De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 815
- 1,727
Habari za muda huu mwana JF?
Natumaini siku yako iko poa kabisa.
Leo kuna ndoto umempata rafiki yangu ambaye mara kadhaa huwa akinieleza kuhusu baadhi ya ndoto zake ambazo huwa zinamshinda kuzielewa.
Iko hivi:
Leo usiku muda wa saa 9 usiku kuelekea saa 10, ameota ndoto akifanya mapenzi na mwanamke ambaye hamkumbuki, na akifika mshindo na kumwaga kama avo-sex kawaida. Baadaye akashtuka kutoka usingizini na akakuta boksa imelowa(Shahawa).
Baada ya hapo akaenda bafuni kujisafisha na kubadili boksa. Anarudi kitandani, mara anaona damu kwenye godoro ikionekana kama alikuwa aki-sex na msichana bikra. Kajikagua mwili mzima kama kuna mahali damu hiyo aone labda imetoka mwilini mwake lakini hakuna. Karudi kwenye boksa kukagua labda inadamu, hakuna.
Boksa imelowa shahawa halisi kabisa. Kajaribu kujichua aone labda imetoka kwenye uume, wapi! Katoa manii za kawaida bila tatizo.
Kiukweli, ndoto hii pia mimi imenishinda. Kumbuka kuwa hiyo ya damu ni halisi, sio damu ya kwenye ndoto.
Anayeweza kuelewa hii imekaaje, atufungue akili kidogo, kabla hajavuka hatua zingine. Maana hii ni ajabu sana.
Natumaini siku yako iko poa kabisa.
Leo kuna ndoto umempata rafiki yangu ambaye mara kadhaa huwa akinieleza kuhusu baadhi ya ndoto zake ambazo huwa zinamshinda kuzielewa.
Iko hivi:
Leo usiku muda wa saa 9 usiku kuelekea saa 10, ameota ndoto akifanya mapenzi na mwanamke ambaye hamkumbuki, na akifika mshindo na kumwaga kama avo-sex kawaida. Baadaye akashtuka kutoka usingizini na akakuta boksa imelowa(Shahawa).
Baada ya hapo akaenda bafuni kujisafisha na kubadili boksa. Anarudi kitandani, mara anaona damu kwenye godoro ikionekana kama alikuwa aki-sex na msichana bikra. Kajikagua mwili mzima kama kuna mahali damu hiyo aone labda imetoka mwilini mwake lakini hakuna. Karudi kwenye boksa kukagua labda inadamu, hakuna.
Boksa imelowa shahawa halisi kabisa. Kajaribu kujichua aone labda imetoka kwenye uume, wapi! Katoa manii za kawaida bila tatizo.
Kiukweli, ndoto hii pia mimi imenishinda. Kumbuka kuwa hiyo ya damu ni halisi, sio damu ya kwenye ndoto.
Anayeweza kuelewa hii imekaaje, atufungue akili kidogo, kabla hajavuka hatua zingine. Maana hii ni ajabu sana.