Ni wazi viongozi waandamizi na wanachama wengi wa CHADEMA, kwa hasira watahamia CCM baada ya uchaguzi wao wa fujo na vurugu Jan.21.2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
22,736
24,045
Wengi watachafukwa sana dhidi ya mchakato wa uchaguzi utakavyokua unaendeshwa, na zaidi sana watavurugwa zaidi na matokeo ya uchaguzi huo ambao ni wazi utagubigwa na vurugu, fujo na songombingo za kabokamchizi kama zote.

Baadhi ya viongozi waaandamizi wa CHADEMA Taifa watapokelewa kesho kwenye mkutano mkuu maalumu jijini Dodoma, lakini wengi zaidi watapokelewa kwa nyakati tofauti na viongozi wa CCM, hususani siku ya kumpokea makamu mwenyekiti mpya wa CCM bara, jijini Dar es salaam.🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
 
Mbowe na alaaniwe kwa kukialibu chama ambacho kilikuwa ni matumaini kwa Watanganyika Mungu lisaidie taifa lako Mungu wasaidie watu wake
 
Wengi watachafukwa sana dhidi ya mchakato wa uchaguzi utakavyokua unaendeshwa, na zaidi sana watavurugwa zaidi na matokeo ya uchaguzi huo ambao ni wazi utagubigwa na vurugu, fujo na songombingo za kabokamchizi kama zote.

Baadhi ya viongozi waaandamizi wa CHADEMA Taifa watapokelewa kesho kwenye mkutano mkuu maalumu jijini Dodoma, lakini wengi zaidi watapokelewa kwa nyakati tofauti na viongozi wa CCM, hususani siku ya kumpokea makamu mwenyekiti mpya wa CCM bara, jijini Dar es salaam.🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
Na sisi wana CCM tunawakaribisha kwenye chama kubwa la Afrika
 
Wengi watachafukwa sana dhidi ya mchakato wa uchaguzi utakavyokua unaendeshwa, na zaidi sana watavurugwa zaidi na matokeo ya uchaguzi huo ambao ni wazi utagubigwa na vurugu, fujo na songombingo za kabokamchizi kama zote.

Baadhi ya viongozi waaandamizi wa CHADEMA Taifa watapokelewa kesho kwenye mkutano mkuu maalumu jijini Dodoma, lakini wengi zaidi watapokelewa kwa nyakati tofauti na viongozi wa CCM, hususani siku ya kumpokea makamu mwenyekiti mpya wa CCM bara, jijini Dar es salaam.🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Mungu Ibariki Tanzania
Hapa kisiasa huwa tunasema hasira ya mkizi ni furaha ya mvuvi Ambae ni CCM.
Nadhani upinzani wameisha chelewe kwenye kujiimarisha kwa uchaguzi.
Damu mpya ni muhimu katika upinzani
 
Back
Top Bottom