Ndoa Ya Muuza Chakula (Shilole) na Mpiga Foto (Tommy D) Inakaribia Kuvunjika

Kwani huwaga vina mda basi.
Ila shilole atakuwa na shida mahali.
Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.

Kuna maisha alipitia yakashape akili yake kuwa aggressive kitu ambacho hakuna mwanaume aliyekamilika hata mwanaume nusu kilo anapenda. Wazungu wanaita 'daddy issues'.

Ukitaka kujua hili tazama namna anapenda kuwa mke wa mtu, namna anapenda ndoa na namna huwa anapenda jamii imuone ni mke wa fulani ila balaa linakuja kwenye kumaintain.

Angepata therapy mapema angekuwa stable ila kwa sasa ni kama amechelewa kwa kile anachotamani. Hii kitu inawakuta mabinti wengi miaka hii na namba itaongezeka miaka ijayo.

But ni mwanamke mzuri, ana mapenzi ya kujitoa na anapenda kuwa mke wa mtu ila shida hayupo tayari kuwa chini ya mwanaume wake ndio maana unaona anatafuta pesa zake mwenyewe na anatafuta sana mahusiano na vijana aliowazidi umri ili iwe rahisi kuwa control na kuwadominate ila hawa vijana wakishaanza kukomaa kiakili (kuanzia miaka 30) then balaa linaanza wanamrudi maana hormones za uanaume zinachachamaa.

Mifano mingine ni akina Aunt Ezekiel, J. Wolper, etc. Ni ngumu sana kureverse nature once ikisha amua path ya destination ya maisha yako.
 
Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.

Kuna maisha alipitia yakashape akili yake kuwa aggressive kitu ambacho hakuna mwanaume aliyekamilika hata mwanaume nusu kilo anapenda. Wazungu wanaita 'daddy issues'.

Ukitaka kujua hili tazama namna anapenda kuwa mke wa mtu, namna anapenda ndoa na namna huwa anapenda jamii imuone ni mke wa fulani ila balaa linakuja kwenye kumaintain.

Angepata therapy mapema angekuwa stable ila kwa sasa ni kama amechelewa kwa kile anachotamani. Hii kitu inawakuta mabinti wengi miaka hii na namba itaongezeka miaka ijayo.

But ni mwanamke mzuri, ana mapenzi ya kujitoa na anapenda kuwa mke wa mtu ila shida hayupo tayari kuwa chini ya mwanaume wake ndio maana unaona anatafuta pesa zake mwenyewe na anatafuta sana mahusiano na vijana aliowazidi umri ili iwe rahisi kuwa control na kuwadominate ila hawa vijana wakishaanza kukomaa kiakili (kuanzia miaka 30) then balaa linaanza wanamrudi maana hormones za uanaume zinachachamaa.

Mifano mingine ni akina Aunt Ezekiel, J. Wolper, etc. Ni ngumu sana kureverse nature once ikisha amua path ya destination ya maisha yako.
Watumie dildo na vibrator.
 
Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.

Kuna maisha alipitia yakashape akili yake kuwa aggressive kitu ambacho hakuna mwanaume aliyekamilika hata mwanaume nusu kilo anapenda. Wazungu wanaita 'daddy issues'.

Ukitaka kujua hili tazama namna anapenda kuwa mke wa mtu, namna anapenda ndoa na namna huwa anapenda jamii imuone ni mke wa fulani ila balaa linakuja kwenye kumaintain.

Angepata therapy mapema angekuwa stable ila kwa sasa ni kama amechelewa kwa kile anachotamani. Hii kitu inawakuta mabinti wengi miaka hii na namba itaongezeka miaka ijayo.

But ni mwanamke mzuri, ana mapenzi ya kujitoa na anapenda kuwa mke wa mtu ila shida hayupo tayari kuwa chini ya mwanaume wake ndio maana unaona anatafuta pesa zake mwenyewe na anatafuta sana mahusiano na vijana aliowazidi umri ili iwe rahisi kuwa control na kuwadominate ila hawa vijana wakishaanza kukomaa kiakili (kuanzia miaka 30) then balaa linaanza wanamrudi maana hormones za uanaume zinachachamaa.

Mifano mingine ni akina Aunt Ezekiel, J. Wolper, etc. Ni ngumu sana kureverse nature once ikisha amua path ya destination ya maisha yako.
Yess you talk the talk
 
Back
Top Bottom