Mike Moe
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 263
- 278
Ndoa na talaka imekuwa biashara kubwa kwa wanawake nchini marekani, haimaanishi ukiolewa na tajiri ndio uondoke na mali zake punde mkiachana nataka nikomeshe tabia hii kwamba mkiachana kuna kiasi tu itabidi upewe na hakuna sababu ya kusema ni kidogo kwakua hukuhangaikia, kama unahisi huwezi kuwalea watoto basi niachie mimi niwaleee.
-Donald Trump, Rais wa Marekani.
-Donald Trump, Rais wa Marekani.