Nichague mwanamke yupi wa kuoa kati ya hawa wawili?

Jan 9, 2025
8
11
1. Mwanamke ambaye ninamzidi miaka 3, ni mwanachuo wa Bachelor, ni Mhehe kwa kabila, anapenda kusifiwa ndo furaha yake, anaishi na wazazi wake wote wawili na ndugu wengine kama kaka zake, dada zake na wadogo zake, ananipenda sana na anapenda WhatsApp video call tukiwa mbali naye.
2. Ni mwanamke ambaye ni form 4 failure, ninamzidi miaka 5, ni Mhaya kwa kabila, anaishi na mama yake na ndugu zake wa kike na kiume; baba yake kafariki mwaka 2021, ananipenda lakini kwake mapenzi ya kusifiwa siyo kipaumbele kikubwa ukitoa masuala ya uvumilivu, upendo wa kuzungumza face to face, hana mambo mengi, huwa ananiambiya changamoto zake zote za kimaisha zikiwemo za kutongozwa na wanaume.
 
1. Mwanamke ambaye ninamzidi miaka 3, ni mwanachuo wa Bachelor, ni Mhehe kwa kabila, anapenda kusifiwa ndo furaha yake, anaishi na wazazi wake wote wawili na ndugu wengine kama kaka zake, dada zake na wadogo zake, ananipenda sana na anapenda WhatsApp video call tukiwa mbali naye.
2. Ni mwanamke ambaye ni form 4 failure, ninamzidi miaka 5, ni Mhaya kwa kabila, anaishi na mama yake na ndugu zake wa kike na kiume; baba yake kafariki mwaka 2021, ananipenda lakini kwake mapenzi ya kusifiwa siyo kipaumbele kikubwa ukitoa masuala ya uvumilivu, upendo wa kuzungumza face to face, hana mambo mengi, huwa ananiambiya changamoto zake zote za kimaisha zikiwemo za kutongozwa na wanaume.
Chukua 1 uyo mkuu, usichague naekuzidi matatizo
 
Unafaa kuwa mtabiri my dear yaani umepita mule mule napopaangazia
Mwanzoni mapenzi huwa ni mazuri na huwezi kuona kasoro ila kadri muda unavyozidi kwenda ndiyo utajua yupi yupi.
Kikubwa angalia
1. Atakayekuwa tayari kuwa na ww kwenye shida na raha. Kuna kufukuzwa kazi
2. Siyo mbinafsi, unaweza kujisifu umeoa mwanamke mwenye kazi lkn hela yake ikatumika kwenye matumiz yake. Siyo kwamba umtegemee mwanamke hapana. Kuna wanawake wakiwa kwenye ndoa hata kununua chumvi au umeme 5,000 hawezi na siku akinunua atalalamika muda wote. Huyu hafai
3. Mwanamke ambaye atakuwa chini yako, utamcontrol. Kuna wengine atakuambia usinipelekeshe. Haujanisomesha wewe
 
Vijana bhana eti changamoto zake ikiwemo kutongozwa na wanaume (hii wanawake wote lazima atakwambia).
Mi naona usioe yeyote kati Yao siku ukikutana na wa kuoa amini hutaomba ushauri kwa mtu na hutamsikiliza mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom