Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,253
- 36,508
Nimekuwa naipinga sana CHADEMA kwa sababu ya uCCM wangu.
Lakini kwa hizi pilika zinazofanywa na serikali kukandamiza wapinzani kwa sababu ya kulinda uozo wetu zinanipa mashaka kuwa CCM ndo imekuwa inashika dola na siyo kuongoza dola.
1. Ukikosana na kipngozi wa CCM jiandae kupambana na polisi
2. Ukimkosoa kiongozi wa CCM jiandae kupambana na polisi
3. CCM tunalindwa kwenye joggings zetu lakini wewe mpinzani thubutu yako uone cha moto
4. CCM tunafanya mikutano ya ndani na nje tukiwa na bonus ya ulinzi. Lakini upinzani hata bango la kikao cha ndani ni ugaidi
5. CCM inaajiri watu wa dola kwa kazi za ndani ya chama. Lakini ole wao watakaoenda kuajiriwa upinzani wataitwa magaidi
6. Sheria ya vyama vingi imekataza waajiriwa wote wa vyombo vya ulinzi na usalama kufanya ama kushiriki siasa, lakini tuna mabrigedia, majenerali na watu wengi wa usalama kwenye political apointees kama wakuu wa wilaya na mikoa na hata wengine kupata vyeo ndani ya chama.
7. Kwenye michakato yetu CCM ya kura za uteuzi wa wagombea, nimeshuhudia kila kitu kinaratibiwa na wavaa viatu, lakini upinzani hawapati msaada wowote kutoka huko kwenye teuzi zao.
Haya ni machache kati ya mengi yanayohusu ndoa kati ya vyombo vyetu vya usalama na CCM.
Hii ndoa inapoelekea ni kwenye MAPENZI UPOFU. Hii ni hatari sana kwa Usalama na ustawi wa Taifa. Hivyo tumefikia mahali kwamba
1. CCM tumezalisha ukoloni mpya
2. CCM imeleta nchini ubaguzi baina ya raia wa nchi hii
3. CCM imegeumaa kuwa kichaka cha majambazi ya mali za umma na wabadhirifu
4. CCM imegeuka kuwa kichaka cha wahalifu kwa sababu haichukui hatua zozote dhidi ya watu hao na sana sana wanapewa vyeo.
Ni vizuri sana endapo chama hiki kikongwe kitabadilika au kiondolewe madarakani kupitia sanduku la kura.
Lakini kwa hizi pilika zinazofanywa na serikali kukandamiza wapinzani kwa sababu ya kulinda uozo wetu zinanipa mashaka kuwa CCM ndo imekuwa inashika dola na siyo kuongoza dola.
1. Ukikosana na kipngozi wa CCM jiandae kupambana na polisi
2. Ukimkosoa kiongozi wa CCM jiandae kupambana na polisi
3. CCM tunalindwa kwenye joggings zetu lakini wewe mpinzani thubutu yako uone cha moto
4. CCM tunafanya mikutano ya ndani na nje tukiwa na bonus ya ulinzi. Lakini upinzani hata bango la kikao cha ndani ni ugaidi
5. CCM inaajiri watu wa dola kwa kazi za ndani ya chama. Lakini ole wao watakaoenda kuajiriwa upinzani wataitwa magaidi
6. Sheria ya vyama vingi imekataza waajiriwa wote wa vyombo vya ulinzi na usalama kufanya ama kushiriki siasa, lakini tuna mabrigedia, majenerali na watu wengi wa usalama kwenye political apointees kama wakuu wa wilaya na mikoa na hata wengine kupata vyeo ndani ya chama.
7. Kwenye michakato yetu CCM ya kura za uteuzi wa wagombea, nimeshuhudia kila kitu kinaratibiwa na wavaa viatu, lakini upinzani hawapati msaada wowote kutoka huko kwenye teuzi zao.
Haya ni machache kati ya mengi yanayohusu ndoa kati ya vyombo vyetu vya usalama na CCM.
Hii ndoa inapoelekea ni kwenye MAPENZI UPOFU. Hii ni hatari sana kwa Usalama na ustawi wa Taifa. Hivyo tumefikia mahali kwamba
1. CCM tumezalisha ukoloni mpya
2. CCM imeleta nchini ubaguzi baina ya raia wa nchi hii
3. CCM imegeumaa kuwa kichaka cha majambazi ya mali za umma na wabadhirifu
4. CCM imegeuka kuwa kichaka cha wahalifu kwa sababu haichukui hatua zozote dhidi ya watu hao na sana sana wanapewa vyeo.
Ni vizuri sana endapo chama hiki kikongwe kitabadilika au kiondolewe madarakani kupitia sanduku la kura.