Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,698
4,549
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili
Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Washakutombeari? Usaliti na uzinzi hausameheki maliza hiyo
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili
Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Duuh... Kwahiyo mkeo masela wanamkula?
Ebwanaeeeh....
 
Wewe ulifikiri ndoa ni mapenzi kitandani tu?
Kiapo: Katika dhiki,taabu,raha,maudhi,magonjwa,katika Milima na Mabonde tutakuwa pamoja hadi Kifo kitakapotunganisha.
Kama hukula Kiapo hicho utaiona ndoa ni moto wa kuotea mbali.
Lakini Siri kubwa ni KUSIKILIZANA NA KUVUMILIANA katika ndoa.
Hakuna Mkamilifu katika ndoa.
Mwisho kwenye ndoa Mme na Mke hawachungani ila Wanalindana.
Ukikaa unamchunguza Mkeo ametembelea wapi,amecheka na nani,alizungumza au alichati na wanaume,nk yaani wewe ukikaa unawaza Mkeo anatongozwa na kufanywa,sijui nini,utakufa kwa pressure bure.
 
😅😅
1727076325095.jpg
 
Utasikia naogopa kuachana nae kwasababu ya watoto

Wewe ulifikiri ndoa ni mapenzi kitandani tu?
Kiapo: Katika dhiki,taabu,raha,maudhi,magonjwa,katika Milima na Mabonde tutakuwa pamoja hadi Kifo kitakapotunganisha.
Kama hukula Kiapo hicho utaiona ndoa ni moto wa kuotea mbali.
Lakini Siri kubwa ni KUSIKILIZANA NA KUVUMILIANA katika ndoa.
Hakuna Mkamilifu katika ndoa.
Mwisho kwenye ndoa Mme na Mke hawachungani ila Wanalindana.
Ukikaa unamchunguza Mkeo ametembelea wapi,amecheka na nani,alizungumza au alichati na wanaume,nk yaani wewe ukikaa unawaza Mkeo anatongozwa na kufanywa,sijui nini,utakufa kwa pressure bure.
Can you imagine mali utowe wewe
Mpambanaji na wariziki awe wewe
Alafu atokee boya fulani from no where tu awe anajipigia na wakati mwingine Lina mpaka mkeo sheria kama yeye ndo mume vile na uku mkeo anakuwa anakudharau na kumsikiliza mtu mwingine ambaye hapambanii maisha yake
Hiyo sio shida na raha Tena hiyo ni shida tu na kuzikana kabla ya kufa
 
Na
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili
Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Wanasema ndoa ili idumu lazima wote mkubali kuwa wapumbavu ila wote mkiwa wajuaji ndoa haidumu, ila nahisi maumivu yako hivi wewe umeshawahi kuwa na mke/mwanamke mwenye sifa hizi mnafiki, mjuaji, mwongo, mbea, mchepukaji, hana siri kila kitu mnachofanya basi watu wote watajua alafu mtu wa kujikwenza anataka yeye ndo anaonekane mwisho bila kusahau ana kiherehere mbele za watu sikia tu mbona utahisi unahishi na kichaa kama afya ya akili haipo sawa unaweza hua mtu, Mungu aliwajua hawa ndo maana alisema tuishi nao kwa akili bila kutumia akili basi upo kinyume na neno la Mungu.
 
Back
Top Bottom