Ni kwanini watoto wa kiume hupatwa hasira na wengine kufikia kuanza kuwadharau na kutowaheshimu dada au mama zao wakiwafumania ?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Jun 28, 2024
503
1,428
Nakumbuka hapo zamani niliwahi kuwa na rafiki yangu mpole sana, aliwahi kumfumania mazingira ya nyumbani dada yake na njemba nyingine kwenye nyumba ambayo haijakamilika (pagala), baada ya siku 4 nilisikia rafiki kampiga yule jamaa, wengi walistuka kwa haiba ya upole ya rafiki na kumuamini kwamba ilikuwa self defense lakini uhalisia ni revenge / kisasi,

kuanzia siku hiyo mpaka leo hamuheshimu dada yake, ndugu wanawashangaa lakini chanzo cha ugomvi wao ninakijua mimi.

Kwa wengine wapo wanaofumania mama zao wakichepuka, hawa nasikia huwa ni mara 10 zaidi, heshima yote hupotea, dharau zinazidi, hata mama afanye kipi ni ngumu kusamehe
 
Mi naona kiswahili ni kigumu sana,

"UKIMFUMANIA", bila shaka hili neno linatumika ndani ya uchumba/Ndoa (mme na mke) ila siyo vinginevyo.. ✍️ ✍️
 
Mama zenu ndio wapuuzi hivyo? 💩 yaani kujua au kuhisi mchepuko wa mama yako ni ishara tosha mama yako ni useless hopeless idiot ktk hii dunia hafai... Achilia mbali kumfumania na mwanaume...
Baba zenu inaonekana waliokota okota wanawake wasiojitambua wakazaa nao...
 
Hii dharau Huwa inakuja automatic tu, hata ufanyeje huwezi kuitoa.
Maana utakuwa umejua Dada yako au Mama yako ni malaya kama malaya wengine.
Na malaya huwa haaminiki kwa lolote.
Hathaminiki
Hana heshima
Anaweza kulala na yoyote kama mnyama wa porini au kukugeuka ikihusishwa pesa
 
Back
Top Bottom