Ndege vita,drone na helikopta za Israel zilipopolewa Lebanon na Palestina

Gaza washakufa zaidi ya waparestina 40,000 bado unataka waendelee kufa kushabikia ujinga.

Hayo magaidi Hamas yanawaponza waparestina watafyekwa waishe.
Palestina siyo parestina, kunguni wewe,elimu ndogo unapayukapayuka hadharani,ukiwa na elimu ndogo kaa kimya, nyang'au!!
 
Ndege vita/jet na drone zilianguka Lebanon, israel ikijitetea kuwa ni tatizo la kiufundi
Wakati huohuo helicopter ilianguka huko gaza na kuua askari wawili wa israel,utetezi wao ni ule ule, tatizo la kiufundi

Dua zikianza kujibiwa majeshi ya US na IDF yatakuwa kama jeshi la Abraha.
 
Zingekuwa zinajibiwa Israel isingerejea kwenye ardhi yao 1948.
60+% ya waisrael wanapata magonjwa ya ngozi,na poleni za mizaituni zinawaletea allergy,kitu kinachodhihirisha siyo wa maeneo hayo,na ndiyo maana hawarusiwi kupima DNA, maana si semitic
 
60+% ya waisrael wanapata magonjwa ya ngozi,na poleni za mizaituni zinawaletea allergy,kitu kinachodhihirisha siyo wa maeneo hayo,na ndiyo maana hawarusiwi kupima DNA, maana si semitic
Hizo ni porojo za masjid ubwabwa kama kawaida.
 
Ndege vita/jet na drone zilianguka Lebanon, israel ikijitetea kuwa ni tatizo la kiufundi
Wakati huohuo helicopter ilianguka huko gaza na kuua askari wawili wa israel,utetezi wao ni ule ule, tatizo la kiufundi

Wafuga Midevu na Majini kwa uongo mnataka kumzidi hata baba yenu Shetani. Leteni picha tuone ndege ianguke Lebanon hata picha hakuna wajinga na Wapumbavu kama wewe wataamini hiyo mnayoiita nyie TAQIYYAH mko tayari kusema uongo kumsingizia mtu!! Kama ni kweli weka video hapa tuone. Kwenye habari yako umeandika Ndege-Vita/ Drone zilianguka huko Lebanon mara tena ukajichanganya unasema tena Helcopter hapo ndipo unapoonyesha kuwa wewe ni muongo sana!!
 
Wafuga Midevu na Majini kwa uongo mnataka kumzidi hata baba yenu Shetani. Leteni picha tuone ndege ianguke Lebanon hata picha hakuna wajinga na Wapumbavu kama wewe wataamini hiyo mnayoiita nyie TAQIYYAH mko tayari kusema uongo kumsingizia mtu!! Kama ni kweli weka video hapa tuone. Kwenye habari yako umeandika Ndege-Vita/ Drone zilianguka huko Lebanon mara tena ukajichanganya unasema tena Helcopter hapo ndipo unapoonyesha kuwa wewe ni muongo sana!!
Helkopta,drone na fighter jet zote chali
 
Wafuga Midevu na Majini kwa uongo mnataka kumzidi hata baba yenu Shetani. Leteni picha tuone ndege ianguke Lebanon hata picha hakuna wajinga na Wapumbavu kama wewe wataamini hiyo mnayoiita nyie TAQIYYAH mko tayari kusema uongo kumsingizia mtu!! Kama ni kweli weka video hapa tuone. Kwenye habari yako umeandika Ndege-Vita/ Drone zilianguka huko Lebanon mara tena ukajichanganya unasema tena Helcopter hapo ndipo unapoonyesha kuwa wewe ni muongo sana!!
"Israeli military drone crashes in Lebanon; IDF says 'no fear of information leaking' | The Times of Israel" https://www.timesofisrael.com/liveb...anon-idf-says-no-fear-of-information-leaking/
 
Wafuga Midevu na Majini kwa uongo mnataka kumzidi hata baba yenu Shetani. Leteni picha tuone ndege ianguke Lebanon hata picha hakuna wajinga na Wapumbavu kama wewe wataamini hiyo mnayoiita nyie TAQIYYAH mko tayari kusema uongo kumsingizia mtu!! Kama ni kweli weka video hapa tuone. Kwenye habari yako umeandika Ndege-Vita/ Drone zilianguka huko Lebanon mara tena ukajichanganya unasema tena Helcopter hapo ndipo unapoonyesha kuwa wewe ni muongo sana!!
"Israeli fighter jet crashes in Lebanon, IDF investigating incident - Israel News - The Jerusalem Post" Israeli Air Force jet crashes in Lebanon due to technical malfunction
 
Kijana usifikiri humu wote ni wajinga kama wewe hiyo link inasema Drone imeanguka na wewe kwenye taarifa yako umesema Ndege-Vita/Jet mara drone mata tena unasema Helcopter mambo yenu yote ni uongo uongo tu
Akili mbaya kama k ya ng'ombe
 
Back
Top Bottom