Ndoa ya Mke Mmoja ni Ukatiri wa Kijinsia kwa Mwanaume

Ambivert88

JF-Expert Member
Aug 16, 2022
2,371
4,305
Shallom!

Salamu baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye Mada. Ndoa ya Mke mmoja ni Ukatiri wa kijinsia kwa Mwanaume. Kwanini? Kwa sababu Mwanaume hakuumbwa awe na Mke mmoja.

Jana kuna Mama mmoja nilikua najadiliana nae yeye ni single mom, akawa anasema kwamba yupo tayari japo yeye ni Mkristu Ila km akibahatika kuolewa basi mumewe akimuoa atamruhusu kwa moyo mmoja awe na Mwanamke mwingine wa pili yaan wawe wawili anaemsaidia kulinda Ndoa kwa sharti moja tu huyu Mwanaume amtambulishe huyo Mwanamke mwingine kwa Mwanamke wake wa Ndoa na yeye yupo tayari kukubari Ila tu asiwe na wanawake wengine zaidi ya hao wawili.

Akafika mbali na kuzisifia sana Ndoa za kiislamu. Kwamba Waislamu wanaanza wake wawili mpaka wanne. Hukuti Mwanaume wa kiislamu akinyanyaswa

Haya nyinyi hapa Jamvini mnasemaje kweli Ndoa hizi za mke mmoja zinamkatiri sana Mwanaume kijinsia? Yaan Mwanaume inatakiwa kimaumbile amiriki walau wanawake wawili iila sio Mwanamke mmoja, nyinyi mnasemaje?
 
Shallom!

Salamu baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye Mada. Ndoa ya Mke mmoja ni Ukatiri wa kijinsia kwa Mwanaume. Kwanini? Kwa sababu Mwanaume hakuumbwa awe na Mke mmoja.

Jana kuna Mama mmoja nilikua najadiliana nae yeye ni single mom, akawa anasema kwamba yupo tayari japo yeye ni Mkristu Ila km akibahatika kuolewa basi mumewe akimuoa atamruhusu kwa moyo mmoja awe na Mwanamke mwingine wa pili yaan wawe wawili anaemsaidia kulinda Ndoa kwa sharti moja tu huyu Mwanaume amtambulishe huyo Mwanamke mwingine kwa Mwanamke wake wa Ndoa na yeye yupo tayari kukubari Ila tu asiwe na wanawake wengine zaidi ya hao wawili.

Akafika mbali na kuzisifia sana Ndoa za kiislamu. Kwamba Waislamu wanaanza wake wawili mpaka wanne. Hukuti Mwanaume wa kiislamu akinyanyaswa

Haya nyinyi hapa Jamvini mnasemaje kweli Ndoa hizi za mke mmoja zinamkatiri sana Mwanaume kijinsia? Yaan Mwanaume inatakiwa kimaumbile amiriki walau wanawake wawili iila sio Mwanamke mmoja, nyinyi mnasemaje?
Uko wapi kwani......
 
Shallom!

Salamu baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye Mada. Ndoa ya Mke mmoja ni Ukatiri wa kijinsia kwa Mwanaume. Kwanini? Kwa sababu Mwanaume hakuumbwa awe na Mke mmoja.

Jana kuna Mama mmoja nilikua najadiliana nae yeye ni single mom, akawa anasema kwamba yupo tayari japo yeye ni Mkristu Ila km akibahatika kuolewa basi mumewe akimuoa atamruhusu kwa moyo mmoja awe na Mwanamke mwingine wa pili yaan wawe wawili anaemsaidia kulinda Ndoa kwa sharti moja tu huyu Mwanaume amtambulishe huyo Mwanamke mwingine kwa Mwanamke wake wa Ndoa na yeye yupo tayari kukubari Ila tu asiwe na wanawake wengine zaidi ya hao wawili.

Akafika mbali na kuzisifia sana Ndoa za kiislamu. Kwamba Waislamu wanaanza wake wawili mpaka wanne. Hukuti Mwanaume wa kiislamu akinyanyaswa

Haya nyinyi hapa Jamvini mnasemaje kweli Ndoa hizi za mke mmoja zinamkatiri sana Mwanaume kijinsia? Yaan Mwanaume inatakiwa kimaumbile amiriki walau wanawake wawili iila sio Mwanamke mmoja, nyinyi mnasemaje?
Unatuletea ushauri wa singo maza hapa? Angekua na busara angezalishwa kabla ya ndoa?
Ukitaka kufeli katika maisha, msikilize MTU aliyefeli Kama singo maza.
 
