimi sina cha kufanya kama hawawezi kurejesha mali yangu mi sina cha kufanya. Mzee akapiga mkwara. 'Huna cha kifanya ee, basi acha mimi nihangaike na vijana wangu halafu tutaona' mzee akakata simu. Unajua ilibaki kidogo moyo uchomoke kwa jinsi ulivoanza kwenda mbio. Niliogopa sana.

Nikampigia fundi wangu. Nikamueleza juu ya ile call. Nikamuuliza huyu mtu hatonidhuru kweli?! Akanambia, asikutishe huyo hamna kitu atakufanya. Mi nipo. Sikuamini kabisa. I was going creazy.

Nimekaa na huo mhaho kama nusu saa hivi, fundi akanipigia. Ananiambia kwa upole 'sasa, unajua yule kijana aliyekuwa haongei katoka duniani!'. Nilidata. Nikauliza na yule mwingine, akanijibu haliyake nae inazidi kuzorota. Nikaona hapa nimechuma janga. Nikamwambia kama kunanamna unaweza kufanya kutengua, tengua tuu mi naachana na hili swala. Akanambia tena hilo ndo la mhimu, inabidi nitengue kwa huyo nawewe nikutengenezee kinga wasikudhuru. Nikamwambia fanya hivo ndugu yangu. Akaniambia tuma elfu50 niagize vitendea kazi haraka kabla huyo nae hajafa. Nikamwambia nakutumia saivi. Nikakata simu.

Baada ya ile coversation mimi pamoja na hofu niliyokuwa nayo ila akili ika-click. Mbona huu mtaa mimi sina rafiki?. Achilia mbali marafiki wawili kuzoea kuja kwangu, hata huyo mmoja tuu mbona sina, tena wa ukerewe ana hadi namba yangu?!... nikaanza kuwaza tangu mwanzo, yule mtu aliye niletea kipeperushi, kwann alifanya hivo siku hiyo tu na sio siku nyinginezo?!... Tena kaniletea ofisini, who does that?! Nikauwaza mtiririko wooote wa hili suala la kiganga nikaona kama kunamazingira ya kitapeli. Msenge kanitapeli elfu 55 halafu bado anataka niongeze 50!

Nikiwa bado natafakari hapo jamaa akapiga tena. Mara hii kawa mbogo anafoka. 'Mbona hutumi hiyo hela, au unataka nikuache wakushughulikie ee!' Nikamwambia natuma saiv. Nikakata simu. Sikutuma. Baada ya muda akapiga tena. Sikupokea. Akaacha mazima hadi leo.
Umesema una hela hadi weekend unaweza kupanda mwewe kula maisha Dar..NAKUHAKIKISHIA HAKUNA MTU MWENYE HELA ANAKAA NYUMBA INAFUNGWA NA KOFULI. Hilo ni geto tu la uswazi.
 
Back
Top Bottom