Dar Joto Sana
Senior Member
- Feb 28, 2025
- 190
- 338
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).
Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.
Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.
State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.
Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??