Ni watu wa aina gani wanaofanya kazi Ikulu ya Marekani au Urusi??

Dar Joto Sana

Senior Member
Feb 28, 2025
190
338
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??

Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).

Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.

Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.

State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.

Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
 
Marekani, Urusi and the like sidhani kama ni watu wa kawaida wale..
Ni kweli mara nyingi uwa sio watu ila ni misukule wanaokuja kuinunua pale nyumbani Sengerema kaka .

Wanaenda wanaiunda upya akili na utashi alafu wanaipa ajira ila uwa ni process kubwa sana ,nilishuhudia mwaka juzi walipokuja kununua sengerema yaani babu aliwapiga hela kweli kweli
 
Eti wakuu, leo wakati ninatazama Al Jazeera ghafla ikaja akili mwangu kujiuliza, hivi Ikulu za nchi kama Marekani, Russia, China au Uingereza kuna watu wa aina gani kule wanaajiriwa??

Kwa maana wale jamaa, habari za dunia nzima wanazo, brands zote kubwa duniani ni zao (Google, Microsoft, Meta).

Mambo yanayoendelea katika Ikulu za nchi zote duniani wanajua.

Kuna watu watabisha kuwa Google au Microsoft sio Mali ya Ikulu ya Marekani, but mind you uratibu wa shughuli zote za Marekani mpaka biashara na maisha ya mtu mmoja mmoja hufanyika state house.

State house ikiwa mbovu, tegemea nchi mbovu.

Ni kina nani wanafanya kazi Ikulu za Marekani, Russia na China??
Ikulu ya Marekani wanaajiriwa watu tofauti kuanzia wenye vipaji vingi na vikubwa, mpaka watu wanaopata kazi kwa sababu wao au familia zao walichangia sana fedha kwenye kampeni za urais.

Mfano, Monica Lewinsky alipata kazi Ikulu kwa sababu ya connection ya baba yake aliyekuwa mchangiaji mkubwa kwenye kampeni ya Bill Clinton.

Wengine wanapewa kazi kwa sababu ya kuwa karibu na rais kisiasa kuliko kuwa na uwezo mkubwa sana. Hawa ni political appoinyees.

Pia kuna professionals kama wa ulinzi hupitia mafunzo maalum ya ulinzi wa rais wa Marekani na nyumba yake.

Pia kuna Non-Career Senior Executive Services hao wako chini ya presidential appointees.

Kuna Support Staff kama secretaries, adminisyrative assistant etc.

Kuajiriwa White House unatakiwa kuwa raia wa Marekani, upite background checks na ufikishe matakwa ya viwango vya kazi.
 
Watu wa kawaida tu na sio kweli kuwa wanafahamu yote duniani
Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.

Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.

White House na Kremlin labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
 
Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.

Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.

White House labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
Wangekuwa wanajua kila kitu, September 11 isinge tokea na hata ka - mchezo Ka- Hamas kangezimwa kabla ya kutekelezwa October 7 2023.
 
Hakuna mtu wa kawaida White House mkuu. Unataka kuniambia Marekani hawajui kinachoendelea Ikulu ya South Afrika au Brazil.

Kabla ya Rais wa North Korea kwenda Russia kwa ziara ya kikazi, Marekani alilisema hilo two weeks before.

White House labda kuna aliens mule wanafanya kazi aisee..
Ila wewe jamaa akili yako imejaa illusions sana. Hao ni watu wa kawaida sana tu, hata wewe unaweza kuajiriwa Ikulu. Kuhusu kupata taarifa hilo ni suala la mifumo ya usalama waliyonayo. Ukiwa na mfumo thabiti na imara basi utapata taarifa nyingi na sahihi, na mfumo wako ukiwa dhaifu basi kinyume chake
 
Ila wewe jamaa akili yako imejaa illusions sana. Hao ni watu wa kawaida sana tu, hata wewe unaweza kuajiriwa Ikulu. Kuhusu kupata taarifa hilo ni suala la mifumo ya usalama waliyonayo. Ukiwa na mfumo thabiti na imara basi utapata taarifa nyingi na sahihi, na mfumo wako ukiwa dhaifu basi kinyume chake
Mbona povu jingi mkuu??
 
Walishatutengeneza kiakili...Kwa Sasa ni kuabudu TU na kiwaona sio wa kawaida😄😄😄
 
Ikulu ya Marekani wanaajiriwa watu tofauti kuanzia wenye vipaji vingi na vikubwa, mpaka watu wanaopata kazi kwa sababu wao au familia zao walichangia sana fedha kwenye kampeni za urais.

Mfano, Monica Lewinsky alipata kazi Ikulu kwa sababu ya connection ya baba yake aliyekuwa mchangiaji mkubwa kwenye kampeni ya Bill Clinton.

Wengine wanapewa kazi kwa sababu ya kuwa karibu na rais kisiasa kuliko kuwa na uwezo mkubwa sana. Hawa ni political appoinyees.

Pia kuna professionals kama wa ulinzi hupitia mafunzo maalum ya ulinzi wa rais wa Marekani na nyumba yake.

Pia kuna Non-Career Senior Executive Services hao wako chini ya presidential appointees.

Kuna Support Staff kama secretaries, adminisyrative assistant etc.

Kuajiriwa White House unatakiwa kuwa raia wa Marekani, upite background checks na ufikishe matakwa ya viwango vya kazi.
Ume nikumbusha karoline leavitt alivyo pata kazi ya kuwa msemaji wa trump.
 
Back
Top Bottom