kuezeka huwa ni kipengele. mkuu si rough floor inapenda maji nadhani haina shida.View attachment 3094747
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
🤣 sement za mchongo nn?View attachment 3094747
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
Asante mkuu kwa ushaur kuhezeka ni mtihan mzitokuezeka huwa ni kipengele. mkuu si rough floor inapenda maji nadhani haina shida.
Hapana mkuu maana nafanya hivyo kwasabab majan yanaota humo ndani🤣 sement za mchongo nn?
Mvua moja kaka, asante kwa ushaurTangu umechapia imekutwa na mvua za misimu mingapi? kama bado jitajidi kufuta kwajuu ili mvua ikipiga maji yateleze kwene ukuta nayasiingie baina ya plasta na tofali hii kuna muda inasababisha plasta kuachiana na tofali ,unakuta plasta ukiigonga inalia kama ngoma
Asante kwa ushaur ndio nawaza nifanye hvyo kama mpaka mwakan sijafanikisha kuhezekaPiga hata slope uingie!
Ninacho kitaka ni kuzuia nyasi kuota humo ndani huku nikiendelea kutafuta rla ya kuhezeka mkuuUpige floor ili iweje!?
Hata ukiweka Floor huwezi kuhamia kama hujaezeka....!
Akili ni kuezeka...!
Acha hizo kaz man itapasuka mapema sana. PauaHapana mkuu maana nafanya hivyo kwasabab majan yanaota humo ndani
Hiyo h ya nini? Futa mara moja usionekane pimbiView attachment 3094747
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
Na sijaelewa kwanini mdau anajenga nyumba kwa style ya kwenda nyuma kurudi mbele!?Tangu umechapia imekutwa na mvua za misimu mingapi? kama bado jitajidi kufuta kwajuu ili mvua ikipiga maji yateleze kwene ukuta nayasiingie baina ya plasta na tofali hii kuna muda inasababisha plasta kuachiana na tofali ,unakuta plasta ukiigonga inalia kama ngoma
Haiwezi kuleta shida, itakusaidia hasa kipindi cha mvua.View attachment 3094747
Wakuu kwema naombeni ushauri, hilo ni pagale langu nimepiga plasta nimeweka grills na mageti bado sijahezeka ila ninampango wa kuhezeka mwakan nauliza niliweka rafu floor haitokua shida asanten
Tumia materials za bei rahisi badala ya kuweka mbao tumia mirunda kunyanyua paa.Asante mkuu kwa ushaur kuhezeka ni mtihan mzito