Hazifai kuwa hata dekio.
Bei yake halafu..
Ziko powa kwa joto city lakini, hewa inapita vzr.
Bei yake halafu..
Ziko powa kwa joto city lakini, hewa inapita vzr.
Ndio ona price tags kabisa?Ukiingia kweye mtandao hiyo ni collection ya Kanye West wa marekani wala si kitukikodukani
Upopo, elaborate please, what is Kanye West?Ukiingia kweye mtandao hiyo ni collection ya Kanye West wa marekani wala si kitukikodukani
Sasa unavaaje kwa mfano? Unaenda nayo outing kabisa?
Si ndo wanaita Casual?
Huyo Kanye west kaja kutuharibia kizazi ..huwa naangalia nguo zake sipati majibu