Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,974
10,518
Inasikitisha sana. Mbususu zinachakatwa sana nje ya ndoa hasahasa kwenye mtaa wangu. Nina mpango kusaidiana na jeshi la sungu sungu ili kuwakabili wanaume wenye tabia za kuchakata wake za watu ilihali wanajua wazi kuwa huyu ni mke wa mtu. Kwenye mtaa wangu si tu vijana, yaani hadi wazee wanaruka na wanawake za watu

Nimeandika huu uzi kwa uchungu kwa kuwa hapa makazi mapya nilipata kienyeji mmoja mzuri sana wa kuwa naye kwenye mahusiano kwa lengo la kusaidizana mambo fulani, cha ajabu wakati nikiwa katika harakati za kutafuna tunda, katokea mzee mmoja from somewhere else, karusha ndoano kwenye mshipi wenye noti noti, kanasa chombo, kaichakata mbususu.

Kilichonistaajabisha zaidi ni baada ya kufuatilia kwa kina nione ni namna gani napambana na hili baba, ndo kuja kuhamaki kumbe binti ni mke wa mtu, kufuatilia mumewe, ni mtu anayepiga kazi nzito sana kwa lengo la kulisha familia yake. Nimejifikiria kama ningekuwa ni mimi ndo nafanyiwa hivyo ningejihisije? Mpaka sasa nishapeleka barua serikali za mitaa ili niwe miongoni mwa chaguzi ama teuzi za awamu inayofuata ili nipambane na hili janga

Hivi ninyi mnaooa, mnajua wazi kuwa kwenye ndoa kuna kuchakatiwa mbususu? Au nikae kimya kwa kuwa hayanihusu!
 
Mmh! Haya mambo yalikwepo toka zamani za kale comrade, cha msingi achana nayo focus kwenye mishe zako otherwise ukianzisha movement ya kuanza kuwa expose hao baharia utatengeneza mazingira ya kuhatarisha maisha yako.
 
Inasikitisha sana. Mbususu zinachakatwa sana nje ya ndoa hasahasa kwenye mtaa wangu. Nina mpango kusaidiana na jeshi la sungu sungu ili kuwakabili wanaume wenye tabia za kuchakata wake za watu ilihali wanajua wazi kuwa huyu ni mke wa mtu. Kwenye mtaa wangu si tu vijana, yaani hadi wazee wanaruka na wanawake za watu

Nimeandika huu uzi kwa uchungu kwa kuwa hapa makazi mapya nilipata kienyeji mmoja mzuri sana wa kuwa naye kwenye mahusiano kwa lengo la kusaidizana mambo fulani, cha ajabu wakati nikiwa katika harakati za kutafuna tunda, katokea mzee mmoja from somewhere else, karusha ndoano kwenye mshipi wenye noti noti, kanasa chombo, kaichakata mbususu.

Kilichonistaajabisha zaidi ni baada ya kufuatilia kwa kina nione ni namna gani napambana na hili baba, ndo kuja kuhamaki kumbe binti ni mke wa mtu, kufuatilia mumewe, ni mtu anayepiga kazi nzito sana kwa lengo la kulisha familia yake. Nimejifikiria kama ningekuwa ni mimi ndo nafanyiwa hivyo ningejihisije? Mpaka sasa nishapeleka barua serikali za mitaa ili niwe miongoni mwa chaguzi ama teuzi za awamu inayofuata ili nipambane na hili janga

Hivi ninyi mnaooa, mnajua wazi kuwa kwenye ndoa kuna kuchakatiwa mbususu? Au nikae kimya kwa kuwa hayanihusu!
Ni mwanaume mpumbavu pekee anaye ingia kwenye ndoa na kutarajia eti mbususu itakuwa yake peke yake🤣🤣🤣🤣
Wee ulionaga wapi mwanamke wakugegedwa na mwanaume mmoja akawa mtamu?
 
Wimbo ule ule wanateseka nao wahubiri.

Ndoa zitaendelea kufungwa, ndoa zitaendelea kuvunjika, ndoa zitaendelea kudumu, wanawake wachepukaji wataendelea kuwepo, wanawake waaminifu wataendelea kuwepo.

HALAFU KUNA NYINYI WAHUBIRI MTAENDELEA NA HIYO KAZI MPAKA MTAKAPO PATA LA KUFANYA.
 
Wimbo ule ule wanateseka nao wahubiri.

Ndoa zitaendelea kufungwa, ndoa zitaendelea kuvunjika, ndoa zitaendelea kudumu, wanawake wachepukaji wataendelea kuwepo, wanawake waaminifu wataendelea kuwepo.

HALAFU KUNA NYINYI WAHUBIRI MTAENDELEA NA HIYO KAZI MPAKA MTAKAPO PATA LA KUFANYA.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni mwanaume mpumbavu pekee anaye ingia kwenye ndoa na kutarajia eti mbususu itakuwa yake peke yake🤣🤣🤣🤣
Wee ulionaga wapi mwanamke wakugegedwa na mwanaume mmoja akawa mtamu?
Vijana wanahofu ya mwanamke kumsaliti kabla hata hajasalitiwa. Wanasahau kwamba kama hofu ni kula makombo huyo ambae anatembea nae bila ndoa ndo mlango upo wazi kwa uhuru wazee, vijana na watoto kujipigia. Bora hata mke wa mtu anagawa kwa kujificha ficha.
 
Back
Top Bottom