Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,262
Wakuu Tazameni Hii Video Kati Ya Muuza Chakula na mpiga 📷 walivyozinguana Hadharani.
Baadhi Binadamu ni watu wa ajabu sana. Siku zote wanatamani kuona mabaya yalitokea kwa wenzao. Ila Mungu bhana.... Anakupatia sawasawa na Yale unayotamani yatokee kwa binadamu mwenzio. Tubadilike.Wakuu Tazameni Hii Video Kati Ya Muuza Chakula na mpiga 📷 walivyozinguana Hadharani.
View attachment 1894701
Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.Kwani huwaga vina mda basi.
Ila shilole atakuwa na shida mahali.
Baadhi Binadamu ni watu wa ajabu sana. Siku zote wanatamani kuona mabaya yalitokea kwa wenzao. Ila Mungu bhana.... Anakupatia sawasawa na Yale unayotamani yatokee kwa binadamu mwenzio. Tubadilike.
Watumie dildo na vibrator.Anahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.
Kuna maisha alipitia yakashape akili yake kuwa aggressive kitu ambacho hakuna mwanaume aliyekamilika hata mwanaume nusu kilo anapenda. Wazungu wanaita 'daddy issues'.
Ukitaka kujua hili tazama namna anapenda kuwa mke wa mtu, namna anapenda ndoa na namna huwa anapenda jamii imuone ni mke wa fulani ila balaa linakuja kwenye kumaintain.
Angepata therapy mapema angekuwa stable ila kwa sasa ni kama amechelewa kwa kile anachotamani. Hii kitu inawakuta mabinti wengi miaka hii na namba itaongezeka miaka ijayo.
But ni mwanamke mzuri, ana mapenzi ya kujitoa na anapenda kuwa mke wa mtu ila shida hayupo tayari kuwa chini ya mwanaume wake ndio maana unaona anatafuta pesa zake mwenyewe na anatafuta sana mahusiano na vijana aliowazidi umri ili iwe rahisi kuwa control na kuwadominate ila hawa vijana wakishaanza kukomaa kiakili (kuanzia miaka 30) then balaa linaanza wanamrudi maana hormones za uanaume zinachachamaa.
Mifano mingine ni akina Aunt Ezekiel, J. Wolper, etc. Ni ngumu sana kureverse nature once ikisha amua path ya destination ya maisha yako.
Waimba kwayaNdio kina Nani Hao
Huko Daslamu?
Mama Ntilie na Mpiga Passport za Dakika 3 eti now wana thread.Umeandika kama vile sisi wote tunawajua hao? Ongezea nyama thd yako,ndio kina nani hao huko mjini?
Khaaaa jmnShilole hafai tena kuolewa na wala asihangaike na ndoa awe Malaya tu
Yess you talk the talkAnahitaji msaada wa kisaikolojia. Ila shilole ni mwanamke mzuri sana.
Kuna maisha alipitia yakashape akili yake kuwa aggressive kitu ambacho hakuna mwanaume aliyekamilika hata mwanaume nusu kilo anapenda. Wazungu wanaita 'daddy issues'.
Ukitaka kujua hili tazama namna anapenda kuwa mke wa mtu, namna anapenda ndoa na namna huwa anapenda jamii imuone ni mke wa fulani ila balaa linakuja kwenye kumaintain.
Angepata therapy mapema angekuwa stable ila kwa sasa ni kama amechelewa kwa kile anachotamani. Hii kitu inawakuta mabinti wengi miaka hii na namba itaongezeka miaka ijayo.
But ni mwanamke mzuri, ana mapenzi ya kujitoa na anapenda kuwa mke wa mtu ila shida hayupo tayari kuwa chini ya mwanaume wake ndio maana unaona anatafuta pesa zake mwenyewe na anatafuta sana mahusiano na vijana aliowazidi umri ili iwe rahisi kuwa control na kuwadominate ila hawa vijana wakishaanza kukomaa kiakili (kuanzia miaka 30) then balaa linaanza wanamrudi maana hormones za uanaume zinachachamaa.
Mifano mingine ni akina Aunt Ezekiel, J. Wolper, etc. Ni ngumu sana kureverse nature once ikisha amua path ya destination ya maisha yako.
Hamuwatakii mema manataka wasagweWatumie dildo na vibrator.