Ni kweli Nigeria imeshindwa kuwalinda raia wake Wakristo dhidi ya magaidi wauaji na kwa dunia imepuuza uhalifu huo dhidi ya binadamu?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
49,624
72,490
Kuna majimbo ya huko Nigeria ya Kaskazini na Plateau kusikia watu wamechinjwa au wametekwa kwa sababu za kidini na magaidi ni jambo la kawaida tu ila sijawahi kusikia serikali yao ikifanya operations kubwa za kijeshi kuyadhibiti magaidi wauaji au hata UN, jumuiya za kimataifa na mataifa yenye nguvu yakiupa umuhimu mkubwa uhalifu huo dhidi ya binadamu.
Screenshot_20250415-202450_X.jpg
 
Makafir haki yao ni kuuliwa. Makkah wameuliwa; Madina wamefyekwa sembuse Nigeria? Matone ya damu zao wataungua wengi.
 
Takwimu zinaonesha waathirika wakubwa wa ugaidi wa boko haramu ni waislam hata wale mabinti walio tekwaga kwenye mji wa choboko %70 walikuwa ni mabinti wa kiislam.
Na cha kushangaza zaidi ilikuja kubainika kuwa kati ya pesa zinazo idhamini boko haram na pesa za USAID zipo.
 
Nigeria ni taifa ambalo limegawanyika nusu ni Wakristo, kwa nini hao Wagalatia wanashindwa kulinda na kutetea ndugu zao wasichinjwe na magaidi?!


Ukiona hivyo ndani ya mifumo kuna waislam wengi .
na ukumbuke uislam na ugaidi ni vitu vinavyochanganya sana .
Kipindi cha Osama bin Laden Waislam wengi walikua wanamsapoti na kuweka mpaka picha zake majumbani mwao na kwenye biashara zao . Ile haikua inatokea kwa bahati Mbaya .

Lengo la kila Muislam ni kuhakikisha dunia inafuata mila za kiarabu na dini yao.

Ndani ya mifumo panapotokea suala la ugaidi basi ujue karibu nusu ya waisalam wanaunga mkono na ni wanufaika wa Ugaidi huo na wanafanya kwa siri kubwa sana sana sana . Pesa nyingi zitaonekana kwa kundi fulani na watu wataona baadhi ya viongozi wa serikali ya Nigeria wanakua mabilionea wakubwa sana lakini nyuma yake kuna ahadi ya kusaidia Nigeria itawaliwe kiislam
Sasa ukijaribu .

Sasa Rais anayekua madarakani hapo Nigeria anashindwa kupambana na Magaidi kwa sababu ndani ya serikali yake ,Vyombo vya dola na Jeshi kuna kundi kubwa sana linalounga mkono ugaidi kwa siri kubwa sana .
Hasa inapotokea Serikali hiyo ni ya kihuni na kifisadi ,watu wanaishi kwa kuiba mali za umma maisha yanakwenda wakristo wanachijwa hakuna wa kusema kwa sababu akisema watamwondoa haraka sana na kwa siri kubwa .
Ugaidi na biashara ya madawa ya kulevya na ufisadi katika ukoloni mambo leo ni vigumu sana kupambana nao kwa kutegemea serikali isiyo na Demokrasia ya kutosha .
Sasa haiwezekani kupambana na huo ugaidi.
Labda atokee Mwanamapinduzi mmoja ndani ya Jeshi tena wa dini ya Kiislam ambaye sio fisadi na hana mali za kifisadi ili washughulikie kwanza mawakala wa magaidi ndani ya mfumo na kuziba mabomba yote ya pesa za magaidi wanaoshirikiana kati ya Watawala ,Wafanyabiashara na magaidi ndani na nje ya Nigeria
 
Takwimu zinaonesha waathirika wakubwa wa ugaidi wa boko haramu ni waislam hata wale mabinti walio tekwaga kwenye mji wa choboko %70 walikuwa ni mabinti wa kiislam.
Na cha kushangaza zaidi ilikuja kubainika kuwa kati ya pesa zinazo idhamini boko haram na pesa za USAID zipo.
Hawa 51 wameuwawa wiki hii, miezi mitatu tangu pesa za USAID kusitishwa.
Halafu kama Waislamu wa Nigeria wanaathiriwa na ugaidi wa Waislamu wenye misimamo mikali kwa nini hawasimami kidete kuwapinga na kuwakataa??
 
Makafir haki yao ni kuuliwa. Makkah wameuliwa; Madina wamefyekwa sembuse Nigeria? Matone ya damu zao wataungua wengi.
Kwa utamaduni wa kiarabu kuua mtu asiye ishadadia utamaduni huo ni halali kabisa lakini magaidi wa kipalestina wanapouliwa wanalalamika tena ni unafiki mkubwa sana.

Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
 
Takwimu zinaonesha waathirika wakubwa wa ugaidi wa boko haramu ni waislam hata wale mabinti walio tekwaga kwenye mji wa choboko %70 walikuwa ni mabinti wa kiislam.
Na cha kushangaza zaidi ilikuja kubainika kuwa kati ya pesa zinazo idhamini boko haram na pesa za USAID zipo.
Bora useme ukweli ...Hao jamaa wakionq Hausa basi wanajua hilo ... Serikali inaua watu kwa makundi mara kwa mara then wanadai ni bahati mbaya.
 
Nigeria ni taifa ambalo limegawanyika nusu ni Wakristo, kwa nini hao Wagalatia wanashindwa kulinda na kutetea ndugu zao wasichinjwe na magaidi?!

Tatizo waislamu hujiona kama ndio wanahodhi vita, kwamba haitafika siku dunia ichoke huo ugaidi wao.
 
Tatizo waislamu hujiona kama ndio wanahodhi vita, kwamba haitafika siku dunia ichoke huo ugaidi wao.
Pambaneni nyie 🤣🤣kama mna visa vyenu piganeni...Ugomvi wa Nigeria ni makabila wala hauna uhusiano na dini ,hayo makabila ndiyo wana wafausi wa dini.
 
Pambaneni nyie 🤣🤣kama mna visa vyenu piganeni...Ugomvi wa Nigeria ni makabila wala hauna uhusiano na dini ,hayo makabila ndiyo wana wafausi wa dini.

Mohammad mwenyewe alianza ugaidi kwa kuchinja Wayahudi wa Banu Qurayza na kuuza watoto wao utumwani, hiyo dini huwa mnajiona kama ndio mnajua vita sana ila Iko siku mtachokwa
 
Mohammad mwenyewe alianza ugaidi kwa kuchinja Wayahudi wa Banu Qurayza na kuuza watoto wao utumwani, hiyo dini huwa mnajiona kama ndio mnajua vita sana ila Iko siku mtachokwa
Kuna msemo mmoja unasema "kama haujafanya utafiti basi huna haki ya kuzungumza"

Nakushauri jielimishe basi kwanza halfu uje kuongea mbele za watu

Ukifanikiwa kutofautisha chuki zako zidi ya uislamu na ukweli halisi uje uandike tena

Asante
 
Back
Top Bottom