Shallom!

Salamu baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye Mada. Ndoa ya Mke mmoja ni Ukatiri wa kijinsia kwa Mwanaume. Kwanini? Kwa sababu Mwanaume hakuumbwa awe na Mke mmoja.

Jana kuna Mama mmoja nilikua najadiliana nae yeye ni single mom, akawa anasema kwamba yupo tayari japo yeye ni Mkristu Ila km akibahatika kuolewa basi mumewe akimuoa atamruhusu kwa moyo mmoja awe na Mwanamke mwingine wa pili yaan wawe wawili anaemsaidia kulinda Ndoa kwa sharti moja tu huyu Mwanaume amtambulishe huyo Mwanamke mwingine kwa Mwanamke wake wa Ndoa na yeye yupo tayari kukubari Ila tu asiwe na wanawake wengine zaidi ya hao wawili.

Akafika mbali na kuzisifia sana Ndoa za kiislamu. Kwamba Waislamu wanaanza wake wawili mpaka wanne. Hukuti Mwanaume wa kiislamu akinyanyaswa

Haya nyinyi hapa Jamvini mnasemaje kweli Ndoa hizi za mke mmoja zinamkatiri sana Mwanaume kijinsia? Yaan Mwanaume inatakiwa kimaumbile amiriki walau wanawake wawili iila sio Mwanamke mmoja, nyinyi mnasemaje?
mwanaume mmoja ameumbiwa mwanamke mmoja

ndo maana idadi ya wanawake duniani na idadi ya wanaume ni almost sawa miaka yote
 
Unatuletea ushauri wa singo maza hapa? Angekua na busara angezalishwa kabla ya ndoa?
Ukitaka kufeli katika maisha, msikilize MTU aliyefeli Kama singo maza.
Mkuu sio ushauri ni mapendekezo yake maana hakuna Mwanaume mwenye Mwanamke mmoja ukianza na Mimi nna msululu Ester, Mage, Jessie, Recho, Celina, Nancy, Mwamvita, Tausi, Jesca, Matilda, etc hao ni baadhi tu na huyo ananipa mapendekezo alikua anajumuishwa humo humo kwenye long list
 
Shallom!

Salamu baada ya salamu niende moja kwa moja kwenye Mada. Ndoa ya Mke mmoja ni Ukatiri wa kijinsia kwa Mwanaume. Kwanini? Kwa sababu Mwanaume hakuumbwa awe na Mke mmoja.

Jana kuna Mama mmoja nilikua najadiliana nae yeye ni single mom, akawa anasema kwamba yupo tayari japo yeye ni Mkristu Ila km akibahatika kuolewa basi mumewe akimuoa atamruhusu kwa moyo mmoja awe na Mwanamke mwingine wa pili yaan wawe wawili anaemsaidia kulinda Ndoa kwa sharti moja tu huyu Mwanaume amtambulishe huyo Mwanamke mwingine kwa Mwanamke wake wa Ndoa na yeye yupo tayari kukubari Ila tu asiwe na wanawake wengine zaidi ya hao wawili.

Akafika mbali na kuzisifia sana Ndoa za kiislamu. Kwamba Waislamu wanaanza wake wawili mpaka wanne. Hukuti Mwanaume wa kiislamu akinyanyaswa

Haya nyinyi hapa Jamvini mnasemaje kweli Ndoa hizi za mke mmoja zinamkatiri sana Mwanaume kijinsia? Yaan Mwanaume inatakiwa kimaumbile amiriki walau wanawake wawili iila sio Mwanamke mmoja, nyinyi mnasemaje?
= ukatili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Umeacha utamaduni wa kabila lako ambalo naamini linaruhusu kuoa wake zaidi ya mmoja na kuamua kufuata utamaduni wa wayahudi na wazungu (utumwa wa dini) wanaotaka uoe mke mmoja.

Sasa, yanini lawama?

Si uachane nao tu? Au unaogopa vile vitisho hewa vya kuchomwa moto na lile lijitu lao katili?
 
Back
Top Bottom