Ni kina nani wanateka watu, nani yuko nyuma yao?

Bapalidako

Member
Aug 6, 2024
79
165
kuna wimbi la watu kutekwa kalibu kila siku, lakini vyomba vya ulinzi na usalama ambavyo ni jeshi la polisi pamoja na selikali wako kimya, sijui sababu wahanga si wanachama wa CCM, na wote wanaotekwa ni wale wanaopingana na selikali kwa namna moja au nyingine, mfano yule kijana aliyechoma picha ya Rais kule mbeya

Inaonekana hawa wanayofanya haya wanajulikana na wanalindwa na jeshi la polisi, ni aibu kwa selikalini inayojinasibu Tanzania ni inchi ya amani huku kila siku watu wanatekwa na Kupotea na viongozi wamekaa kimya bila kutoa matamko yoyote,

Mimi naamini hata Viongozi wa dini ni wa kulaumiwa sababu hawa wanaotekwa ni waumini wao nao wamekaa kimya kama hayawahusu, haya tunayoyaona yalikuwa yanatokea kwa majirani zetu kipindi cha utawala wa Iddi Amini Dada lakini leo tunayashuhudia kwa macho yetu, hivi kweli selikali inaweza kuendelea kujinasibu kama Tanzania ni inchi ya amani?

Soma Pia:

Nini kifanyike, mimi ningeshauri chama cha CHADEMAa na vyama vya kutetea haki za watu ni heli wakaishitaki serikali hata kwenye mahakama za kimataifa maana ushahidi upo,wapo waliopokonyoko kutoka kwa watekaji wanaweza kueleza kilichowakuta, lakini kama selikali haina Msaada wowote ule kwa wahanga wa familia za waliotekwa na Kupotea.
 
Kweli kabisa hili jambo limechufua sana hapa tz. mpaka tunaogopa?
Halafu unashanga watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii wamekaa kimya hakuna anayeguswa na yanayoendelea inchini wanazani kama wao na famiria zao watabaki salama
 
uyu ndiye Faustine Jackson Mafwele na namba zake za Simu ni +255 755 855 743 na +255 787 922 913Huyu ameua watu wengi sana Mwanza , sasa ni kiongozi wa utekaji Dar na Tanzania nzima kupitia kituo cha Polisi Chang’ombe Temeka ambapo wana jengo la mateso kwa Watanzania
GVvhRc-XgAAvdew.jpg
 
Halafu unashanga watu wenye ushawishi mkubwa katika jamii wamekaa kimya hakuna anayeguswa na yanayoendelea inchini wanazani kama wao na famiria zao watabaki salama
Tatizo viongozi wetu jicho liko kwenye siasa tu hata hawa wadini hawajajitengemea kabisa kimamz
 
Wanaoteka watu ni wanaotaka kumchafua Mama Samia. Mh Rais ana roho ya huruma hawezi kutuma watu wawathuru wengine.
 
kuna wimbi la watu kutekwa kalibu kila siku, lakini vyomba vya ulinzi na usalama ambavyo ni jeshi la polisi pamoja na selikali wako kimya, sijui sababu wahanga si wanachama wa CCM, na wote wanaotekwa ni wale wanaopingana na selikali kwa namna moja au nyingine, mfano yule kijana aliyechoma picha ya rais kule mbeya

Inaonekana hawa wanayofanya haya wanajulikana na wanalindwa na jeshi la polisi, ni aibu kwa selikalini inayojinasibu Tanzania ni inchi ya amani huku kila siku watu wanatekwa na Kupotea na viongozi wamekaa kimya bila kutoa matamko yoyote,

Mimi naamini hata Viongozi wa dini ni wa kulaumiwa sababu hawa wanaotekwa ni waumini wao nao wamekaa kimya kama hayawahusu, haya tunayoyaona yalikuwa yanatokea kwa majirani zetu kipindi cha utawala wa Iddi Amini Dada lakini leo tunayashuhudia kwa macho yetu, hivi kweli selikali inaweza kuendelea kujinasibu kama Tanzania ni inchi ya amani?

Nini kifanyike, mimi ningeshauri chama cha Chadema na vyama vya kutetea haki za watu ni heli wakaishitaki selikali hata kwenye mahakama za kimataifa maana ushahidi upo,wapo waliopokonyoko kutoka kwa watekaji wanaweza kueleza kilichowakuta, lakini kama selikali haina Msaada wowote ule kwa wahanga wa familia za waliotekwa na Kupotea.
Yule aliiyesimamisha huduma za kijamii Ngorongora ndiyo yupo nyuma ya utekaji na uuaji...
 
Mleta mada ukikutana na huyu mtu anza kufanya Sala ya kifo. Huyu ndiye muuaji.

GVvhRc-XgAAvdew.jpg
 
Back
Top Bottom