Ni sahihi kwa vyombo vya dola kuingia kuyapekua maisha na mapato ya Juma Jux

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
17,638
28,869
Nadhani ni muda sahihi kwa vyombo vya dola kuanza kuogelea kina kirefu kuyachimba maisha ya Juma Jux, msanii ambaye siku za hivi karibuni maisha yake yanaonyesha anasa kuu kuliko hata za mabilionea wengi Afrika.

Inawezekana kuna biashara chafu iko nyuma ya pazia kama ya yule mbaijeria aliyekamatwa Dubai na viroba vya unga.

Hiyo private jet ilikaguliwa kiasi gani pale uwanja wa ndege? Moja kati ya mbinu zinazotumika na hawa jamaa ni kujaza mastaa katika jambo lao ili kuepusha ukaguzi mkali.

I smell a rotten rat. Tena route unaenda Naijeria kwa mafias. I insist, I smell a rat.
 
Nadhani ni muda sahihi kwa vyombo vya dola kuanza kuogelea kina kirefu kuyachimba maisha ya Juma Jux, msanii ambaye siku za hivi karibuni maisha yake yanaonyesha anasa kuu kuliko hata za mabilionea wengi Afrika.

Inawezekana kuna biashara chafu iko nyuma ya pazia kama ya yule mbaijeria aliyekamatwa Dubai na viroba vya unga.

Hiyo private jet ilikaguliwa kiasi gani pale uwanja wa ndege? Moja kati ya mbinu zinazotumika na hawa jamaa ni kujaza mastaa katika jambo lao ili kuepusha ukaguzi mkali.

I smell a rotten rat. Tena route unaenda Naijeria kwa mafias. I insist, I smell a rat.
Mmh mbona wivu wakipumbavu huu😏
 
Nadhani ni muda sahihi kwa vyombo vya dola kuanza kuogelea kina kirefu kuyachimba maisha ya Juma Jux, msanii ambaye siku za hivi karibuni maisha yake yanaonyesha anasa kuu kuliko hata za mabilionea wengi Afrika.

Inawezekana kuna biashara chafu iko nyuma ya pazia kama ya yule mbaijeria aliyekamatwa Dubai na viroba vya unga.

Hiyo private jet ilikaguliwa kiasi gani pale uwanja wa ndege? Moja kati ya mbinu zinazotumika na hawa jamaa ni kujaza mastaa katika jambo lao ili kuepusha ukaguzi mkali.

I smell a rotten rat. Tena route unaenda Naijeria kwa mafias. I insist, I smell a rat.
Utakuja kufii.. wewe... Kufinyiwa ndani, ukiendelea kufatilia maisha ya wanaume
 
Unataka apekuliwe leo kisa bata unazoziona!!!

Uliwahi ona wapi pesa ya biashara haramu inaliwa bata hadharani?

Tatzo la wabongo wepesi kumjudge mtu kwa kile wanachokiona.

Jux anazo hela kitambo so kama kumpekua ilitakiwa apekuliwe kwanza babaake au kama jux mwenyewe basi angepekuliwa kuanzia 2010 huko.

Kiufupi washachelewa kumpekua kama ni magendo ashapiga sana na pesa kaitakatisha so saivi anaila tu
 
Huwa nasikitika sana nikiona mwanaume anaandika nyuzi kama hizi kumdiss mwanaume mwenzake.

Ila anashindwa kuhoji vyombo vya dola vifuatilie ripoti za CAG mashirika ya umma yanaendeshwa kwa hasara, upigaji, ufisadi n.k

Kuna trilioni 2 zilikusanywa na TRA hazijulikani zilipelekwa wapi

Mleta uzi kama bado ana marinda tushukuru Mungu, hizi ni tabia za kishoga sana

 
Nadhani ni muda sahihi kwa vyombo vya dola kuanza kuogelea kina kirefu kuyachimba maisha ya Juma Jux, msanii ambaye siku za hivi karibuni maisha yake yanaonyesha anasa kuu kuliko hata za mabilionea wengi Afrika.

Inawezekana kuna biashara chafu iko nyuma ya pazia kama ya yule mbaijeria aliyekamatwa Dubai na viroba vya unga.

Hiyo private jet ilikaguliwa kiasi gani pale uwanja wa ndege? Moja kati ya mbinu zinazotumika na hawa jamaa ni kujaza mastaa katika jambo lao ili kuepusha ukaguzi mkali.

I smell a rotten rat. Tena route unaenda Naijeria kwa mafias. I insist, I smell a rat.
Vijana wa ccm mna roho mbaya.

Mmeshaanza roho zenu za korosho. Kijana alipambana maisha kivyake sasa anakula bata mnanuna?
 
Huwa nasikitika sana nikiona mwanaume anaandika nyuzi kama hizi kumdiss mwanaume mwenzake.

Ila anashindwa kuhoji vyombo vya dola vifuatilie ripoti za CAG mashirika ya umma yanaendeshwa kwa hasara, upigaji, ufisadi n.k

Kuna trilioni 2 zilikusanywa na TRA hazijulikani zilipelekwa wapi

Muandika uzi kama ana marinda tushukuru Mungu, hizi ni tabia za kishoga sana

Na kitakachokushangaza zaidi utakuta huyu ni kiongozi mkubwa wa chama na serikali.
 
Back
Top Bottom