Next Pre Season 2025/26 Simba vs Yanga kwa Neutral Ground

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Aug 22, 2015
5,744
4,800
Ifike pahali hawa Vibonde Yanga na Simba ipigwe mbugi hata kama ya pre season ama kirafiki kwa neutral ground, namanisha sio bongo lets say ngoma inapigiwa Kasarani huko ama kwa Madiba na ikibidi Ulaya Ulaya.

Wanaogopana mbona wenziwe huko utasikia City anakichapa na Barca, mara Chelsea vs Man City, Arsenal vs Man U nk nk nk.

Sio kila siku shamba la bibi kwa mkapa na viwanja vya mikoani ambako wamezika vichwa vyao vya mbuzi.

Nawasilisha kwa level za kimataifa na wakimataifa wa Mnyama na Chura
 
SIMBA SPORT CLUB naipenda Simba ya msimbazi hakika KILA kheri kwao misimu huu wafanye maajabu Sana. ♥️🤍
 
Wajipambanue kwanza, wapate mashabiki nje ya bongo.. Mfano al ahly na zamalek wakisema wanakuja kucheza bongo hapa unadhani watajaza uwanja, labda kwa kampeni lubwa kwenye vipindi vya michezo.
 
Back
Top Bottom