chief swetu
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 214
- 228
Habari zenu watu wa Mungu na wadau wa jukwaa la afya,
Mengi nmejfunza kupitia jukwaa hili! Naamini ntaendelea kujifunza zaidi, niende kwenyewe moja kwa moja.
Wajuzi tujuzane, binafsi tangu nimebalehe huwa nahisi namfikisha mwenza wangu kileleni kwa ishara tofauti tofauti anazonionyesha, Lakini sijawahi kushuhudia namkojoza mwanamke akarusha vitu (maji) Kama bomba la maji!
Kwenye pitapita zangu huwa nasikia wanasema wasemaji kua of mtoto lazima arushe maji hususani Pande za Bukoba huko unaambiwa guest za huko godoro zao ziko covered na karatasi zisizo ruhusu maji hayo kuzichafua.
Huwa najiuliza ni Kanda ya Bukoba tu ndio wanarusha vitu(maji) sehemu zetu huku misungwi hakuna?
TUJUZANE PLS
Mengi nmejfunza kupitia jukwaa hili! Naamini ntaendelea kujifunza zaidi, niende kwenyewe moja kwa moja.
Wajuzi tujuzane, binafsi tangu nimebalehe huwa nahisi namfikisha mwenza wangu kileleni kwa ishara tofauti tofauti anazonionyesha, Lakini sijawahi kushuhudia namkojoza mwanamke akarusha vitu (maji) Kama bomba la maji!
Kwenye pitapita zangu huwa nasikia wanasema wasemaji kua of mtoto lazima arushe maji hususani Pande za Bukoba huko unaambiwa guest za huko godoro zao ziko covered na karatasi zisizo ruhusu maji hayo kuzichafua.
Huwa najiuliza ni Kanda ya Bukoba tu ndio wanarusha vitu(maji) sehemu zetu huku misungwi hakuna?
TUJUZANE PLS