Kawalenga hapo wazee wa online football betting mkuu.Wakamalia ndio watu gani?
Basi funga jela na wahasibu miezi 8Mfano wa Mwasibu
Mkuu wewe futa Simba na Yanga tu hayo maccm unayaacha unayadhoofisha tu kwa kuyanyang'anya viwanja vyote vya mpira. Hizo betting unaziacha unaweka mazingira mazuri ya vijana kupata ajira zitakufa zenyewe, ila Yanga na Simba chinja kabisa.Endapo mwaka 2040 nikitangazwa Kama Rais
Nitafuta
Kamali
Simba
Yanga
Ccm.
Pia wakamalia wote watafungwa gerezani mwaka mmoja .
Na sitoruhsu unywaji wa pombe bali wine tu
NotedMkuu wewe futa Simba na Yanga tu hayo maccm unayaacha unayadhoofisha tu kwa kuyanyang'anya viwanja vyote vya mpira. Hizo betting unaziacha unaweka mazingira mazuri ya vijana kupata ajira zitakufa zenyewe, ila Yanga na Simba chinja kabisa.
Kumbe sio mimi tu, sipendi habari za yanga na simba.Mkuu wewe futa Simba na Yanga tu hayo maccm unayaacha unayadhoofisha tu kwa kuyanyang'anya viwanja vyote vya mpira. Hizo betting unaziacha unaweka mazingira mazuri ya vijana kupata ajira zitakufa zenyewe, ila Yanga na Simba chinja kabisa.
Mawazo Yako Yanaonyesha Dhahiri Kwamba Urais Umekuzidi MbioEndapo mwaka 2040 nikitangazwa Kama Rais
Nitafuta
Kamali
Simba
Yanga
Ccm.
Pia wakamalia wote watafungwa gerezani mwaka mmoja .
Na sitoruhsu unywaji wa pombe bali wine tu
Ndiyo afya ya akili hiyo inayolikumba taifa.Endapo mwaka 2040 nikitangazwa Kama Rais
Nitafuta
Kamali
Simba
Yanga
Ccm.
Pia wakamalia wote watafungwa gerezani mwaka mmoja .
Na sitoruhsu unywaji wa pombe bali wine tu
Mh! nyie sijui kama mnauwezo mzuri wakuwaza!, anaona hivyo kwasababu yupo nje ya mfumo siku akiingia ndani ya mfumo hatoboi hata punje!.Mkuu wewe futa Simba na Yanga tu hayo maccm unayaacha unayadhoofisha tu kwa kuyanyang'anya viwanja vyote vya mpira. Hizo betting unaziacha unaweka mazingira mazuri ya vijana kupata ajira zitakufa zenyewe, ila Yanga na Simba chinja kabisa.
Una akili fupi kuliko urefu wa ....Endapo mwaka 2040 nikitangazwa Kama Rais
Nitafuta
Kamali
Simba
Yanga
Ccm.
Pia wakamalia wote watafungwa gerezani mwaka mmoja .
Na sitoruhsu unywaji wa pombe bali wine tu