Nilichojifunza! CCM inahitaji viongozi wa upinzani mfano wa kina Lipumba na kina Mbowe wengi, ili iendelee kutuchezea watanzania

Bulelaa

JF-Expert Member
Jun 28, 2024
1,342
3,246
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
 
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
Hawataki aggressive oposition, hao watawaletea shida. Wanataka wapinzani wapole
 
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
Wale wote ni vibaraka wa ccm
 
1734635652498.png


Inahitaji akili sana kuielewa hii nimecheka mpaka nikaanguka
 
Mbowe hajawahi KUOKOKA kwenye eneo la pesa.
Ametuchezea sana midundiko tangia enzi za Lowasa.
 
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
Leteni madili ya CCM sisi tufanye kazi, taifa hili bila CCM imara ni miyeyusho. Huko Chadema wamejaa majizi mtupu, mkikaa vibaya hata Lisu watamuiba.
 
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
Unahisi watu maskini kama kina Lisu Kuna kipi wataifanya CCM labda maana naona mumejaa upepo 😆😆😆
 
Unahisi watu maskini kama kina Lisu Kuna kipi wataifanya CCM labda maana naona mumejaa upepo 😆😆😆
Lisu ana raslimali watu tena wenye moyo wa mapambano.
Wapo tayari kukipigania chama kwa hali na mali.
Upande wa Mbowe umejaa utapeli na upigaji tu, usipokuwa makini unaweza kumuamini mbowe na genge lake la wapigaji
 
Lisu ana raslimali watu tena wenye moyo wa mapambano.
Wapo tayari kukipigania chama kwa hali na mali.
Upande wa Mbowe umejaa utapeli na upigaji tu, usipokuwa makini unaweza kumuamini mbowe na genge lake la wapigaji
Mpitisheni tuone hao Rasilimali watu na aitishe maandamano.

Mwisho maskini wengi hawawezi ishinda pesa
 
Ukichunguza sana, viongozi aina hii, wote huwa ni ndumila kuwili, mguu mmoja upinzani na mwingine chama tawala

Ukifuatilia kwa umakini huu mtanange wa nani ni nani kati ya Mh. Mbowe na Mh. Lissu katika kinyang'anyilo cha Uwenyekiti wa Chadema

Wanachama na wafuasi wa CCM, wanaombea kwa hali na mali, Mbowe aendelee kuwa M/kiti wa Chadema kwa sababu ya wanazozijua wao, na watu waliosoma Cuba, tunaelewa sana CCM wanachokuwa wanakifanya kwa kumpigia debe bwana Mbowe

Asilimia kubwa ya Wanachama wa CHADEMA, wanaomba sana mabadiriko na kupitia Mh Lissu ili awe M/kiti wa chama chao, na wanaamini, Tundu Lissu ndiye pekee anaweza kucheza na rafu za ccm na si mtu mwingine

CHADEMA, tangu mimi nimeanza kufuatilia siasa, sikuwahi kusikia jina lingine wala kuona M/kiti mwingine zaidi ya aliyepo sasa

Kwa maoni yangu, CHADEMA kinahitaji viongozi mahiri na wasio na uwoga wowote linapokuja suala la kukipigania chama, na si mwingine, bali Tundu Lissu, Mbowe amefanya mengi yatakumbukwa, ila kwa sasa, mbinu zake zilizopitwa na wakati, hazihitajiki tena

Ukiona jambo likishabikiwa sana na CCM, kuna mawili, ama ni mtu wao, na ama ni mtu mwepesi hawatishi wao!
Tundu Lissu hacheki na kima
 
Back
Top Bottom