Ni faida gani ambayo wanapata NATO kwa vita hivi vya Urusi na Ukraine?

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,779
4,981
Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa.

Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi.

Lakini kila kukicha Kama hapa Canada serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha.

Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha.

Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe.

IMG_0747.jpg

IMG_0746.jpg
 

Attachments

  • IMG_0748.jpg
    IMG_0748.jpg
    46.8 KB · Views: 4
Wanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.

Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.

Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
 
View attachment 2743323
Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha

Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha

Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe View attachment 2743324
View attachment 2743325
Ulitaka waiache Ukraine iteketezwe na urusi kiraisi?kwanini usiilaume urusi iliyoanzisha vita vya kivamizi kwanza?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ulitaka waiache Ukraine iteketezwe na urusi kiraisi?kwanini usiilaume urusi iliyoanzisha vita vya kivamizi kwanza?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Braza Pischal umekurupuka


Mtoa mada hajamlaumu yoyote isipokuwa anauliza kwa nin masponsa wananchi wao wanasota kutokana na ughali wa mahitaj ya msingi lkn wanasponsa ugenin???
 
View attachment 2743323
Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha

Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha

Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe View attachment 2743324
View attachment 2743325
Waafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu🤔.
 
Braza Pischal umekurupuka


Mtoa mada hajamlaumu yoyote isipokuwa anauliza kwa nin masponsa wananchi wao wanasota kutokana na ughali wa mahitaj ya msingi lkn wanasponsa ugenin???
Vipi ikianza kukatwa misaada ya NATO kama USAID hapa bongo ??
 
View attachment 2743323
Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha

Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha

Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe View attachment 2743324
View attachment 2743325
kama huez ona mapunguf ya huu mkataba mbovu maana yake huna vision ya muda mrefu kujua athari za huu mkataba mbovu , utaezaj kuwa kwann west wanatumia nguv kubwa kweny huo mgogoro ? tulia na akili zako za kitumwa , ya wakubwa wachie wenyew , ww bado huion hata kesho yako
 
Wanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.

Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.

Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
akil zenu fup , mkataba huu wa bandari ni kipimo chetu cha kujitambua , mkataba kama huu kwa nchi inajielewa serikali ingekuwa imejiuzulu ila kwavile wananchi vichwa maji bado wanadunda na wanapata nafasi ya kueneza uongo ulio waz kbs , SASA WATU WA NAMNA HII MNAEZA TAMBUA WANANCHOKIPIGANIA WEST HUKO UKRAINE ?
 
Waafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu🤔.
Yani unamaanisha waafrica Wana akili Sana kuliko mzungu au mchina Kuna makosa yanafanyika Kila uchwao Kuhusu BARA la Africa Watu kujilimbikizia mifuko ya Hela huku Wananchi wakiteseka na miundombinu mibovu ya Kila kitu Sasa Sijui unasemea Akili Gani mkuu Kwa Mtu mweusi ambazo Ako nazo
 
akil zenu fup , mkataba huu wa bandari ni kipimo chetu cha kujitambua , mkataba kama huu kwa nchi inajielewa serikali ingekuwa imejiuzulu ila kwavile wananchi vichwa maji bado wanadunda na wanapata nafasi ya kueneza uongo ulio waz kbs , SASA WATU WA NAMNA HII MNAEZA TAMBUA WANANCHOKIPIGANIA WEST HUKO UKRAINE ?

Mkuu hili kombora umejirifhisha hujalielekeza ufipa?

Kulikoni kombora kuelekea Kwa akina Joni Lumumba huko kulielekeza mstari wa mbele huku?

Chonde chonde ndugu jielekeze kwa umakini, utatungua wasiokuwamo.
 
Waafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu.
Mtu akikusikia ukisema kuwa Waafrika wana akili kuliko wazungu atacheka afe. Hebu tuambie kwenye dunia hii ni kipi mwafrika aliwahi kukifanya chenye kuonesha akili za kipekee ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.

Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.

Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
Kama ile demokrasia waliyoenda kuipigania Libya? Afghanistan? Iraq? Syria na kwingineko?
 
Back
Top Bottom